Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuuBwana last king
Cements inatengeneza na raw materia kuu tatu
1) Limestone (caco3) haya huchukua takribani 70-80% kwenye cement na haya mawe yanapatikana ukanda wote wa pwani ya tanzania kuanzia Tanga hadi Mtwara na ndiyo maana viwanda vyote vinajengwa ukanda wa pwani kuanzia kilichopo tanga, dar wazo hili, kunakingine kigamboni, mkulanga, lindi na mtwara mawe haya ndiyo yaliyo na rangi ya weupe na ugolo au mawe yanayovujwa kokoto kunduchi haya mawe ndiyo yanayotumia .kiwanda kimoja tu kipo mbali na pwani nacho ni mbeya cement ambacho kinatumia materia yanayoitwa Siderite(Feco3) ambayo yapo kwa wingi sana hapo songwe maji ya moto. na diyo maana kiwanda kimejengwa hapo.
2) Gypsum(Caso4). materia haya yanapatikanika makanya same, singida, dodoma na kilwa maeneo ya mandawa. lakini yanayopatikana mandawa diyo bora kuliko maeneo mengine na hivyo kufanya viwanda vingi vya cement vinanunua gypsum kutoka kilwa.
3) Irone ore (50Fe%) viwanda vingi vinapata kutoka tanga na lindi.
sasa mkuu kwa nini hawatumii mawe mengine?.
jibu1`
kwamba cement inahitaji chemical composition frani na hivyo inahitaji raw material ambazo zikichanganywa zitaweza kuunda chemical composition hiyo. tofauti na hapo hakuna cement mkuu.
Correction mkuu Oil ndo inakua refines, Gas/Natural Gas inachakatwa (Processing).mkuu kujenga huo mtambo ya kurifine natural gas ikatumika majumbani ni gharama sana. Imagine plant za madimba na songosongo kwa kuprocess gas cost ni almost 2.5Trilion wakati cost ya LNG plant zidisha hiyo cost mara 10
Naomba kujua baadhi ya plants ambazo zinaweza kutumika 4 prospecting mineral deposits! Nikipata na vivid examples za Tanzania ningefurahi zaidi [emoji4]
usiwe mbishi natural gas pia inaweza kuwekwa kwenye cylinders na ikatumika majumbani ukiacha hiyo njia ya kutumia pipe kwan huwez peleka pipe kwa kila mtu kutokaba na mpangilio mbovu wa miji yetu. mkuu nafanya kazi kwenye natural gas processing facility (sio hapa bongo) so i know what im sayinCorrection mkuu Oil ndo inakua refines, Gas/Natural Gas inachakatwa (Processing).
Natura Gas ni Dry gas (mainly Methane) ambayo inasambazwa kwa pipe kwenda majumbani sio kwenye mitungi na inayowekwa kwenye mitungi ni LPG (Liquefied Petroleum Gas) mainly Propane ambayo Tanzania hatuna hii inapatikana baada ya Oil kuwa refined.
Endelea kurefine gas mkuu.usiwe mbishi natural gas pia inaweza kuwekwa kwenye cylinders na ikatumika majumbani ukiacha hiyo njia ya kutumia pipe kwan huwez peleka pipe kwa kila mtu kutokaba na mpangilio mbovu wa miji yetu. mkuu nafanya kazi kwenye natural gas processing facility (sio hapa bongo) so i know what im sayin
nakubali kuwa gas ndio inafanyiwa processing na oil huwa refined BUT still CH4 inaweza kuwekwa kwenye cylinders.... ule mradi unaosua sua kusini wa LNG unadhani ni kwa ajili ya nini???? sawa CH4 ni dry gas but you can liquify it na ukaiweka kwenye mitungiEndelea kurefine gas mkuu.
Maana inaonekana hili la gas hulijui vizuri.
Norway wana Miundo mbinu mizuri ila hawaweki natural Gas kwenye mitungi unayofikria ww
Mkuu sijaelewa wapi hujaelewa swali langu! Labda niulize kwa kiswahili.. nataka kujua mimea (plants) ianayoweza kutumika kusaidia kutambua uwepo wa madini fulani. that is niambie mfano... mmea huu..... unatumika ku prospect presence ya gold labda nk?Kimberlite.
naomba kidogo ufafanuzi huu. unaamanisha plants 4-processing mineral deposite au 4 prospecting mineral deposit. vile vile naomba uniambie aina ya madini gani unataka nikufafanulie?. na kama ni prospecting hakuna plant inayohitajika ila methods for prospecting mineral deposit. nakuomba unifafanulie vizuri ili niweze kukujibu.
Mkuu sijaelewa wapi hujaelewa swali langu! Labda niulize kwa kiswahili.. nataka kujua mimea (plants) ianayoweza kutumika kusaidia kutambua uwepo wa madini fulani. that is niambie mfano... mmea huu..... unatumika ku prospect presence ya gold labda nk?
Naomba kujua baadhi ya plants ambazo zinaweza kutumika 4 prospecting mineral deposits! Nikipata na vivid examples za Tanzania ningefurahi zaidi [emoji4]
Baadhi ya watu husema miamba ya Dhahabu huwa na ulalo wa kutoka mashariki kwenda magaribi ,ikimaanisha nikikuta dhahabu ya mwamba inachimbwa nyuzi tatu kusini mwa ikweta shinyanga na nikienda nyuzi tatu kusini mwa ikweta manyara nitapata pia?
Shukrani mkuuKimberlite nimekuelewa.
kwanza ni kweri kwamba mimea hutumika katika utafiti wa madini na hii hutumika kutokana na sababu kuu mbili
1)wingi wa madini eneo fulani unaweza kuingia kwenye sehemu mbalimbali za mmea ulioota hapo kutoka kwenye udongo.(Plant material can be enriched in metals taken up from soils that are enriched in the metals.)
2) wingi wa madini sehemu flani unaasili uoto wa mimea wa pale kutoka na kuwa udongo wake hujaa madini ya namna flani hivyo mimea inayowezakusitahimili udongo wa namna hiyo ndiyo itaota hapo.(Effects of elevated metal concentrations may lead to visible differences in plant characteristics or distribution)
kutokana na sababu hizo mimea hutumika katika utafiti. lakini mimea kutumika katika utafiti haiwi (universal)kwa ujumla kuwa kama mmea flani umetumika kwenye utafiti wa dhahabu Ghana basi na tanzania utatumika. hii husababishwa na hali ya hewa kutofautiana kutoka eneo moja hadi jingine(climate differrent from one area to another)
kutokana na sababu hii utafiti wa kina wa kila mahala unahitajika kujua mimea inayofaa kutumika katika eneo hili. mkuu niliwahi kufanya tafiti za dhahabu GEITA NA MUSOMA .kiukweri kulikuwa na miti kila kila walipo wachimbaji wadogo wadogo tuliona lakini hatukufatilia kwa kina kufikia maamuzi ya kuwa hiyo miti inaonesha kuwepo kwa dhahabu.
Kimbarlite kwa hapa tanzania sina mifano , bali nitakupa mifano sehemu zingine duniani lakini pia hii ni changamoto kwa tanzania nitajitahidi kufatilia au hata kufanya tafiti baazi ya sehemu nitakazoweza na nitakujuza na kama unafahamu unao waweza kutusaidiapia katika hili.
View attachment 497541
Bacium Homblei is a copper and Chromium indicator plant in Zambia and DRC.
View attachment 497544
ansante kushukuru mkuu.Shukrani mkuu
Nimesikiliiza .video ya CAG akieleza kuhusu ushuru wa madini takiribani mara 10.
kaniacha na maswali haya na nikiwa na mashaka mengi kama alichokuwa anaongea anakijua au anakifahamu.
1)kutokulipa ushuru wa usafilishaji wa madini nje ya nchi (tax export and VAT for export of mineral). najiuliza
a) anajua sababu za msingi kwa nini hawalipi?
b) je! sababu nizakibiashara au za kisheria ya mkataba walioingia?
c) anamifano ya nchi zingine hasa zilizoendelea wanafanyaje kwenye eneo hili?
2) kuhusu kutokulipa ushuru wa makampuni ya madini zaidi ya miaka 10.( corparate icome tax)
a) kwa nini hawalipi?
b)je! sheria imewakataza kulipa?
c) je! anamifano ya nchi zilizoendelea kuhusu ushuru wa namna hii njisi unavyotozwa?
3} je! hatupati faida kwenye madini kwa sababu ya ubovu wa mikata yasheria yetu ya madini au kwa sababu ya usimazi na wapiga shesabu wetu wabovu?.
CAG HUWEZI KUSHAURI VIZURI NJAMBO USILOLIJUA
WAZEE WETU MKAPA NA KIKWETE WASILAUMIWE KWA HAYA HAWANA HATIA KABISA.
mwenye hoja za haya maswali anijibu kama huna kaa silent usubili majibu yangu ndiyo utajua tatizo liko wapi wabongo kuondoka mikono mitupu kwenye madini yetu.