Umalaya ni mbaya sana! Ewe mwanaume mwenye familia, itunze

Inasikitisha, jamaa akashindwa kumpa mwanaye mtaji hata wa 10M dogo afungue duka la viatu Moro. Yeye anapambana na uchi tu. Yaani mzee mzima mwenzangu mwenye miaka 50's anakuwa ndio kama anaanza balehe.

Inasikitisha. Mungu amsaidie.
Tofautisha kipaumbele mkuu😅
 
Duh,paliponifikirisha ni hapo uliposema eti "alishauriwa na Sheikh wa Bakwata amloge Mkewe".
 
Kwa hiyo hutaki mwanao awe hata IGP?
Na hapo umemhukumu rafiki yako kuwa ni malaya kwa vile tu kazalisha wanawake watano.
Watano tu!
Ndio unamwita mwenzio malaya? Wewe haujatembea na wanawake zaidi ya 10, kwa umri ulio nao, hata kama hawajazaa?
 
Umetumwa kuijaza dunia acha au unataka ukaonane na Pdidy?
Kuna kujaza dunia na kitu uchumi wa dunia ulivyosimama saiv uspende kuropoka kwenye vitu vya mantiki pdiddy kaingiaje hapa, unataka story za kejeli za kfrwa ziletwe hapa?
Emmbu pima basi kauli,
Zaa watoto hata kumi na mkeo ila kuzaa nje ni tatizo kwa watanzania wengi nini hujaelewa hapo, mamyo wewe
 
Kwa hio wewe kwa sababu uchumi umesimama pdidy anakwambia panda ghorofani na wewe unapanda?
 
Naunga mkono hoja!!

Kwa hiyo mkuu zerominus10 na wengine,je mnapinga content ya uzi,mnampinga mleta uzi au makosa yaliyojitokeza kwenye uzi?

Wekeni msimamo wenu wazi tujue:-
1.Umalaya ni mbaya/mzuri?
2.Kuzaa zaa zaa ovyo na mwanamke yeyote ni sawa?
3.Kuzaa hata watoto Mia fresh tu?
4.Kuzaa na mwanamke mmoja tu ni sawa na kujipeleka kwa PDiddy?

ELEWEKENI!!
 
Usiharibu uzi wa mwenzako. Acha ligi zisizo na maana. Jamaa kasema umeshinda, basi achana nae tajiri.
Ni kweli lengo ni kuharibu tu uzi wa mwenzake wakati ndani ya huu uzi kuna ujumbe mkubwa kwa wengine.
Kwa kweli kuna points nyingi sana nimezinote humo.
 
Kuwa Polisi kwako ni ujinga au ni jinai?

Nilitegemea utoe ushauri watu wafanye kazi halali na wasomeshe watoto wao.

Hayo ya kusema mwanangu asifanye kazi hii na hii, wakati kazi hiyo ni halali na kijana alishavuka utoto, 18 yrs+ ni kujidhihirisha ulivyo na uwezo mdogo wa kutafakari, kufikiri na kuamua!
 
Ukiwa malaya usipokuwa mjanja utaishia kubaki mikono mitupu ama la utaishia kuondoka na magonjwa ama vyote kwa pamoja. Hakuna faidia yoyote inayopatikana kwa umalaya.
 
Ukiwa malaya usipokuwa mjanja utaishia kubaki mikono mitupu ama la utaishia kuondoka na magonjwa ama vyote kwa pamoja. Hakuna faidia yoyote inayopatikana kwa umalaya.
Hakuna faida wakati unakuwa una socialize na watu tofauti tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…