Umalaya ni mbaya sana! Ewe mwanaume mwenye familia, itunze

Nini maana ya kimwenje?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ nafikiri nimekosea kuku quote mkuu. Sikumaanisha hivyo. Niwie radhi kwa hilo mkuu.
unalijua kuti la mnazi? sasa hua likikatwa sawa kuna vile vijani vya mwisho juu huku vikibakia hua havina kazi ndio huitwa kimwenje
 
Mnapenda kutusingizia wanawake,hayo malori kawahonga hao wanawake??watu wana mi hela yao ya manyokanyoka wakishindwa masharti mahela yote yanaondoka nyie mnasema wanawake...
Kama biashara ziliwapa utajiri kiasi hicho wewe binafsi ulinunua malori mangapi?
 
Umalaya na kuendekeza wanawake ndio chanzo cha anguko la jamaa. Sasa analia tu ndani.

Mi sina malori, mi na madafu tu ninayoyauza hapa Ikulu. Karibu uniungishe dafu basi.
 
Habari za huko mkoa wa "Songea"?πŸ€”
 
Umalaya na kuendekeza wanawake ndio chanzo cha anguko la jamaa. Sasa analia tu ndani.

Mi sina malori, mi na madafu tu ninayoyauza hapa Ikulu. Karibu uniungishe dafu basi.
Mwambie akupeleke makete kuna mtu anaitwa Mwakipande,utapata Caroline na weweπŸ˜‰πŸ˜‰
 
Mwenzako ana watoto 15+1 na wote anasomesha hajawatelekeza halafu unamcheka aisee! You can't be serious

Halafu mbona hueleweki kuhusu hao wanawake? Mara useme kawaoa mara uwaite malaya mara... Sikia wewe muuza madafu feki, ikiwa hii stori yako ni ya kweli HUYO JAMAA KAMA HAO WANAWAKE ALIOA BASI NAMPA BIG UP SANA NA MOLA AMUONGOZE INSHAALLAAH

Mjinga ni huyo aliyeshauri uchawi!
 
Wewe mlengo wako sio tu kushuka kwa maisha ya rafiki yako halafu wewe sio rafiki kwa maelezo yako wewe ni adui wa huyo jamaa na hapo ulipo unafurahia anguko lake nyoka kabisa wewe
Atakuwa mchawi huyu Muuza Madafu Wanaume Hatuwi Na Chuki za Ajabu Ajabu Amefilisika ni yeye wewe inakuuma nini? Au alikuwa anakuhonga?
 
Polisi walikufanya nini mbona unawachukia sana?
 
Au alipigwa dawa maana sikuhizi hawakulogi ufe, unarogewa kitu kitakachomaliza hela yako.
Ili ukishafilisika uteseke wakikushuhudia, ila qum....ah zimewaangusha wanaume wengi sana, kuna mzee anaumwa sana saiv lakini hata watoto hawako organized sababu ni alizaa kwa wamama 6 tofauti, mke alienae ni yule wa kumtunza uzeeni, hajali kitu, basi ni mateso tu anatia huruma sana ila unaambiwa enzi zake hizo jeuri zake sio za kitoto pesa ilikuwepo mke alihenya vilivyo ikafikia hatua yakamshinda na walizaa watoto zaidi ya 10😒😒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…