Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
- Thread starter
- #101
Nini maana ya kimwenje?😀😀😀 nafikiri nimekosea kuku quote mkuu. Sikumaanisha hivyo. Niwie radhi kwa hilo mkuu.mimi sio lesbiani wewe kimwenje nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini maana ya kimwenje?😀😀😀 nafikiri nimekosea kuku quote mkuu. Sikumaanisha hivyo. Niwie radhi kwa hilo mkuu.mimi sio lesbiani wewe kimwenje nini?
unalijua kuti la mnazi? sasa hua likikatwa sawa kuna vile vijani vya mwisho juu huku vikibakia hua havina kazi ndio huitwa kimwenjeNini maana ya kimwenje?😀😀😀 nafikiri nimekosea kuku quote mkuu. Sikumaanisha hivyo. Niwie radhi kwa hilo mkuu.
Kashasema anauza madafu mkuu 🤣Wewe ambaye hukua malaya(ama tuseme ulikua unachukua malaya wa hadhi yako) una malori mangapi sasa?
Mwanamke mwenye hadhi ndio mwanamke wa aina gani?
Kivipi we winga wa hapo kariakoo?Hilo sinia la vikombe litembee shem 😹
Umalaya na kuendekeza wanawake ndio chanzo cha anguko la jamaa. Sasa analia tu ndani.Mnapenda kutusingizia wanawake,hayo malori kawahonga hao wanawake??watu wana mi hela yao ya manyokanyoka wakishindwa masharti mahela yote yanaondoka nyie mnasema wanawake...
Kama biashara ziliwapa utajiri kiasi hicho wewe binafsi ulinunua malori mangapi?
Habari za huko mkoa wa "Songea"?🤔Hiki kisa kimenisikitisha sana.
Kuna jamaa yangu na rafiki yangu kitambo toka 1980's kule Morogoro na tulianza biashara naye za kuuza/kuchukua Sigara kwenye treni kipindi hiko.
Mambo yakatunyookea tukaanza kufanya biashara za Mahindi kwenye mikoa ya Songea na Morogoro. Mwaka 1997 jamaa alioa nami niliona mwaka 1999 kwa kuwa tulikuwa na familia ikabidi kila mtu kuendelea na maisha yake japo mara nyingi huwa tunawasikliana na kushauriana mambo mbalimbali ya kimaisha.
Jamaa aliendelea kiuchumi na kufikia hatua ya kumiliki malori 10 yaliyokuwa yanabeba/safirisha mizigo toka Bandari ya Dar kwenda Zambia, Kongo na nchi nyingine za jirani. Baada ya kutajirika, akaanza tabia ya Umalaya.
Changamoto kubwa aliyokuwa nayo ni kutembea na wanawake wa kawaida yaani wasio wa hadhi yake. Ki kawaida, kwa mwanaume jama umeshindwa kutulia na mkeo. Basi tafuta mwanamke mwenye hadhi sio kuhangaika na wanawake wasio na kipato. Hii ilipelekea kuanguka kiuchumi kwani wanawake waliona ana mali so wakawa wanazaa naye. Sasa ana watoto 15 kwa wanawake 4 tofauti. Yule wa kwanza ana watoto naye wawili tu ila haonwengine ni wanawake wa Kiswahili wa pale Morogoro.
Hata kama dini yake inamruhusu, hakuna mwanamke anayekubali kuolewa mitara na hili alinishirikisha mwenyewe kuwa alishauriwa na shehe mmoja wa BAKWATA Morogoro kuwa anatakiwa amroge nankumshika akili mke yule wa mwanzo ili akubali aone mwanamke mwingine.
Ni kweli alifanikiwa kumshughulikia yule mama wa kichaga kwani amekuwa zumbukuku japo anasema yule mama hajakubali jamaa aone mwanamke mwingine ila yule mama hajitambui na anafanya vitu vya ajabu sana.
Sasa hivi, jamaa kafirisika na amekaa ndani analia tu. Wanawake wamemfirisi kwani alioa mwanamke mmoja polisi na mwingine mama wa nyumbani tu. Hao wote walitaka awajengee nyumba na jamaa aliniambia aliwanunulia kiwanja Morogoro Mjini na kuwajengea nyumba kwa gharama za milioni 60 kila mmoja. Kingine kilichomfanya aukwae umaskini ni gharama kubwa ya ada kwa watoto kwani analipa ada si chini ya milioni 30 kwa mwaka kwa shule asomeshazo watoto na kuna binti mwingine alizaa nje anamsomesha Law school.
Alinieleza hayo akaniomba ushauri na msaada ni kwa namna gani atalipa mkopo wa Tsh 150M toka CRDB ambao aliuchukua kama mkopo wa Kilimo na huko shambani kaambulia gunia 6000 tu za Mpunga ambazo nyingi ni madeni ya watu wengine waliomkopesha.
Enyi wanaume wenzangu, tulieni na wake zenu. Mnaharibu familia na ndoto za watoto wenu. Leo anampeleka mwanaye kweli awe Polisi? Inasikitisha sana.
Mi mwenyewe pamoja na kuuza kwangu madafu, siwezi na sitaruhusu mwanangu awe Polisi.
Dah Inasikitisha sana. Umalaya mbaya sana. Mungu atusaidie.
Mi sipo Songea. Mi nipo nauza madafu hapa Ikulu kwa bi. Kizimkazi. Karibu madafu mkuu.Habari za huko mkoa wa "Songea"?🤔
Madafu gani hayo hayana maji?Au unauza ngazi za kwa bwana Zitto Kabwe na ugali wa loya?Mi sipo Songea. Mi nipo nauza madafu hapa Ikulu kwa bi. Kizimkazi. Karibu madafu mkuu.
Loya anaujua bwana Lucas Kifyasi rafiki yako mkuu.Madafu gani hayo hayana maji?Au unauza ngazi za kwa bwana Zitto Kabwe na ugali wa loya?
Umenishinda tabia.Huyuhuyu Luca mtoto mpendwa wa mwalimu Magesa?🤣🤣🤣🤣🙏Loya anaujua bwana Lucas Kifyasi rafiki yako mkuu.
Mwambie akupeleke makete kuna mtu anaitwa Mwakipande,utapata Caroline na wewe😉😉Umalaya na kuendekeza wanawake ndio chanzo cha anguko la jamaa. Sasa analia tu ndani.
Mi sina malori, mi na madafu tu ninayoyauza hapa Ikulu. Karibu uniungishe dafu basi.
Atakuwa mchawi huyu Muuza Madafu Wanaume Hatuwi Na Chuki za Ajabu Ajabu Amefilisika ni yeye wewe inakuuma nini? Au alikuwa anakuhonga?Wewe mlengo wako sio tu kushuka kwa maisha ya rafiki yako halafu wewe sio rafiki kwa maelezo yako wewe ni adui wa huyo jamaa na hapo ulipo unafurahia anguko lake nyoka kabisa wewe
Itakua alikua anam Pdidy sio hivi hiviAu alikuwa anakuhonga?
Polisi walikufanya nini mbona unawachukia sana?Ila sio kwa kushindana na uchi mkuu. Hata mi nitaweza filisika ila sitafilisiwa na tundu la mwanamke. Hayo mambo yana umri ndugu yangu. Kwenye miaka yetu hii 50's unasumbuliwa na wanawake tena mwanamke Polisi mwenye miaka 30's na mvuta bangi? Tulimshauri sana ila dah.
Inasikitisha, byee. Ngoja nikapambanie wanangu.
Ili ukishafilisika uteseke wakikushuhudia, ila qum....ah zimewaangusha wanaume wengi sana, kuna mzee anaumwa sana saiv lakini hata watoto hawako organized sababu ni alizaa kwa wamama 6 tofauti, mke alienae ni yule wa kumtunza uzeeni, hajali kitu, basi ni mateso tu anatia huruma sana ila unaambiwa enzi zake hizo jeuri zake sio za kitoto pesa ilikuwepo mke alihenya vilivyo ikafikia hatua yakamshinda na walizaa watoto zaidi ya 10😢😢Au alipigwa dawa maana sikuhizi hawakulogi ufe, unarogewa kitu kitakachomaliza hela yako.