The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa ha haaa Unpaidseller nimdhulumiwa Saa 7 mchana nilichouza asubuhi ndio maana nategemea kukopa dio nijengeUnpaidseller komaa wakulipe kwanza
Mkuu hata sio ya ndoto zangu ni hiz hizi chumba sebuleKopa tu mkuu nyumba ya ndoto yako huwez imaliza leo ,labda kama iz za chumba sebure
Mkuu hata sio ya ndoto zangu ni hiz hKopa tu mkuu nyumba ya ndoto yako huwez imaliza leo ,labda kama iz za chumba sebure
Kama uko kwenye kupaua, unahitaji tena kuzika mil. 30 zaidi ili angalau ufike kwenye finishing za muhimu........kwa hiyo omba angalau vita ya yukreine isiendelee kusababisha maumivu zaidi.
Mkuu hongeraMwwnyewe nna appartment zangu tano ndo nimemaliza kujenga kuta leo, zinanidai bando 20bati z mita tatu nna fikiria kukopa 20mln kwa 3yrs
Ila mm nakopa crdb
Hatari sana mkuu ni kweli ila yote ni matokeo ya sera mbovu na maslahi duni sana kwa watumishi wa ummaMaisha ya watumishi wa umma..hata wakiongezewa 5k kwenye mshahara wanaenda kuikopea.
#MaendeleoHayanaChama
CRDB wameshusha ( Kama wameshusha kweli ) riba kwasababu wamekopeshwa pesa nyingi sana ambazo wanatafuta sehemu ya kuziweka.Wakuu nina kaproject kangu ka ujenzi nilianza mwaka juzi nimefika kwenye kupaua nimesimama, umasikini huu daaah.
Nasubiri NMB nao washushe riba nikope tena kumalizia kaproject kangu na wao wamebaki pale pale 17% CRDB wameshuka mpaka 13%
Hivi wakuu hakuna mwenye fununu hawa jamaa watashusha lini riba zao ?
Mkuu tunakupa hali halisi, ili upige mahesabu vizuri uweze kuweka hata magrili na nyavu, milango miwili ya nje uhamie.......vinginevyo unaweza kuimba haleluya.Mkuu hata sio ya ndoto zangu ni hiz h
Mkuu unanikatisha tamaa
Asante kwa kunipa moyo na shime mkuuMkuu tunakupa hali halisi, ili upige mahesabu vizuri uweze kuweka hata magrili na nyavu, milango miwili ya nje uhamie.......vinginevyo unaweza kuimba haleluya.
sasa iyo 5k unaweza ukanunua bati uko kwenu bonyokwaMaisha ya watumishi wa umma..hata wakiongezewa 5k kwenye mshahara wanaenda kuikopea.
#MaendeleoHayanaChama
Nyie ndo mnatisha watu kwenye ishu za Ujenzi.Sio vizuri hivyo.Kama uko kwenye kupaua, unahitaji tena kuzika mil. 30 zaidi ili angalau ufike kwenye finishing za muhimu........kwa hiyo omba angalau vita ya yukreine isiendelee kusababisha maumivu zaidi.
Ndo maisha yetu hayo,tumeshayazoea.Maisha ya watumishi wa umma..hata wakiongezewa 5k kwenye mshahara wanaenda kuikopea.
#MaendeleoHayanaChama
Mkuu hili nililisikia ya kua B.OT (Bank kuu) wanamkakati wa kuwakopesha mabenk pesa ili kushusha riba ila mkuu iCRDB wameshusha ( Kama wameshusha kweli ) riba kwasababu wamekopeshwa pesa nyingi sana ambazo wanatafuta sehemu ya kuziweka.
Ndio maana mkakati wao mkubwa Ni salaried employee na Wafanyabiashara.
Ila nimeona, Kama hiyo riba ya 13% CRDB itawahusu wale wanaopitishia mishahara yao kwao.
Kwa muktadha huo sidhani kama NMB watashusha riba maana wao hawajapata pesa sehemu Kama ilivyo kwa CRDB.
hapana mkuu mi napenda kufanya project full nmejenga in 3yrs but ninachokipendaMkuu hata sio ya ndoto zangu ni hiz h
Mkuu unanikatisha tamaa