The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
- Thread starter
- #21
Mkuu niko mid 30's. Nashukuru kwa ushauri ila mkuu nikope pesa niweke kwenye biashara, nikipiga loss Unpaidseller mimi si ndio nitachanganyikiwa nife kabla ya siku zangu mkuu.Id yako inaonyesha unapitia magumu sana kaka, Mimi nakushauri ukope ila usipaue fungua biashara huko hutajuta maana kujenga ni kama kuzika hela.
Tena kama uko kwenye 20's na 30's usikimbilie kujenga.
Kuusu kupitia magumu, uko sahihi