MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Sijakuelewa.CRDB wameshusha ila wameongeza kwenye RIBA YA MKOPO yaani mfano kama unakopa million 10,basi utalipia kama laki 9 hivi riba.
Hicho walicho shush Ni nini, Kama riba ya mkopo haijashushwa?