bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
- Thread starter
-
- #181
Masikini Wana smartphone lakini majority wanazimiss use zaidi wanaangalia visivyotija kwao zaidi ya kufurahisha ubongo tu via smartphone kuna masoko ya kuziona fursaSio kwamba sioni mchango wa teknolojia. Mm nauliza ni kwamba ni what extent this argument is tangible in both quantitative and qualitative terms?. Nani hajui kama smart phone maskini wanaxo na hawatoboi au unataka kuzungumza kuhusu matumizi?.
Kuna jamaa zangu wanagugo na kufanya adoption ya innovation za nje ya afrika. Wana Hali mbaya mpaka leo kula matunda tu mpaka mshahara utoke
Kwa kigezo cha kumudu kupata mahitaji yake na ya ziada, unamaanisha Chakula, mavazi na malazi?Umasikini upo wa aina nyingi unalengwa hapa ni ule wa kipato.
Umasikini ni matokeo ya akili kushindwa kubaini fursa zinazokuzunguka ili uzigeuze mtaji.
Popote penye watu Pana pesa,watu ndio soko lenyewe.
umasikini ni hali ya mtu kushindwa kuchukua pesa Toka kwa watu.Bakhresa anachukua pesa Toka kwa watu kwa kubadilishana na kile wanachohitaji.
Mtaji ni 4H
1. Head
2. Health
3. Hand
4. Heart
Umasikini ni laana, kuzaliwa masikini hakumfanyi mtu kuwa masikini, kutokuwa elimu sio kisingizio cha kuwa masikini.
Utajiri unaozungumzwa hapa sio ule wa ukwasi Bali wa mtu binafsi kumudu kupata mahitaji yake na ziada.
Asilimia kubwa ya matajiri wana conglomerated company. Wengi wanauza teknolojia, mafuta, madini.Kwa kigezo cha kumudu kupata mahitaji yake na ya ziada, unamaanisha Chakula, mavazi na malazi?
Mahitaji yanategemeana na kipato na mazingira.
Lazima tukubali kuwa mazingira huathiri fikra na hivyo hali ya kiuchumi kwa ujumla! Kuna levels za utajiri kulingana na mazingira, huwezi kuwa bilionea wa Africa Kama biashara yako imebase nanjilinji huko
Nakazia hapo kwenye umaskini ni laana, Aseeh umaskini ni laanaUmasikini upo wa aina nyingi unalengwa hapa ni ule wa kipato.
Umasikini ni matokeo ya akili kushindwa kubaini fursa zinazokuzunguka ili uzigeuze mtaji.
Popote penye watu Pana pesa,watu ndio soko lenyewe.
umasikini ni hali ya mtu kushindwa kuchukua pesa Toka kwa watu.Bakhresa anachukua pesa Toka kwa watu kwa kubadilishana na kile wanachohitaji.
Mtaji ni 4H
1. Head
2. Health
3. Hand
4. Heart
Umasikini ni laana, kuzaliwa masikini hakumfanyi mtu kuwa masikini, kutokuwa elimu sio kisingizio cha kuwa masikini.
Utajiri unaozungumzwa hapa sio ule wa ukwasi Bali wa mtu binafsi kumudu kupata mahitaji yake na ziada.
Suluhu lake ni maombiNakazia hapo kwenye umaskini ni laana, Aseeh umaskini ni laana
Hakikaah mkuu Mungu atupganie san.Nakazia hapo kwenye umaskini ni laana, Aseeh umaskini ni laana
Jamani😃😃😃You know the right person!. Wapi wengi sanaa yani anaongea vitu ambavyo yey mwenyew kuvitekeleza vinamshinda.
Muhimu akisema neno FoCus libebe mana wengi tunakosaga hicho tu. Na hao motivation speaker wanatoleaga mifano watu waliofanikiwa na sio wao wenyewe. Wana Nini? Nanauka utajiri wake si ni kama cocastic wangu tu.
Cc. Leejay49
Mpaka hapo, huna nyota ya utajiri
Unaizungushaje pesa ikiwa huna muda wa kusimamia biashara wala investments?
Kumbuka huongei na mtu ambaye anavuna $5000 kwa mwezi , mishahara ya wabongo mnaijua na hapo hujajumlisha na expenses.
Savings na research haiepukiki, sio leo unasikia mtu anakuambia, buy dogecoin alafu hujafuatilia kuwa Benki Kuu ya Marekani hai-cut interest rates, unaingia kichwa kichwa unakula hasara
Bila nyota au kibali utoboi,utajiri uanzia rohoni.
pesa ni roho ndio maana Ina nguvu ya kufanya jambo.
Ukiitwa tu Dili la Hela lazima furaha yako iongzeke
Sijabase kwenye ubilionea hio ni another factor,base kwenye basic needs na ziadaKwa kigezo cha kumudu kupata mahitaji yake na ya ziada, unamaanisha Chakula, mavazi na malazi?
Mahitaji yanategemeana na kipato na mazingira.
Lazima tukubali kuwa mazingira huathiri fikra na hivyo hali ya kiuchumi kwa ujumla! Kuna levels za utajiri kulingana na mazingira, huwezi kuwa bilionea wa Africa Kama biashara yako imebase nanjilinji huko
Sasa Nina swali hapo: Naona watu wengi wanafanikiwa Kwa Shetani na majini , je mtu akimtumainia Mwenyezi Mungu tu bila kushirikisha chochote anaweza toboa?
Unatumia milioni moja kulima shamba la matikitiki karibia heka 5 halafu unauza laki mbili- soko hamna, hapa tunasema shida ni nini?
toa dataUmasikini ni matokeo ya akili kufungwa yaani kutoruhusu au kutafuta taarifa mpya zitakazokusaidia kuyachakata mazingira yako uone fursa.
ni rahisi kwa mtoto wa tajiri kuwa masikini case study zipo nyingi.
una maanisha Joel ni naniNilichogundua hawa wanaojifanyaga ma-motivational speakers ndo wanakuaga na hali mbaya....ukiwatoa akina Joel Nanauka
Nyie, msiwaonage Watu wamefanikiwa mkadhani Ni rahisi, kuwa tajiri Ni shughuli pevu Sana watu wanapitiaga mengi Sana.
Kufanya kazi kwa bidii pekee hakuwezi mfanya mtu awe tajiri maana Kama ingekuwa hivo watu wengi wangekuwa Ni matajiri.
Kwenye kila utajiri nyuma Yake Kuna uchafu ambao umefunikwa na kaniki nyeusi usionekane.
Sure subconscious mind yake lazima impeleke huko huko.Ukiendelea kuamini hivi subconscious yako Inakariri inamaana wewe kufanikiwa kwako itabidi uwe mshirikina ndio imani yako ilipo lala
subjective vs objectiveUmeandika vizuri sana lakini umeharibu hapo uliposema "umasikini ni laana". Hilo sikubaliani na wewe.
Mbora kati yetu kwa Mwenyezi Mungu ni mcha Mungu, siyo umasikini au utajiri wetu.
Neno masikini ni la kibinafsi "subjective", umasikini kwa mmoja siyo umasikini kwa mwengine. Unaweza kuwa tajiri wa mali lakini masikini wa afya.
Jirekebishe kauli zako