Umasikini wa mwanamke sio tatizo la mwanaume.

Mariamu nipe Hela yangu nasema rudisha hela yangu.kuuuumbe nilikuwa sijui Mariamu usiponirudishia haki ya mungu nakupeleka polisi.Asante Braza.
 
Kama ukweni Hali yap ni duni usaidii?
Mzee Kwa Hilo mm nilishalikataa kabisa babu yangu aliwahi niambia jukumu la kuangalia familia na kuendeleza nyumbani ni la watoto wa kiume , sasa shemeji zako wa kiume wanakuwa na kazi Gani wakati huo bado familia yako unatakiwa kufanya jambo.
 
Kama ukweni Hali yap ni duni usaidii?
Unamsaidia mkeo halafu yeye ndie atasaidia uko kwao, hata ivyo unapaswa kujiepusha kujenga mahusiano na mwanamke masikini from the first place.

Mwanamke masikini hawezi kukupiga tafu ukianguka kiuchumi, mwanamke masikini hawezi kuja na suluhisho la chochote anakuja na matatizo tu.
 
Mkuu Balqior umemtag DeepPond aje kufanya nini hapa wakati yeye mwenyewe kanigwa kwa chupi ya mama J hafurukuti?
Akiambiwa bila laki mbili mezani hupati papuchi anahaha kuwapigia wadau wamuwekee kwa Emupesa..
 
Alieandika essay na mimi nani kachomeka?

Udada na kaka umeanza lini?
Halafu Kapeace si nilikuambia uache hizi ligi kama unaogopa kuwa nitasoma huu uzi ni kwamba nimesoma tayari na bado nitaendelea kuwekeza kwako tena faida yote kwenye mauzo ya nyanya utatunza wewe..
Maana nikitunza mimi nitahonga pisi zingine si ndio??
So waache wanaume wafunguliwe codes usi-interrupt hii motion basi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ