Umasikini wa Watanzania chanzo chake ni kupenda kujenga nyumba ya kuishi kwanza badala ya kuanzisha biashara

Ni either hujui biashara ni nini au huna akili. Either of the two.
 
Kwa hiyo akipata uhamisho huyo.mtumishi wa umma anayejitambua kila anakohamishiwa inabidi ajenge nyumba ya kuishi?
Yes, kama uwezo unaruhusu ni kujenga tu ya kwako mzee! Pia uhamisho wa siku hizi una taratibu zake sio kama miaka ya nyuma kila mkiingia mwaka mpya mnakuta barua kibao za uhamisho alafu hakuna malipo mpaka badae sana lakini siku hizi hayo mambo yamepungua hata walimu waliokuwa wakihamishwa hovyo sasa hivi wanadumu sana vituo vyao vya kazi labda wenye matatizo ya kinidhamu au ukiukwaji wa mikataba yao!
 
Nyakati zimebadilika sana, huwezi kuchukua ndugu/jirani waje kuishi kwako Mjini ili kutafuta maisha, utakua unawapotezea muda, kwa sasa wasaidie kwenda Shule au chuo, kwani huo ndio msaasa kwa sasa. Nyakati hizo watu walikua wanafanya hivyo kwa sababu palikua hakuna shule za kutosha.
 
Sio wote hawajafanikiwa mimi nina kazi na Nina biashara Pamoja na nyumba za kupangisha. Nimeridhik
Inaelekea hujaelewa uzi, Nyumba ya kupangisha na ya kuishi ni tofauti na kuanza kujenga Nyumba ya kuishi mara tu unapoanza kazi ni makosa ambayo 99.9% wanayafanya. Ni somo gumu kulielewa kama huna taaluma ya Biashara.
 
Ni either hujui biashara ni nini au huna akili. Either of the two.
Wewe ndio huna akili, unachokiwaza wewe wenye akili waliwaza karne zilizopita. Wewe unawaza biashara kufilisika wenzio wanawaza biashara kuendelea kunawiri hata kama wamekufa. Endelea kuwaza katika negative energy utavuna unachopanda.

Yani mimi nipande heka zangu mia za minazi tuwe tuwe na wewe uliejenga bangaloo la milioni 100 kwa ajili ya usingizi. Kweli wewe una akili sana endelea hivyo hivyo nunua na Mercedes Benz upark pale kwenye uwa wa jumba lako.
 
Inaelekea hujaelewa uzi, Nyumba ya kupangisha na ya kuishi ni tofauti. na kuanza kujenga Nyumba ya kuisha mara tu unapoanza kazi ni makosa ambayo 99.9% wanayafanya. ni somo gumu kulielewa kama huna taaluma ya Biashara.
Babu zetu walijenga nyumba za kulala, baba zetu wamejenga nyumba za kulala na sisi tunaendelea kurithi akili ile ile, japo pamoja na kuona hali ngumu ya hao wazazi waliokuwa wanamiliki hizo nyumba bado tunakosa ubunifu. Huwezi sikia mtu anawaza kuanzisha kampuni au investment endelevu.

Yaani mtanzania akiugua mwaka Kwisha habari yake kwa sababu anategemea active income badala ya passive income. Ukiugua au ukafukuzwa kazi nyumba ya kulala itakulisha? Au utakuwa ombaomba.
 
SI KILA MKOPAJI HUWEKA DHAMANA NYUMBA WENGINE HUTUMIA FIXED DEPOSIT ZAO KAMA DHAMANA LIJUMBA NALO LAWEZA LISIUZIKE UKIWA NA NYUMBA SIO GUARANTEE KUWA WAWEZA PEWA MKOPO
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ..Mambo ya kuforce mabaya sana
 
Mkubwa .. nakubaliana kwa [emoji817][emoji109][emoji110][emoji109]
Itoshe kusema unaupeo mkubwa mnoo... Nashindwa kuelewa wanaokupinga ..wanawaza kwa kutumia nini
 

Usijidanganye kwa kuwa tu umejaribu kudunduliza hela ya kujenga ukashindwa na kuamua kujifichia kwenye kichaka cha wahindi. Suala la wahindi kutojenga Africa /Tz asili yake ni kukosa uhakika wa makazi kutokana na instability ya serikali za kiafrica yaani hawajui lini wataondolewa kama alivyofanya Iddi Amini 1970's . FYI hata hela wahindi hawaweki kwenye local banks wananunua madini na nyingine wanaweka kwenye benki zao ( BoA)

Katika maisha mahitaji muhimu ya binadamu ni Chakula, Makazi na Malazi. Ukikosa uhakika wa makazi jua wewe bado ni maskini tu, ndo maana hata ukienda kuomba mkopo bank unaulizwa mali isiyohamishika sio unafanya biashara gani.
 

Pata picha umepiga pamba kali , umeshiba vizuri halafu huna pa kulala mwenye nyumba kakutolea vitu nje
 
Assets: kitu kinachoingiza pesa mfukoni mwako mfano ardhi, shamba
liability:kitu kinachutoa pesa mfukoni kwako mfano nyumba ya kuishi gari la kutembelea ni liability


source: financial IQ kutoka kwa robert kiyosaki
 
Kila binadamu ni Mfanyabiashara ?

Ushauri fanya kile unachopenda ndio maana ya kuishi (Life is for Living) kwahio sio unahangaika kutafuta sijui unachokitafuta ni kwa faida ya nani unakipata by the time unaitwa marehemu....

Kufanikiwa sio kwa kupata material things, bali kufanikisha kile ulichokianza.... / ulichokusudia....

Ingawa labda point yako ungesema kwamba nyumba / kujenga sio necessarily an asset, inaweza ikawa ni mzigo
 
[emoji16][emoji16][emoji16]acha kupotosha watu sisi dar tuna nyumba zaidi ya 4 lakin upiga kwa mwaka hela tunayo chukua si chini ya milion 16 na nikufumbue katika biashara ambayo haina hasara ni nyumba ni bonge la biashara watu kila siku wanakuwa wanahitaji kuishi maisha yao hapo kwenye nyumba bado ujaja kwenye hustle zetu wenywe huku tumetulia tunajua nyumba zipo miezi ikifika hela zinaingia ila upate mpangaji mzuri anae lipa kodi kwa wakati siyo kichefu chefu wa kupiga calenda
 
Wale mawizara waliohamia Dodoma toka Dar wakajenge nyingine Dodoma?
 
Sijui nani ameturoga sisi......mbona kila kitu tunajidharau tu
 
Milioni 280?

It's okay..thank you[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…