Jengo lisilo generate income ni liability sababu linakusubiri upate income sehemu zingine Litafune income yako pia gari ya kutembelea nyumba ya kulala na kuamka zote ni liability zinatafuna tu income toka other sources unapata ni wadai wako kwenye personal finance nyumba ya kulala na kuamka na gari ya kutembelea sio Asset!!! Don't just think of company financial reports prepare your own personal financial reports kukariri !!! Prepare your own personal financial reports !!! Sio unakomaa tu za kampuni jiongeze
Mkuu an asset kitafsiri kwa maana ya present economic resources zenye potential ya economic benefits. Economic benefits haziko limited to income tu, kuna savings hapo n.k
Na hiyo tafsiri ya asset haina exceptions zozote.
Whether ni personal asset au corporate asset, bado asset inabakia na tafsiri ile ile.
Whether ni personal financial report au corporate financial report, zote zinajumuisha asset zenye tafsiri ile ile.
Whether ni personal asset au corporate asset zote lazima zihudumiwe ili ziendelee kusapoti uzalishaji.
Establishing kwamba personal asset zinakula income huenda katika muktadha wa pale zinapohudumiwa in terms of improvement, repair, maintenance and any other capital and operating cost, this does not justify kuwa sio an asset hivyo basi ni liability.
Asset ni liability to the extent that, which source of finance was used to acquire such an asset.
Liability of an asset haiwi determined na whether hiyo asset inakutia hasara ama laah!
Muamuzi ni chanzo cha mapato(internal or external) ulichotumia kupata asset husika.
Pia lazima tuelewe hakuna asset isiyo na potential economic benefit. Ila kuna uwezekano wa economic benefits kuzidiwa na gharama ya kununua na kuendesha asset.
Mtu anaweza kuwa na mali binafsi lakini inasapoti uzalishaji wake au ana save significantly kuliko ambavyo angekuwa anatumia usafiri wa umma au amepanga.
Cha kuzingatia kabla ya kununua asset fanya cost benefit analysis ya asset husika then uamue kununua.