Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

Western propagandist hamna ukweli wowote, hizo propaganda ndo zilichezewa Africa kwa mda mrefu ili kujustify misada yao, mbona hawaandiki kuhusu ushoga unao fanywa kwa watoto wadogo katika mafunzoni ya dini
Lakini Hilo chapisho ni la Pakistan Sasa western imengiaje? Kwaiyo wewe unaweza mruhusu mtoto wako wa miaka 6 aolewe?
 
Acha kushabikia uharimia
Mkuu ndoa za utotoni zina ongozwa na Africa India ya pili pakistan afghanistani ya sita neenda google upate data "child marriage" kama utaiona Tanzania kua katika 10 bora. Acheni propaganda za Wazungu mue mnachuja taarifa zao.
 
Mkuu ndoa za utotoni zina ongozwa na Africa India ya pili pakistan afghanistani ya sita neenda google upate data "child marriage" kama utaiona Tanzania kua katika 10 bora. Acheni propaganda za Wazungu mue mnachuja taarifa zao.
Sasa Tanzania ndoa za utotoni si kinyume cha sheria kama ilivyo ukeketaji.
 
Western propagandist hamna ukweli wowote, hizo propaganda ndo zilichezewa Africa kwa mda mrefu ili kujustify misada yao, mbona hawaandiki kuhusu ushoga unao fanywa kwa watoto wadogo katika mafunzoni ya dini
Walioandika hapo ni Pakistan
 
Mbon kawaida sana nenda India ukaone sio mada wagalatia πŸ˜€Huo ndio uchumi uliachwa na mabwana zenu wazungu na wameupandisha wana projects kibao zinakuja , moja wapo ni kilimo .

Kama ni ishu kubwa sana hayo BBC wamejaza kweny taarifa zao.
Hata "honour killings" ni kawaida sana India na Pakistan.
 
Hata "honour killings" ni kawaida sana India na Pakistan.
Taliban ndio imepandisha uchumi hayo ni matatizo ya mabwana zenu wazungu, kama ukisoma hapo wamesema sio sababu ya sharia na hali ya kiuchumu.

Safaru imeimarika maradufu baada ya kuingia Taliban, mikakati ya njaa ndio hiyo wameanza na mapinduzi ya kilimoa. Wale mabwana zako waliacha njaa sana kwa kupenda pesa.
 
C unaona upumbavu kama hu, wewe unafikiri kila mtu anafuata utamadini wenu wa kimakonde, India mpaka leo huo utamaduni wanao mtoto kutafutiwa mchumba angali mdogo ila mahusiano huja badaye akikua sasa nyie hufikiri kwa mihemuko na chuki zenu.
Ni kweli huko India hutafutiwa mchumba akiwa mdogo ila sio kumuingilia akiwa na miaka 9 bro.
 
Mbon kawaida sana nenda India ukaone sio mada wagalatia πŸ˜€Huo ndio uchumi uliachwa na mabwana zenu wazungu na wameupandisha wana projects kibao zinakuja , moja wapo ni kilimo .

Kama ni ishu kubwa sana hayo BBC wamejaza kweny taarifa zao.
 

Jana niliona taarifa fulani ya uchunguzi, ipo youtube. Jinsi Arabuni, especially Kuwait wanavyouza wadada wa kazi kama bidhaa kwenye website za e_commerce.

Na wengi wanaouzwa ni waafrica. Inasikitisha sana.


View: https://youtu.be/2IdII_n28e0?si=6TZDFGN0Cc6CJULW
 
Muasisi wa hii tabia ya kututwaa tutoto aliianzisha mudi "the lustful one" baada ya kukitwaa kiaisha
 
Aisee jamaa ulitabiri jambo nimepost jambo langu hapo juu then baada ya muda ndio naiona comment yako ikitabiri jambo hilo nililolipost
 
Uko si ndo wavaa Kobaaz wale wafia dini ..mtume ndo kawafundisha hivyo??!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…