Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

Mbona unauliza swali la kijinga!?
Je kumnunua mwanamke kingono ni sawa na kumuoa!?
Huyo ameposwa au kauzwa!?
Huna akili kabisa.
"Katika biashara hii katili wazee wa hadi miaka 70 wananua watoto wa kike wa hadi miaka sita kwa minajili ya kuwatumia kama wake zao.

Tofauti na nchi nyingi huko Afghanistan hii biashara ni halali kabisa chini ya Utawala wa Taliban!
Watoto wanaonunuliwa wanakuwa katika hali za kusikitisha sana wakilia kwa uchungu mkubwa kuchukuliwa na wanaume watu wazima wasiowafahamu au kujua wanaenda kuwafanyia nini."; mwisho wa kunukuu.

Muktadha wa hiyo nukuu ni nini?
 
Utaratibu wa familia masikini kuuza watoto wa kike au kuwatoa kama malipo ya mkopo umekuwepo kwa muda mrefu Afghanistan ila kudorora kwa uchumi na kurudi kwa Taliban madarakani baada ya majeshi ya Marekani kuondoka kumezidisha janga hili la kibinadamu na kushuhudia familia nyingi zaidi zikiuza watoto wao wa kike kwa wanaume matajiri na wanaowadai.

Katika biashara hii katili wazee wa hadi miaka 70 wananua watoto wa kike wa hadi miaka sita kwa minajili ya kuwatumia kama wake zao.

Tofauti na nchi nyingi huko Afghanistan hii biashara ni halali kabisa chini ya Utawala wa Taliban!
Watoto wanaonunuliwa wanakuwa katika hali za kusikitisha sana wakilia kwa uchungu mkubwa kuchukuliwa na wanaume watu wazima wasiowafahamu au kujua wanaenda kuwafanyia nini.
View attachment 2990505
Namim nahitaji mtoto wa afiganstan kununua nimependa kautaratibu kao nikishamnunua na mbadilisha dini namrudisha mikononi mwa bwana yesu haleluya tuchangamke tuwanunue ili tuwahubirie injili
 
"Katika biashara hii katili wazee wa hadi miaka 70 wananua watoto wa kike wa hadi miaka sita kwa minajili ya kuwatumia kama wake zao.

Tofauti na nchi nyingi huko Afghanistan hii biashara ni halali kabisa chini ya Utawala wa Taliban!
Watoto wanaonunuliwa wanakuwa katika hali za kusikitisha sana wakilia kwa uchungu mkubwa kuchukuliwa na wanaume watu wazima wasiowafahamu au kujua wanaenda kuwafanyia nini."; mwisho wa kunukuu.

Muktadha wa hiyo nukuu ni nini?
Naona unazunguka palepale.
Aisee kweli uelewa jambo muhimu.
Kumuuza mwanamke awe binti awe mkubwa hiyo ni sawa na human trafficking.
Kinachofanyika Afghanistan ni sawa na kinachofanyika Slovenia na Slovakia,hizo nchi mbili uuzaji wa wanawake kwaajili ya ngono ni mkubwa tena wengine wanatekwa kabisa.
Isipokua tofauti Slovenia na Slovakia wanakemea yani hiki kitu ni illegal kwao ila kwa Afghanistan wamechukulia ni kawaida ama halali.
Hivyo kumuuza mtoto sio sawa na kumuozesha.
Ndoa lazima kuwe na utaratibu na maridhiano ya kiheshima.
NILICHOKUA NAPINGA NI HUYO EVILSPIRIT KUFANANISHA MATUKIO YA AFGHANISTAN NA SUALA LA HISTORIA YA MTUME.
Hicho ndicho nachopinga.

Uwe na mchana mwema kama hujaelewa shauri yako.
 
Namim nahitaji mtoto wa afiganstan kununua nimependa kautaratibu kao nikishamnunua na mbadilisha dini namrudisha mikononi mwa bwana yesu haleluya tuchangamke tuwanunue ili tuwahubirie injili
Mmmh kaka utakuja kuuawa bure.
Afghanistan ni wafia dini,ukienda mkristo usalama wako hatiani.
 
Naona unazunguka palepale.
Aisee kweli uelewa jambo muhimu.
Kumuuza mwanamke awe binti awe mkubwa hiyo ni sawa na human trafficking.
Kinachofanyika Afghanistan ni sawa na kinachofanyika Slovenia na Slovakia,hizo nchi mbili uuzaji wa wanawake kwaajili ya ngono ni mkubwa tena wengine wanatekwa kabisa.
Isipokua tofauti Slovenia na Slovakia wanakemea yani hiki kitu ni illegal kwao ila kwa Afghanistan wamechukulia ni kawaida ama halali.
Hivyo kumuuza mtoto sio sawa na kumuozesha.
Ndoa lazima kuwe na utaratibu na maridhiano ya kiheshima.
NILICHOKUA NAPINGA NI HUYO EVILSPIRIT KUFANANISHA MATUKIO YA AFGHANISTAN NA SUALA LA HISTORIA YA MTUME.
Hicho ndicho nachopinga.

Uwe na mchana mwema kama hujaelewa shauri yako.
Hapo sasa umefunguka; kilichokuudhi ni Mtume kuingizwa kwenye hayo mambo otherwise huna tatizo. But mind you serikali halali ya Taliban wamebariki hayo mambo na sheria za nchi zinaruhusu which means kwa tafsiri ya sheria zao hizo ni ndoa!
 
Bado unaongea usenge!?
Huyo mpuuzi mwenzako kauliza swali la kipuuzi kama yeye alivyo mpuuzi.
Kuuzwa pasi na ridhaa na kuolewa vinafanana!?
Au kwenu mtu akiolewa sawa na kuuza!??
PUNGUWANI WAHED WEWE.
Mpuuzi ni nani sasa yeye au wewe kenge unaeulizwa swali unajibu na matusi Mrs Mudi
 
Hapo sasa umefunguka; kilichokuudhi ni Mtume kuingizwa kwenye hayo mambo otherwise huna tatizo. But mind you serikali halali ya Taliban wamebariki hayo mambo na sheria za nchi zinaruhusu which means kwa tafsiri ya sheria zao hizo ni ndoa!
Hiyo sio ndoa bali biashara ya human trafficking imehalalishwa.
Usichanganye hivyo vitu aise.
Kwasababu watoto huuzwa tu directly pesa hutolewa na watoto kuuzwa it means that is human trafficking na hairuhusiwi haijalishi Taliban wameruhusu.
Hakuna ndoa ya kumuuza mtu aisee.
Nasisitiza hiyo ni biashara haramu tu imehalalishwa neno sahihi ni legalization of human trafficking.
 
s
"Watoto wanaonunuliwa wanakuwa katika hali za kusikitisha sana wakilia kwa uchungu mkubwa kuchukuliwa na wanaume watu wazima wasiowafahamu au kujua wanaenda kuwafanyia nini.", mwisho wa kunukuu.

Hakuna kuoa kwa hivyo! Hiyo mifano yako uliyotoa hakuna aliyeenda kwa mwanaume chozi likimtoka!
tress tupu
 
mimi naenda kuchukua kigori wangu mrembo namkuza mwenyewe. mashankupe ya ukimani siyawezi
 
Hiyo ni biashara au kuoa, hata hapa bongo mbona kawaida Baba wa miaka 70 kwasbb ya pesa kuoa ntoto wa miaka 20 au chini zaidi rejea kwa magi na mke wake mdogo au professor fulani........acha kukuza mambo hayo yapo popote sio umasikini wewe ungeoenda mwanao aolewe na mvuta turoli kisa wana umri sawa?
Kuna utofauti hapo ndugu soma vizuri mada.
Hao mabinti wanaoolewa bongo kwa wazee wanaolewa kwa hiari yao na kwa hesabu zao wenyewe yaani wanajiongeza wenyewe kumpata mzee mwenye hela ili aishi maisha ya kifahari tofautisha na hap aliowataja mtoa mada kwamba wanapelekwa kinguvu bila kujua wanakwenda kufanya nini,kwa kifupi wanatumika kama dhamana/bond na kwa umri alioutaja mtoa mada hapo hiyo ni sawa na ubakaji
 
Unajua kuna baadhi ya mataifa bado wana mila za kijinga sana licha ya kuwa dini ipo.
Mie muislam ila Afghanistan nimeifuatilia sana ikiwemo Pakistan na Turkiye.
Hizi nchi tatu bado zina shida mahala fulani,kuna tamaduni wanazi practise ila hazipo katika UISLAM.
Mathalan binti akibakwa eti baba humuua kwa sumu ama kumzika hai ili kuficha fedheha,sasa badala ya kumkamata mbakaji ninyi mnamuua mbakwaji asiye na hatia.
Aiseee!
Hata hiyo Uturuki wale waliozaliwa mjini ndio wanafaidi,ila waliozaliwa huko vijijini Karabayir ndani ndani wanapitia unyanyasaji sana wa gender oppression ambao hata DINI YA KIISLAM HAIJARUHUSU.
unachosema ni kweli. na si huko tu pia nepal na bangladesh hali ni mbaya. ninafanya nao kazi wananieleza. kuna mengi yanaendelea licha ya dini kukemea.
 
Hizi ni propaganda za magharibi tu! hakuna jema wanaloweza kusema kuhusu jamii za kiislamu hawa watu. Adui mkubwa kabisa wa magharibi ni uislamu, hili lipo wazi kwa mwenye kuyatazama mambo bila upendeleo.

Sufficient for us is Allah, and [He is] the best Disposer of affairs
Hapo uongo uko wapi sasa, kwa nini watu inapofika swala la dini mnapenda sana kujitoa ufahamu na kujiona mwarabu huku ukiikana asili yako.

Hili tatizo la kuhusudu tamaduni za kigeni liko kwa waafrika tu dunia nzima na ndio maana naamini kwa asilimia mia moja kwamba wale wanaosema kwamba jamii ya watu weusi ndio wenye IQ RATING ndogo sana duniani ni wakweli kwa asilimia mia moja.

Hakuna mtu bogus kama mtu mweusi, yeye siku zote ni kusujudia tamaduni za kigeni tu. Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom