Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

Usiingize udini bro.
Hapo imezungumziwa kuuza watoto sio kuoa watoto.
Suala la Muhammad(s.a.w) haulifaham na halihusiani na hili na alioa Aisha akiwa na miaka 9 sio 6.
Na hakumuingilia bali alimlea mpaka alipofikisha puberty ndio akamuingilia.
Na hii hata uzunguni ilikuwepo.
Ila kubadilika kwa tamaduni kuja masuala ya utandawazi na kusoma ndio maana sasa hivi si ruhusu kumuoa mtoto chini ya miaka 18 maana utamkatisha ndoto zake.
Ila isingekua masuala ya kusoma na mengineyo watu wangekua wanaoa mabinti kabla hawajabalehe.
Hii ya hapa inahusu KUUZA MABINTI sio kuoa.
Usipende kuhusisha dini KUWA NA ADABU NA UKOME UKOMAE.
mkuu naweza kukiposa kitoto chako au mdogo wako wa kike wa miaka 9 nimuoe?

kweli nimeamin religion is opium kwa mwafrika inasikitisha unavyo mpigania mtu alie fanya makosa eti kisa Dini

stupidity mindset
 
Chuki dhidi ya Uislamu haijaanza leo, hizo claim za kuwa Mtume (SAW) alioa binti mdogo ni hoja za karne hii kwa kuwa wenye kutoa hoja hizi hawajui historia yao wala historia ya dunia, ni kama mnadhani dunia imeanza leo baada ya USA na washirika wake kulazimisha dunia yote ifuate ustaarabu wake, tena baada ya mapinduzi ya techologia iliyofuatiwa na vita kuu mbili za dunia! ... probably hunuelewi namaanisha nini bado, uhaba wa nguvu kazi baada ya vita kuu za dunia ndio jambo la kwanza lililopelekea wanawake wahitajike katika shughuli za uzalishaji zilizokuwa mwanzo zikifanywa na wanaume, kutokana na uhitaji wa wanawake katika ajira na urasimishaji wa elimu ya kikoloni (formal European education) hii ndo ilipelekea umri wa kuolewa wa mwanamke kwenda ukiongezeka.

Ukitaka kujua kwa kiwango gani umeshikiwa akili na wazungu, just jiulize katika dunia yetu ya sasa wanawake wanachelewa kuolewa kulingana na zamani lakini je umri wa wasichana kujihusisha na mapenzi upo vipi? huku kwetu Afrika bado tupo kwenye transition as mabinti wanazuiliwa wasiolewe lakini wanajihusisha na mahusiano kisirisiri bila wazazi wao kujua (wengi wao), lakini kule kwa wenzetu ulaya na marekani ni socially acceptable practice kwa mabinti kuanza dating at 12 years old. Ninaposema socially acceptable practice namaanisha wazazi wanabariki watoto wao waanze kudate!!!!! wengine wakijidanganya eti they will take it step by step before going out all for sex with their dates ilhali dunia na internet inawatamanisha na kuwafundisha sex toka walipokuwa kindergarten, na sasa wanawafundisha na homosexualty as well in those small ages (kindergarten level).

Ni wazi wewe hujui Marry (mama yake Yesu, Allah amridhie) alikuwa na umri gani alipoolewa na Joseph, jielemishe kwanza kabla ya kufunua mdomo wako! Generation iliyopita tu hapo wanawake walikuwa wanaolewa immediately after maturity, nina hakika hata bibi zako waliolewa hivo!!!

Usikubali mkoloni akufunge minyororo ya akili baada ya kuwa alishakufungua minyororo ya mikono na miguu!
Wasamehe,hawajui wanenalo,Joseph alimwoa mama Ake Yesu akiwa na Miaka 80,Maria akiwa na umri gani hakuna atakaye kujibu Kwa kuwa hawaambiwi ukweli.
Msanii
 
Naona umeandika utumbo wa hali ya juu Shehe wangu. Umewahi kujitetea kihovyo ukihisi muda si mrefu wadau wakiamka wataleta ushindani wa kidini na kurefer Muddy(57) na bi. Aisha(6) then kuanza kumuingilia akiwa na miaka 9. Subiri, vita vinakuja kwenye huu uzi kuanzia saa 1 asubuhi hii.
Hii sijaielewa ebu dadavua kiduchu.
 
Hiyo ni biashara au kuoa, hata hapa bongo mbona kawaida Baba wa miaka 70 kwasbb ya pesa kuoa ntoto wa miaka 20 au chini zaidi rejea kwa magi na mke wake mdogo au professor fulani........acha kukuza mambo hayo yapo popote sio umasikini wewe ungeoenda mwanao aolewe na mvuta turoli kisa wana umri sawa?
Kamuuze mwanao basi .
 
Kuna tofauti kubwa pale binti anapoamua kuolewa na tajiri mzee ile apate pesa na pale mtoto mdogo wa kike anapouzwa na wazazi wake ili wao wapate pesa. Acha kujitoa akili.
Hebu kuwa serious mkuu, huyo uliemjibu anawezaje kujitoa kitu ambacho hana.

Ameshindwa kutofautisha kuolewa kwa hiyari na kuuzwa,alafu unamuambia anajitoa akili,!!.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Unaona unavyoongea USENGE!?
Hapo imezungumzwa uuzaji watoto sio ndoa za utotoni.
I wonder babaako hela alokusomeshea angenunulia malaya akatomba tu kuliko kukupeleka shule.
Narudia tena,hapo inazungumziwa UUZAJI WA MABINTI sio ndoa za utotoni.
Tofautisha girls trafficking na child marriages.
Rudi shule ukasome MBWA WEWE.
Hao watoto unaokiri wanauzwa huko Afghanistan kwa uelewa wako wanauzwa kwa ajili ya nini? EvilSpirit.
 
mkuu naweza kukiposa kitoto chako au mdogo wako wa kike wa miaka 9 nimuoe?

kweli nimeamin religion is opium kwa mwafrika inasikitisha unavyo mpigania mtu alie fanya makosa eti kisa Dini

stupidity mindset
Hii tabia mbaya mudi ndio kawarithisha hao jamaa ona lipumbavu linavyomtetea mbakaji mwenzao mudi.Hao watoto wa kike wanaouzwa kwa wenye hela kuna uwezekano wanakuja kuwa wake za hao wanunuaji ukizingatia mudi kawaruhusu waoe wanawake wengi,au kuna uwezekano wakawa wanatumikishwa kwenye child prostitution pia hata wa kiume nahisi wanaweza kuwa wanafanyiwa au kufanyishwa vitendo ambavyo vinajulikana kama Bacha Bhazi ambavyo ni common practices huko afghaniistan.
 
Hizi ni propaganda za magharibi tu! hakuna jema wanaloweza kusema kuhusu jamii za kiislamu hawa watu. Adui mkubwa kabisa wa magharibi ni uislamu, hili lipo wazi kwa mwenye kuyatazama mambo bila upendeleo.

Sufficient for us is Allah, and [He is] the best Disposer of affairs
What a loser!
 
pia hata wa kiume nahisi wanaweza kuwa wanafanyiwa au kufanyishwa vitendo ambavyo vinajulikana kama Bacha Bhazi ambavyo ni common practices huko afghaniistan.
Afghanistan ni nchi ya hovyo sana, hiyo Bacha Bazi ni ushoga wanaoingizwa watoto kinguvu.
 
Hiyo ni biashara au kuoa, hata hapa bongo mbona kawaida Baba wa miaka 70 kwasbb ya pesa kuoa ntoto wa miaka 20 au chini zaidi rejea kwa magi na mke wake mdogo au professor fulani........acha kukuza mambo hayo yapo popote sio umasikini wewe ungeoenda mwanao aolewe na mvuta turoli kisa wana umri sawa?
Hajakuza.Ametoa taarifa.Au unataka kununua kitoto uoe?
 
Afghanistan ni nchi ya hovyo sana, hiyo Bacha Bazi ni ushoga wanaoingizwa watoto kinguvu.
Kwa uwepo wa vitendo hivyo je tutasita kusema ya kuwa kuna uwezekano watoto hao wakawa wanafanyiwa vitu vya hovyo ukizingatia nchi ya kiislamu kama Afghanistan mwanamke hana Thamani
 
Hao ni wafuasi wa Mtume SAW.
Mtume hajawahi kuleta amani na furaha kwa wafuasi wake tangu Imani yake ilipoanza
 
Bora do
Sawa hamna kuoa kwa msingi ipi leta hiyo video kuonyesha hao watoto wadogo wanao nunuliwa, ndoa za utototoni zipo sana hata hapa kwetu watoto umri wa miaka 15 hulazimishwa na wazazi wao kuolewa neenda shinyanga pwani zazibar nk kama utazikuta bora mtoto aolewe mapema kuliko kuchezewa nado lengo lao, acheni black mailing, leta ushahidi kama wanauzwa sio kuolewa
Bora dingi angeutupa nje aysee...iv unaandika huu ujinga ukiwa na akili timamu au ndo mafunzo ya hyo mnayoita dini yenu?
 
Utaratibu wa familia masikini kuuza watoto wa kike au kuwatoa kama malipo ya mkopo umekuwepo kwa muda mrefu Afghanistan ila kudorora kwa uchumi na kurudi kwa Taliban madarakani baada ya majeshi ya Marekani kuondoka kumezidisha janga hili la kibinadamu na kushuhudia familia nyingi zaidi zikiuza watoto wao wa kike kwa wanaume matajiri na wanaowadai.

Katika biashara hii katili wazee wa hadi miaka 70 wananua watoto wa kike wa hadi miaka sita kwa minajili ya kuwatumia kama wake zao.

Tofauti na nchi nyingi huko Afghanistan hii biashara ni halali kabisa chini ya Utawala wa Taliban!
Watoto wanaonunuliwa wanakuwa katika hali za kusikitisha sana wakilia kwa uchungu mkubwa kuchukuliwa na wanaume watu wazima wasiowafahamu au kujua wanaenda kuwafanyia nini.
View attachment 2990505
Mzizi wa Tatizo ni kitabu wanachotumia kuabudu Allah. Kinaruhusu utumwa kinawapa wanawake thamani ndoho sana
 
Hao watoto unaokiri wanauzwa huko Afghanistan kwa uelewa wako wanauzwa kwa ajili ya nini? EvilSpirit.

Mbona unauliza swali la kijinga!?
Je kumnunua mwanamke kingono ni sawa na kumuoa!?
Huyo ameposwa au kauzwa!?
Huna akili kabisa.
 
Naona huyo Kosugi mke mdogo wa "Mudi the defiler" kaanza matusi
Bado unaongea usenge!?
Huyo mpuuzi mwenzako kauliza swali la kipuuzi kama yeye alivyo mpuuzi.
Kuuzwa pasi na ridhaa na kuolewa vinafanana!?
Au kwenu mtu akiolewa sawa na kuuza!??
PUNGUWANI WAHED WEWE.
 
Back
Top Bottom