Umasikini wazidisha biashara katili ya kuuza watoto wa kike Afghanistan

mkuu naweza kukiposa kitoto chako au mdogo wako wa kike wa miaka 9 nimuoe?

kweli nimeamin religion is opium kwa mwafrika inasikitisha unavyo mpigania mtu alie fanya makosa eti kisa Dini

stupidity mindset
 
Wasamehe,hawajui wanenalo,Joseph alimwoa mama Ake Yesu akiwa na Miaka 80,Maria akiwa na umri gani hakuna atakaye kujibu Kwa kuwa hawaambiwi ukweli.
Msanii
 
Hii sijaielewa ebu dadavua kiduchu.
 
Kamuuze mwanao basi .
 
Kuna tofauti kubwa pale binti anapoamua kuolewa na tajiri mzee ile apate pesa na pale mtoto mdogo wa kike anapouzwa na wazazi wake ili wao wapate pesa. Acha kujitoa akili.
Hebu kuwa serious mkuu, huyo uliemjibu anawezaje kujitoa kitu ambacho hana.

Ameshindwa kutofautisha kuolewa kwa hiyari na kuuzwa,alafu unamuambia anajitoa akili,!!.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Hao watoto unaokiri wanauzwa huko Afghanistan kwa uelewa wako wanauzwa kwa ajili ya nini? EvilSpirit.
 
mkuu naweza kukiposa kitoto chako au mdogo wako wa kike wa miaka 9 nimuoe?

kweli nimeamin religion is opium kwa mwafrika inasikitisha unavyo mpigania mtu alie fanya makosa eti kisa Dini

stupidity mindset
Hii tabia mbaya mudi ndio kawarithisha hao jamaa ona lipumbavu linavyomtetea mbakaji mwenzao mudi.Hao watoto wa kike wanaouzwa kwa wenye hela kuna uwezekano wanakuja kuwa wake za hao wanunuaji ukizingatia mudi kawaruhusu waoe wanawake wengi,au kuna uwezekano wakawa wanatumikishwa kwenye child prostitution pia hata wa kiume nahisi wanaweza kuwa wanafanyiwa au kufanyishwa vitendo ambavyo vinajulikana kama Bacha Bhazi ambavyo ni common practices huko afghaniistan.
 
What a loser!
 
pia hata wa kiume nahisi wanaweza kuwa wanafanyiwa au kufanyishwa vitendo ambavyo vinajulikana kama Bacha Bhazi ambavyo ni common practices huko afghaniistan.
Afghanistan ni nchi ya hovyo sana, hiyo Bacha Bazi ni ushoga wanaoingizwa watoto kinguvu.
 
Hajakuza.Ametoa taarifa.Au unataka kununua kitoto uoe?
 
Afghanistan ni nchi ya hovyo sana, hiyo Bacha Bazi ni ushoga wanaoingizwa watoto kinguvu.
Kwa uwepo wa vitendo hivyo je tutasita kusema ya kuwa kuna uwezekano watoto hao wakawa wanafanyiwa vitu vya hovyo ukizingatia nchi ya kiislamu kama Afghanistan mwanamke hana Thamani
 
Hao ni wafuasi wa Mtume SAW.
Mtume hajawahi kuleta amani na furaha kwa wafuasi wake tangu Imani yake ilipoanza
 
Bora do
Bora dingi angeutupa nje aysee...iv unaandika huu ujinga ukiwa na akili timamu au ndo mafunzo ya hyo mnayoita dini yenu?
 
Mzizi wa Tatizo ni kitabu wanachotumia kuabudu Allah. Kinaruhusu utumwa kinawapa wanawake thamani ndoho sana
 
Hao watoto unaokiri wanauzwa huko Afghanistan kwa uelewa wako wanauzwa kwa ajili ya nini? EvilSpirit.

Mbona unauliza swali la kijinga!?
Je kumnunua mwanamke kingono ni sawa na kumuoa!?
Huyo ameposwa au kauzwa!?
Huna akili kabisa.
 
Naona huyo Kosugi mke mdogo wa "Mudi the defiler" kaanza matusi
Bado unaongea usenge!?
Huyo mpuuzi mwenzako kauliza swali la kipuuzi kama yeye alivyo mpuuzi.
Kuuzwa pasi na ridhaa na kuolewa vinafanana!?
Au kwenu mtu akiolewa sawa na kuuza!??
PUNGUWANI WAHED WEWE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…