Nipo huku kijijini najifunza urubani🤣🤣Upo wapi nipunguze japo dipresheni
Utapotelea angani 😂Nipo huku kijijini najifunza urubani🤣🤣
Ila watu mnachekesha .Huu ni ukweli mchungu Sana Ila wavivu wataukataa.
Ukweli ni kwamba hakuna Uhuru wa kipato serikalini labda uwe jambazi, mwizi na Fisadi!
Ila kwenye middle class na low class job hakuna maisha ni stress Kuna nesi namjua ana diploma anapeleka home 210k per month ni single Mather ananuka shida na madeni ni kukopakopa tu uku na kule!.
Ajira ni Siri kubwa Sana na ni mipango ya mabepari kuendelea kuwa matajiri wao!!
Imagine doctor mwenye mshahara wa 1.5 million anaenda home na 800k kila mwezi akichukua mkopo ataenda na 500k huu ni ujinga na utoto kwa mtu ambaye anatakiwa kuwa vizuri mentally ili atibu wangonjwa ila unakuta yeye ndiye anaumwa!!
Ajira ni utumwa Kama wewe ni mtu wadilifu.
Bora nipotelee huko nisirudi Tz🤣Utapotelea angani 😂
Dipresheni katika ubora wake 😂Bora nipotelee huko nisirufi Tz🤣
Mh mjumbe kumbe wewe ni msiri hivi[emoji1]Nimwkua mtumishi kwa miaka 25 sasa.
Daily nachamba koo, watoto wote 8 wanasoma shule nzuri, nyumba nimejenga, ndinga naaukuma, ndugu wananitegema na sina mpango wa kuachana na utumishi zaidi najiandalia shamba la kwenda kumalizia uzee wetu pindi tutakapo staafu kwa mapenzi ya Allah
🤣🤣Tz dipresheni tupu.Dipresheni katika ubora wake 😂
Basi twende congo🤣🤣Tz dipresheni tupu.
Daaah hii inakatisha tamaaHuu ni ukweli mchungu Sana Ila wavivu wataukataa.
Ukweli ni kwamba hakuna Uhuru wa kipato serikalini labda uwe jambazi, mwizi na Fisadi!
Ila kwenye middle class na low class job hakuna maisha ni stress Kuna nesi namjua ana diploma anapeleka home 210k per month ni single Mather ananuka shida na madeni ni kukopakopa tu uku na kule!.
Ajira ni Siri kubwa Sana na ni mipango ya mabepari kuendelea kuwa matajiri wao!!
Imagine doctor mwenye mshahara wa 1.5 million anaenda home na 800k kila mwezi akichukua mkopo ataenda na 500k huu ni ujinga na utoto kwa mtu ambaye anatakiwa kuwa vizuri mentally ili atibu wangonjwa ila unakuta yeye ndiye anaumwa!!
Ajira ni utumwa Kama wewe ni mtu mwadilifu.
Sometimes ni kweli,ukiwa kitaa upo huru ni nguvu zako tu unaweza piga mpaka 50,000 kwa siku
Ingawaje watumishi wana uhakika wa maisha iwe mvua iwe jua
Na kabima uchwara nako kanawabeba
Nataka angani.Basi twende congo
huko utapotea namimi sitaki nikupoteze dipresheni.Nataka angani.