Umaskini ni laana; nimeamini pia maskini ana roho mbaya sana

Mimi sasa ni mtu mzima, nimeona mengi, huo mkondo wa pesa hauji hivi hivi , kuna siku utadaiwa na umezoea kukaa viti virefu, itakubidi ukubali ili usishushwe.
 
Hii kamba mzee


Hila kwenye hili la umasikini ni laana nakubaliana na wewe kabisa asilimia πŸ’―
Siupendi umasikini na sipendezwi na wenye umasikini..
Sijaandika hapa kupata sifa kaka kama unaona ni hivo ni maoni yako pia na kwangu mimi nilichoandika hapa ni sahihi asilimia 100
 

"Ndani ya miezi 3 nikiwa pale nikawa niko vizuri nikanunua uwanja sehemu yenye hadhi kidogo heka 3 nikaweka mansion yangu ikiwa na uwanja wa basebal na netbal ikiwemo sehemu za kucheza watoto na mabwawa ya kuogelea"

Hakuna office yenye books of account na excel uondoke na 3m cash kila siku kirahisi, labda kama wana bustani ya kulima noti na hiyo bustani wewe ndo unapalilia noti zikizingirwa na magugu
 
Wasamehe tuu walikuwa hawajui wewe ni fisadi mwizi wa pesa za serikali
 

Kwenye maisha ndg yangu ni kukubali yote, usitege sikio kwa maneno ya ndugu .ukiwa huna chochote wala hawajishugulishi na wewe, sasa pata mafanikio sasa ukifa ndg ata mmoja utasikia tu mali za ndagu mara freemason daaah. adui mkubwa wa taifa letu ni umasikini na ujinga.
 
Mimi sasa ni mtu mzima, nimeona mengi, huo mkondo wa pesa hauji hivi hivi , kuna siku utadaiwa na umezoea kukaa viti virefu, itakubidi ukubali ili usishushwe.
Sawa mkuu ngoja nisubiri siku nit
Mzee usitake niende mbali ujue ninachofanya ila kazi za ofisi ziko salama hata kwa special Audit na pesa zipo na zinatoka
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Ha ha ha, serikalini? 3m kwa siku? Labda kama wewe ni waziri, Pima, Mkurugenzi wa Arusha yuko Magereza kwa sababu ya hela chini ya 120m, ambazo amezitoa kijanjanja kwa ukandarasi, wewe unaondoka na 3m kila siku, mi Tanzania mijinga sana
Siko serikalini mkuu, lakini hata huko kuna watu wanafanya makubwa
 
Sawa mkuu ngoja nisubiri siku nit

Mzee usitake niende mbali ujue ninachofanya ila kazi za ofisi ziko salama hata kwa special Audit na pesa zipo na zinatoka

Hizo kazi unafanya mwenyewe? Hamjui humu ndani kuna wau wa aina gani na kazi tunazofanya, hiyo serikali unayoiba hivyo labda ya Congo, sisi tuna CPA zile za miaka ambayo wewe unasoma standard 3, na tunajua mifumo haswa, umetudharau sana wewe mjinga
 
Hicho kiasi chote cha hela unachoingiza kwa siku ni kupitia njia halali, au ndiyo kupitia upigaji dili kiasi cha kusababisha Waarabu wa Dubai kupewa bandari zetu?
Serikalini hakuna hizo hela za uchotaji wa wazi hivyo, fomu za maadili zingeshamhusu au usalama wangeshapita naye. Huyu atakuwa mashirika ya kimataifa au ni muongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…