Umaskini ni laana; nimeamini pia maskini ana roho mbaya sana

Umaskini ni laana; nimeamini pia maskini ana roho mbaya sana

Ha ha ha, serikalini? 3m kwa siku? Labda kama wewe ni waziri, Pima, Mkurugenzi wa Arusha yuko Magereza kwa sababu ya hela chini ya 120m, ambazo amezitoa kijanjanja kwa ukandarasi, wewe unaondoka na 3m kila siku, mi Tanzania mijinga sana
Hii Chai ni CHUNGU labda akisema yupo MGODINI BULYANGURU huko kwenye Dhahabu au kule kwenye TANZANITE na aseme wazi kua yeye ni MWIZI
 
Mkuu kata kabisa hiyo kitu angalia wazazi wako tu labda na ndugu wa kuzaliwa hizo kenge zingine achana nazo na piga marufuku mtu kufika kwako
Hata wa kuzaliwa nao wakati mwingine ni tatizo mkuu. Ktk familia km walio kutangulia kuzaliwa hawaiunikiwa,halafu wewe dogo ukayapatia ndo utajionea ninacho kwambia.
 
Pole sana mkuu, nimegundua wewe ni mtu mwema sana...😎
Sasa ebu fanya hivi.....
Kama itawezekana naomba ufanye mpango unitumie 20k ili walau nikanunue debe la mahindi na kilo moja ya dagaa, kuni nitajisumbukia...😔
Mpe na lipa namba kabisa ili iwe rahisi mkuu kuna mwenzio aliomba ya Smart Gin kimasihara tu akatumiwa kwenye namba yake kupitia NMB hapo hapo kwa hio changamkia fursa weka namba haraka sana uwekewe mpunga
 
Yaani umeajiriwa taasisi Per week unatengeneza 15m+ mkuu!!! so kwa mwezi una 60+m kumaanisha kwa mwaka una 3b+ , dah! maisha yamenyookea watu [emoji119][emoji119][emoji119] nakubali.
Hizi hesabu za wapi mkuu?
 
Tiaraei izi wochingi yu
images (3).jpeg
 
Hii Chai ni CHUNGU labda akisema yupo MGODINI BULYANGURU huko kwenye Dhahabu au kule kwenye TANZANITE na aseme wazi kua yeye ni MWIZI

Hii Chai ni CHUNGU labda akisema yupo MGODINI BULYANGURU huko kwenye Dhahabu au kule kwenye TANZANITE na aseme wazi kua yeye ni MWIZI
Huwezi kuamini kwa sababu hujawahi kuingia kwenye mifumo ya pesa ukiingia huko hutoweza kubisha
 
Roho ya kimasikini ni mbaya sana,watu hamuami alichosena kwamba anaweza vuta 3m kwa siku sababu mnataka afanane na nyie,hamuamini katika hiyo pesa kwa sababu roho ya kimasikini imewavaa hata kama kwa nje mnaonekana mna pesa ...vp kama yupo mgodini halafu yy ndo mmoja wa wakagua dhahabu hawezi pata hiyo pesa kwa siku?
 
Roho ya kimasikini ni mbaya sana,watu hamuami alichosena kwamba anaweza vuta 3m kwa siku sababu mnataka afanane na nyie,hamuamini katika hiyo pesa kwa sababu roho ya kimasikini imewavaa hata kama kwa nje mnaonekana mna pesa ...vp kama yupo mgodini halafu yy ndo mmoja wa wakagua dhahabu hawezi pata hiyo pesa kwa siku?
kweli mkuu mgodini unapata mil 7 kwa siku hiyo minimum nina ushahidiii
 
1. Kuiba milioni tatu Kwa Siku Kwa Kanuni za wizi tunasema sio Kweli.
Lakini kuiba Kwa mara moja bilioni hata 10 inawezekana ambayo ukiigawanya Kwa kila Siku ndani ya Mwaka sio ajabu MTU akawa alikuwa anaiba tuseme milioni 10 Kwa Siku.

2. Kuhusu Roho Mbaya Kutoka Kwa Ndugu upo Sahihi Kwa kiwango kikubwa. Ila mara nyingi Roho Mbaya ya Ndugu inatokana na tabia yako ya kujiwekea karibu nao na kuwafanyia mambo Mema.
Mara nyingi binadamu hujisikia Wivu na vibaya kusaidiwa na MTU anayemjua tena iwe kila mara.

3. Acha wizi WA kila Siku hata kama ingekuwa unaiba elfu 10. Huo sio wizi professional. Ni Watu wajinga na wasio na Akili za uovu wanaoweza kufanya kama unavyofanya.
Wezi professional huwa waaminifu na kuonyesha uaminifu Kwa 99% na kutenda Kwa uadilifu na ufanisi Kwa 99% kisha hutafuta nafasi fiche, zisizodhaniwa, na nafasi kubwa katika mazingira yasiyotarajiwa ndio humpiga mshindo. Kama ulivyosema unatabia ya upole,ukimya na usiri basi Tabia muhimu uliyokosa ni U-smart.
 
1. Kuiba milioni tatu Kwa Siku Kwa Kanuni za wizi tunasema sio Kweli.
Lakini kuiba Kwa mara moja bilioni hata 10 inawezekana ambayo ukiigawanya Kwa kila Siku ndani ya Mwaka sio ajabu MTU akawa alikuwa anaiba tuseme milioni 10 Kwa Siku.

2. Kuhusu Roho Mbaya Kutoka Kwa Ndugu upo Sahihi Kwa kiwango kikubwa. Ila mara nyingi Roho Mbaya ya Ndugu inatokana na tabia yako ya kujiwekea karibu nao na kuwafanyia mambo Mema.
Mara nyingi binadamu hujisikia Wivu na vibaya kusaidiwa na MTU anayemjua tena iwe kila mara.

3. Acha wizi WA kila Siku hata kama ingekuwa unaiba elfu 10. Huo sio wizi professional. Ni Watu wajinga na wasio na Akili za uovu wanaoweza kufanya kama unavyofanya.
Wezi professional huwa waaminifu na kuonyesha uaminifu Kwa 99% na kutenda Kwa uadilifu na ufanisi Kwa 99% kisha hutafuta nafasi fiche, zisizodhaniwa, na nafasi kubwa katika mazingira yasiyotarajiwa ndio humpiga mshindo. Kama ulivyosema unatabia ya upole,ukimya na usiri basi Tabia muhimu uliyokosa ni U-smart.
Usidhani kama unaweza kujua kila kitu kwa wakati wote. Anyway ungejua tu hata mfagiaji wa sehemu ninapofanyia kazi ungekuja kufuta haya maandishi yako
 
Roho ya kimasikini ni mbaya sana,watu hamuami alichosena kwamba anaweza vuta 3m kwa siku sababu mnataka afanane na nyie,hamuamini katika hiyo pesa kwa sababu roho ya kimasikini imewavaa hata kama kwa nje mnaonekana mna pesa ...vp kama yupo mgodini halafu yy ndo mmoja wa wakagua dhahabu hawezi pata hiyo pesa kwa siku?
Nilichogundua sio kwa ndugu zangu tu, maskini wana roho za husda sana
 
1. Kuiba milioni tatu Kwa Siku Kwa Kanuni za wizi tunasema sio Kweli.
Lakini kuiba Kwa mara moja bilioni hata 10 inawezekana ambayo ukiigawanya Kwa kila Siku ndani ya Mwaka sio ajabu MTU akawa alikuwa anaiba tuseme milioni 10 Kwa Siku.

2. Kuhusu Roho Mbaya Kutoka Kwa Ndugu upo Sahihi Kwa kiwango kikubwa. Ila mara nyingi Roho Mbaya ya Ndugu inatokana na tabia yako ya kujiwekea karibu nao na kuwafanyia mambo Mema.
Mara nyingi binadamu hujisikia Wivu na vibaya kusaidiwa na MTU anayemjua tena iwe kila mara.

3. Acha wizi WA kila Siku hata kama ingekuwa unaiba elfu 10. Huo sio wizi professional. Ni Watu wajinga na wasio na Akili za uovu wanaoweza kufanya kama unavyofanya.
Wezi professional huwa waaminifu na kuonyesha uaminifu Kwa 99% na kutenda Kwa uadilifu na ufanisi Kwa 99% kisha hutafuta nafasi fiche, zisizodhaniwa, na nafasi kubwa katika mazingira yasiyotarajiwa ndio humpiga mshindo. Kama ulivyosema unatabia ya upole,ukimya na usiri basi Tabia muhimu uliyokosa ni U-smart.
 
Back
Top Bottom