Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Mkuu, minajua boss hana baya....😊Anatuma mkuu kua mpole kwani kwenye 3+M akitoa 20,000/- anapungukiwa nini
Tatizo hiki kiungo tumbo...😪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, minajua boss hana baya....😊Anatuma mkuu kua mpole kwani kwenye 3+M akitoa 20,000/- anapungukiwa nini
We subiri muamala utasoma soon boss atakua anafunga HESABU mda huu baada ya hapo anakukatia 20k yako kwenye lipa nambaMkuu, minajua boss hana baya....😊
Tatizo hiki kiungo tumbo...😪
Mkuu nina shida ya laki moja nisaidie.Kaka nashindwa kuandika vizuri maana nina hasira na hawa watu natamani nimuwashe hata mmoja risasi tuzike
[emoji1787][emoji1787]UZA NYUMBA ZAO ULIZOWAJENGEA ZOTE WAKAJIUNGE NA FREE MASON NA WAO
Ungeweka namba yako ya Simu, kuweka namba ya wakala huo ni mtego wa kupata taarifa zake muhimu. Kama ana akili hatokutumia kwa staili ya kutoa.Mimi staki kumsumbua mkuu hapa....[emoji4]
Ebu afanye wepesi kwa....
Tigo wakala ni 537797 Ashraf Abdallah...[emoji4]
M-pesa wakala ni 876134 Ashraf Abdallah....[emoji39]
Acha wivuKutuandikia utumbo km huu ni kutudharau.
Ukipata kazi nzuri au nafasi nzuri nenda kajigange. Walimwengu hawana huruma kwa mtu mwenye mafanikio.
Atakuwa ni Afisa wa TPA.Hicho kiasi chote cha hela unachoingiza kwa siku ni kupitia njia halali, au ndiyo kupitia upigaji dili kiasi cha kusababisha Waarabu wa Dubai kupewa bandari zetu?
Ukiwa kapuku peke yako usidhani wote wachovu kama wewe.Nisogezee hio Chupa kubwa ya Chai na kidebe Cha Sukari
Mzee una wivu mno... unaonekana ni mlalahoi mzee.!Ha ha ha, serikalini? 3m kwa siku? Labda kama wewe ni waziri, Pima, Mkurugenzi wa Arusha yuko Magereza kwa sababu ya hela chini ya 120m, ambazo amezitoa kijanjanja kwa ukandarasi, wewe unaondoka na 3m kila siku, mi Tanzania mijinga sana
N dhahiri umeonesha chuki na wivu wako wazi wazi sasa. Hivi TZ kuna wazee wajinga?Hizo kazi unafanya mwenyewe? Hamjui humu ndani kuna wau wa aina gani na kazi tunazofanya, hiyo serikali unayoiba hivyo labda ya Congo, sisi tuna CPA zile za miaka ambayo wewe unasoma standard 3, na tunajua mifumo haswa, umetudharau sana wewe mjinga
Alijiganga sana tu, unahisi aliondoka kwa uchawi?Kauli nzito mno... unafikiri JPM alijiganga?
Halafu ni zee kabisa. Ila akili kisoda.Hizi ni akili za kimaskini mkuu na kukosa kazi ya kufanya, siku ukipata pesa utaona ni upumbavu kutukana watu mitandaoni usiwajua
Nimesha kutumia namba yangu PM mkuu, maana wewe ni chief, mkurugenzi usie na maneno mengi, huna baya zaidi ya kusingiziwa boss....😊Ungeweka namba yako ya Simu, kuweka namba ya wakala huo ni mtego wa kupata taarifa zake muhimu. Kama ana akili hatokutumia kwa staili ya kutoa.
Weka namba yako watu wakutumie pesa.
Si kwa uchawi. Sasa why wasimtegemee Mungu? Si alikuwa Mkristo sasa why alijiganga?Alijiganga sana tu, unahisi aliondoka kwa uchawi?
3 million per day?Hiki niandikacho ni kisa cha kweli na ndicho ninachopitia.
Nikiri kwamba nimezaliwa kwenye umaskini na nimesomeshwa kwenye umaskini mpaka namaliza elimu yangu
Nilisota kidogo tu kitaa baada ya kumaliza elimu nikapata kazi sehemu nikaajiriwa, baada ya mda kutokana na Tabia yangu ya ukimya na usiri mkuu wangu wa kazi akanihamishia idara ambayo baadae nilikuja kujua ni sehemu yenye michongo mingi ya pesa.
Nikafundishwa kazi, nikaiva. Hela zipo idara hii bwana, kwa Siku nilikuwa nikitoka kazini mfukoni kuna 3+m kama hamna hamna sana nina 1+m.
Ndani ya miezi 3 nikiwa pale nikawa niko vizuri nikanunua uwanja sehemu yenye hadhi kidogo heka 3 nikaweka mansion yangu ikiwa na uwanja wa basebal na netbal ikiwemo sehemu za kucheza watoto na mabwawa ya kuogelea.
Mpaka huu mjengo unakamilika nilitumia zaidi ya 400+m, siku nawapeleka wazazi na ndugu hawakuamini kutokana na mazingira niliyotoka na namna nilivo mkimya. Sikuishia hapo wadogo zangu tumbo moja wote nilianza mchakato wa kuwajengea nyumba kila mmoja yake na nikafanikisha nyumba nzuri za kisasa ambazo wastani nilitumia 120+m
Ndugu zangu wote nilitoa msaada kwao bila kubagua, watoto ambao walikuwa wamefeli shule niliwapa uchaguzi wanachotaka wanawafanyia, nimetoa mitaji nimepeleka vyuo vya ufundi natimiza mahitaji yao kila kitu maana hela ninayo na sioni fahari ya kuabudiwa.
Sasa baada ya miaka 6 kuona nazidi kuwekeza kwa kasi ileile tu, mashangazi wakaanza za chinichini huyu jamaa ni Freemason mimi nikiwa sijui chochote. Kuna kipindi msiba ulitokea, Mke wa mtoto wa shangazi alifariki kulingana na majukumu yangu ule msiba sikufika ila nilibeba gharama zote za msiba.
Bwana kama miezi 6 hivi za msiba kupita, napata habari k kumbe watu wanachukuzwa na mafanikio, mashangazi wanapanga mipango ya kunidhuru kwa mda mrefu na mmoja aliyepewa majukumu ya kuchukua baadhi ya vitu kwenye mwili ikawa mlopokaji akanipa mchongo wote, wala sikuvumilia nikawawashia Moto mashangazi kufatilia kumbe baba zangu baadhi wanazo habari za hii mipango na wakanyamaza. Imenitia hasira sana.
Wanasema nimemuua yule mke wa binamu yangu na moja ya masharti niliyopewa ni kuwa na roho nzuri ya kuwasadia kwa hiyo nao wanataka kulipa kisasi kwa kunidhuru. Nina hasira na hawa watu Moto niliowawashia nimejikuta nawatukana mpaka matusi ya nguoni.
Natamani siku zirudi nyuma nisingefanya huu ujinga wa kusaidia hawa wanaoitwa ndugu, huku tunakoelekea naona kabisa kuna dalili mbaya kisa mafanikio yangu
Nimeongeza nguvu zaidi upande wa mama, huko nawajengea majumba ya maana.. Sasa naona wivu waziwazi mpaka watoto wao niliowasaidia kwa hali na mali.