Umaskini ni laana; nimeamini pia maskini ana roho mbaya sana

Wewe ni mwongo. Au unadhani watu humu ni wajinga wajinga hawajui mifumo? 3m kwa siku ni ngumu na kama ni upigaji iwe serikalini au nje ya serikalini jua ni suala la muda tu kabla ya kudakwa.
Acha wivu. Maneno yako yana mlengo wa wivu na husuda kwa 100%.
 
Haya kakojoe ukalale sasa,chai yako haina sukari
 
Pole sana mpambanaji. Nita kuinbox
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…