jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Unapendekeza mfumo gani bora?Tatizo ni mfumo mbovu wa Ujamaa. Ujamaa ndiyo uliharibu viwanda, uliharibu biashara za watu, uliharibu kilimo na ndiyo chanzo kikubwa cha ufisadi.
Ambayo ni pombe na Wanawake.Wapigania UHURU afrika walipigania maslai yao binafsi
Sijui tunaelekea wap..sio Dar sio vijijini siku hiz kuna 90% ya wadada kuanzia miaka 20 Wana watotoWa kulaumiwa ni sisi wenyewe.
Unapozaa watoto watatu au wa nne, kama gharama za kulea mtoto mmoja ni wastani wa Tsh mil 2 kwa mwaka; kwa miaka 30 huyo mtoto atakugharimu milioni 60.
Mchina mwenye mtoto mmoja atagharimika milioni 60, kulea.
Mzungu mwenye watoto wawili atagharimika mil 120 kulea.
Mbongo mwenye watoto watatu atagarimika mil 180 kulea
Na Mtz mwenye watoto wanne atagharimika mil 240 kulea.
Kwa hiyo, sio kwamba wachina na wazungu wametuzidi utajiri, No! Wanapata unafuu wa maisha hivyo kuokoa pesa nyingi kwa kujenga familia ndogo ndio maana wanaweza kununua magari mazuri na hata kufanya utalii.
Afrika itaweza kuondokana na umaskini endapo tu, familia zitajikita kwenye kuzaa mtoto mmoja hadi wawili.
Tofauti na hapo, wazazi wengi wenye watoto wengi watakufa masikini kwa kuwa fedha zao nyingi zimeenda kwenye kulea familia.
Jamhuri ya Muungano Tanzania (JMT). Mleta mada usirudie kuandika jina la nchi yetu kwa kuanza na herufi ndogo "t".jamhuri ya muungano wa tanzania
Umelala kwenye kochi hapo nyumbani, umasikini utakutokaje? Umasikini wa nchi unaanza na umasikini wa mtu mmoja mmoja.Wadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.
Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.
Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?
Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.
Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.
Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia
Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?
Tusaidiane shida iko wap karibun
Waliwahadaa waafrika wawasapoti kufukuza wakoloni then watalamba asali matokeo yao wao na vizazi vyao ndio walambao asali huku mamilioni ya waafrika wakilamba chumviAmbayo ni pombe na Wanawake.
Tatizo la Tanzania ni mfumo mbovu uliletwa na CCM kuamini Rais pekee ndiyo ana akili timamu mawazo yake ni sahihi muda woteWadau nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania. Kazi inaendelea.
Kichwa cha habari chausika. Naenda moja Kwa moja kwenye mada.
Nawaza Sana hivi ni kwanini tangu tumepata Uhuru 1961 mpaka leo neno umaskini ndo kibwagizo chetu?
Na mpaka leo tunaongea Maji Safi kijijini, shule havina vyoo, Uhuru tuliopata umetusaidia Nini Kama nchi? Mbona mimi sielewi tuliopata Uhuru wa kifanya Nini.
Lakini tuache hayo tangu tupate Uhuru tumeweza Nini Cha kuigwa duniani kutoka kwetu tanzania.
Tuna nini la kujivunia tuliyoweza Kila kitu hatuwezi yaani Kwa kweli nashindwa miaka yote hayo hatuna tulichoweza Cha kujivunia
Umaskini huu nani alaumiwe watanzania ni wavivu au nini kimetupata watanzania?
Tusaidiane shida iko wap karibun
Chumvi ya mawe na uharo, sasa hivi Mabinti zetu wa Kiafrika wako Dubai wananyewa mdomoni na matajiri wa Ghuba na kupewa Dola😤huku mamilioni ya waafrika wakilamba chumvi
Halafu unaambiwa mama anaupiga mwingi
Unaambiwa nchi maskini lakini hapo hapo msafara wa mtawala ni magari zaidi ya 100 V8 nje na posho, mafuta, walinzi, wapambe na wengine huku anaenda kufungua jengo la milioni 400 na wakati gharama zilizotumika ni zaidi ya milioni 800UMASIKINI wa NCHI hii unatokana na Serikali ya
Ccm na Viongozi wake
Tanzania Neno umasikini na Masikini hawataisha wala Kupungua kutokana na Aina ya Viongozi tulionao
Kitu pekee kinachoweza kuondoa au KUPUNGUZA Umasikni ni pamoja na KATIBA MPYA itakayoweza kuwadhibiti Viongozi wa Ccm Na Serikali kutumia vibaya Raslimali na Fedha za Serikali ambazo ni KODI za Hao Masikini wa Nchi hii Bila Katiba Mpya Umasikini utaendelea Milele na Milele.
Tungekuwa na uwezo wa maamuzi ni bora tungenunua uongozi toka nje hata kama tutawalipa mishahara mikubwa lakini bora tufike kuliko wanasiasa hawa ambao kwao uongozi ni ajira binafsi na sio wito.Chumvi ya mawe na uharo, sasa hivi Mabinti wetu wa Kiafrika wako Dubai wananyewa mdomoni na matajiri wa Ghuba na kupewa Dola😤
Usultani mamboleo.Tatizo la Tanzania ni mfumo mbovu uliletwa na CCM kuamini Rais pekee ndiyo ana akili timamu mawazo yake ni sahihi muda wote
Sisi pia ni wakulaumiwa Khanga,Tisheti tunaanza kukata viuno.Viongozi ndio watu wa kwanza kabisa kulaumiwa katika hili
Sisi pia ni wakulaumiwa Khanga,Tisheti tunaanza kukata vk
Wame tungenezea woga wa kuhoji haki zetu na ndio mtaji wao wa Kila sikuSisi pia ni wakulaumiwa Khanga,Tisheti tunaanza kukata viuno.