Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Kwanini wana wa israel hawakuongozwa kuelekea nchi ya maziwa na asali ya kweli kama Tanzania. Sasa tumeongezewa na gesi. Badala yake walienda jangwani na sasa kila siku vita na waparestina. Naamini kwa kipindi icho watu kama kina mkwawa, mirambo na wengineo wa kariba hiyo hawakuwepi kabisa. Isingewapa tabu kukamata ardhi.
 
umesema kweli mkuu wengi wanaocomment hawajasoma biblia kujua nini kilitokea kwa wana wa Israel na sababu zote za wao kuzunguka jangwani miaka zipo wazi. safi sana no research no right to speak.
wamezunguka miaka 40 hawajakutana hata na mtu mmoja wa mataifa mengine?.it is impossible .

Wanaanza kukutana na tawala zingine baada ya hiyo miaka arobaini.
Walikua wanazunguka wapi kusikokua na tawala zingine?
 
ha..!!,kumbe nina post nyingi hivo..mi usisubiri like yangu ukiona nimekuquote in a positive way,jua hiyo ndo like yangu.

Kama nimekupinga ndo dislike yenyewe hiyo.

jibu hoja acha kujishaua. eti "uthithubiri... ukiona..blah blah" who has time for such nonsense?

The questions is unapingana na Quran leo?

The Qur’an recounts details of the story of Moses in a number of chapters.

This is from Sahih International

Quran 46:30 Ayah 46:30 They said, "O our people, indeed we have heard a [recited] Book revealed after Moses confirming what was before it which guides to the truth and to a straight path.

Surat Al-Ma'idah 5:26 mentions 40 years just like the Bible says. So just admit that Quran lie as well? Is that what you are trying to say? I know you are a Muslim so face your claims.

5_26.png
Sahih International
[ Allah ] said, "Then indeed, it is forbidden to them for forty years [in which] they will wander throughout the land. So do not grieve over the defiantly disobedient people."
 
Kwanini wana wa israel hawakuongozwa kuelekea nchi ya maziwa na asali ya kweli kama Tanzania. Sasa tumeongezewa na gesi. Badala yake walienda jangwani na sasa kila siku vita na waparestina. Naamini kwa kipindi icho watu kama kina mkwawa, mirambo na wengineo wa kariba hiyo hawakuwepi kabisa. Isingewapa tabu kukamata ardhi.
hata mi hushangaa,maziwa na asari jangwani?.nchi kavu kama nini.
 
jibu hoja acha kujishaua. eti "uthithubiri... ukiona..blah blah" who has time for such nonsense?

The questions is unapingana na Quran leo?

The Qur’an recounts details of the story of Moses in a number of chapters.

This is from Sahih International

Quran 46:30 Ayah 46:30 They said, "O our people, indeed we have heard a [recited] Book revealed after Moses confirming what was before it which guides to the truth and to a straight path.

Surat Al-Ma'idah 5:26 mentions 40 years just like the Bible says. So just admit that Quran lie as well? Is that what you are trying to say? I know you are a Muslim so face your claims.

5_26.png
Sahih International
[ Allah ] said, "Then indeed, it is forbidden to them for forty years [in which] they will wander throughout the land. So do not grieve over the defiantly disobedient people."

hah..!!,like hapa tunalinganisha maandiko?...so hata kama niko kinyume na quran so what,cause that is not the case here.
Hapa tunatafuta how hawa jamaa wametumia siku zote hizo kufika wanakokuita nchi ya ahadi.
History haionyeshi movement kubwa kiasi hicho cha watu toka misri.afterall caanan ilikua under egypt occupation,
 
Sio mbali kihivyo, ndio maana Isaack aliweza kuwatuma watoto zake kwenda Misri kutafuta chakula wakati ule wa miaka 7 ya njaa.

Na walipofika huko Misri walimkutaka Joseph (mtoto wa mwisho wa Isaack) ndiyo waziri mkuu wa Misri. Aliwatambua ndugu zake na kuwapatia chakula na wakurudi Israel. Baadaye Isaack na wanawe walihamia Misri na ndio ukawa mwanzo wa utumwa wa Waisrael Misri baada ya Pharaoh aliyekuwa anamthamini Joseph kufariki.

Ukiisoma hii utagundua wana wa israel ni watu wa kuaribu ziku zote. Ndio maana Mungu aliwapeleka utumwani kiaina. Very strategic move naweza iita. Kwanza Joseph. Pili njaa. Tatu wakaingia tunduni wenyewe bila kujua watakuja kuwa watumwa. Wakati mwingine huwa najiuliza hata ujerumani ya manazi. Walikuwaje wakawa wamejaa sana kule mpaka wakaangamizwa kwa mamilion. Utakuwa no huu ni mpango wa MUNGU?
 
hahahaa, herufi kubwa ni kuonesha msisitizo tu, kufoka ni kuandika herufi kubwa zote. lakini tuachane na hayo kwanza, hebu shusha evidence hapa mkuu tujadili.

Msisitizo normally tunatumia bold text or highlight anyway we leave that aside. Aren't you the one who is claiming there was no Exodus? For what evidence that you have against it that led you to such conclusion? The only way to disprove something is either to find evidence against it, or to find a lack of evidence that should be present and for which there is no plausible explanation for its absence. Lets start from there apart from written scriptures, word of mouth and archaeological evidence that support this.
 
Msisitizo normally tunatumia bold text or highlight anyway we leave that aside. Aren't you the one who is claiming there was no Exodus? For what evidence that you have against it that led you to such conclusion? The only way to disprove something is either to find evidence against it, or to find a lack of evidence that should be present and for which there is no plausible explanation for its absence. Lets start from there apart from written scriptures, word of mouth and archaeological evidence that support this.

naona tunarudi palepale, the table is empty, someone is claiming there is a glass full of wine on that table, the evidence is right before your eyes, no glass! kama kuna mazingaombwe yaoneshe wote tuione hiyo glass.
 
Ni kama Tanzania tu mwaka wa 50bado hatujaweza kujivunia utaifa wetu siku tukipata ukombozi wa kweli kifikra na tukaweka kwenye historia wajukuu zetu kipindi hicho wataumiza vichwa sana ilikuwaje babu na bibi zetu wakaishi maisha ya ukoloni mambo leo miaka yote hiyo?

Una akiri sana we mmama furahisha mimi wewe! Think tank love it.
 
hah..!!,like hapa tunalinganisha maandiko?...so hata kama niko kinyume na quran so what,cause that is not the case here.
Hapa tunatafuta how hawa jamaa wametumia siku zote hizo kufika wanakokuita nchi ya ahadi.
History haionyeshi movement kubwa kiasi hicho cha watu toka misri.afterall caanan ilikua under egypt occupation,

Elungata how can I take you seriously if half of your posts have been telling us how perfect the Qu'ran is, and now this is what you came up with? "so hata kama niko kinyume na quran so what,cause that is not the case here." You are unreliable, contradictory, biased and inconsistent with your own moral and standards. I have respect for the people who can stand for their claims not wachonganishi na wazushi. You will never agree with any explanation about Exodus no matter how logical and true it can be since your inner aspect is far away from looking for the truth but destroying it with all means.

But watch how I reason with others who are not like you.
 
ndio wakatumia miaka yote hiyo! Mimi nadhani Elungata ana point, labda hamjambamba. Kitu kingine kilicho nistaajabisha ni mazungumzo ya MUNGU na Musa, kama mdau mmoja alivyoweka hapo juu.

Eti Mungu anatishia kuwaangamiza wote Musa anamshauri Mungu aache. Kwa maelezo hayo mungu anakuwa hajui anachokifanya. MUSA kageuka kuwa mshauri wa mungu!



Kuna mdau kasema ww hukuwa na nia ya kujifunza bali kudhihaki imani za watu wengine!
 
Last edited by a moderator:
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

Kaka kama ulisoma historia huwezi shangaa WAULIZE WAHEHE na WANGONI iliwachukua muda gani kufika Tanzani. Lakini pia the spread of BANTU ni Southern Sahara desert wametembea mamilion ya miaka. Haijarishi kuwa waisrael walikuwa wanatembea usiku na mchana walikuwa wanaishi eneo moja mpaks wanazoeleka kama wenyeji lengo wawateke wenyeji na kuwatawala. Safari yao ilikuwa ya kuvamia na kutawala baadhi ya mataifa waliyopitia.
 
Elungata how can I take you seriously if half of your posts have been telling us how perfect the Qu'ran is, and now this is what you came up with? "so hata kama niko kinyume na quran so what,cause that is not the case here." You are unreliable, contradictory, biased and inconsistent with your own moral and standards. I have respect for the people who can stand for their claims not wachonganishi na wazushi. You will never agree with any explanation about Exodus no matter how logical and true it can be since your inner aspect is far away from looking for the truth but destroying it with all means.

But watch how I reason with others who are not like you.
naona hufuatilii post zangu,mimi siko hapa kuhubiria watu,na kama kinatokea hapa kitu ambacho sikubaliani nacho ntasema tu.na mara nyingi mimi hata kwenye mambo ya imani mara nyingi nabase kwenye kuquote bible,sasa lini nimehubiri qurani bana?.mimi si mwanazuoni wa quran bana,na daima napenda kutojifanya mtaalamu nayo ili nisiharibu.tatizo watu kama wewe inapoongelewa israel mnakimbilia kuquote vifungu wakati unaweza kuongelea mada kihistory bila kuquote maandiko.

Mimi ukiniquotia maandiko nami nakukandamizia maandiko ambayo mara nyingi huwa ni bible.
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?


majibu yaambatane na dalili
 
Kaka kama ulisoma historia huwezi shangaa WAULIZE WAHEHE na WANGONI iliwachukua muda gani kufika Tanzani. Lakini pia the spread of BANTU ni Southern Sahara desert wametembea mamilion ya miaka. Haijarishi kuwa waisrael walikuwa wanatembea usiku na mchana walikuwa wanaishi eneo moja mpaks wanazoeleka kama wenyeji lengo wawateke wenyeji na kuwatawala. Safari yao ilikuwa ya kuvamia na kutawala baadhi ya mataifa waliyopitia.
tatizo tunaambiwa kwa miaka 40 wanatangatanga hawajakutana na jamii zingine,baada ya miaka 40 na moses kufa ndo wanaanza kukutana na jamii zingine na kufanya nao vita.
 
naona tunarudi palepale, the table is empty, someone is claiming there is a glass full of wine on that table, the evidence is right before your eyes, no glass! kama kuna mazingaombwe yaoneshe wote tuione hiyo glass.

We have a detailed written book about the incident you set that aside and ask for proof. I asked you about your own effort that have been set to refute the claims of the book, you didn't bring forward. No rational person believes that what has not been proven is false. I can ask one thing and you should not be shortsighted like Elungata since you have some sense of logic. Here is the question? Before the discovery of Dinosaurs' fossils did that meant they didn't exist? If I can rephrase, Did the Dinosaurs existence became reality only when we discover their fossils? There was lots of ancient stories that claimed the existence of big creatures with close description. Answer me that one and we move forward.
 
naona hufuatilii post zangu,mimi siko hapa kuhubiria watu,na kama kinatokea hapa kitu ambacho sikubaliani nacho ntasema tu.na mara nyingi mimi hata kwenye mambo ya imani mara nyingi nabase kwenye kuquote bible,sasa lini nimehubiri qurani bana?.mimi si mwanazuoni wa quran bana,na daima napenda kutojifanya mtaalamu nayo ili nisiharibu.tatizo watu kama wewe inapoongelewa israel mnakimbilia kuquote vifungu wakati unaweza kuongelea mada kihistory bila kuquote maandiko.

Mimi ukiniquotia maandiko nami nakukandamizia maandiko ambayo mara nyingi huwa ni bible.

You are totally strange! Why quote Bible and claim you are not here to preach? Bible is a religious book and you are using it wrongly with an intention to preach hate here. At the same time talking about not knowing about Qu'ran what a contradictory figure?

The topic is about the distance from Egypt to Israel, you have been quoting Bible all along and at the same time here you are saying this:

tatizo watu kama wewe inapoongelewa israel mnakimbilia kuquote vifungu wakati unaweza kuongelea mada kihistory bila kuquote maandiko

This is bogus. Now you are frying yourself with your own oil.
 
You are totally strange! Why quote Bible and claim you are not here to preach? Bible is a religious book and you are using it wrongly with an intention to preach hate here. At the same time talking about not knowing about Qu'ran what a contradictory figure?

The topic is about the distance from Egypt to Israel, you have been quoting Bible all along and at the same time here you are saying this:



This is bogus. Now you are frying yourself with your own oil.
bana we,ntakuhubirije kwa bible?afterall mimi naquote bible mtu akija na maandiko,umeshaona nimeanzisha uzi wa mambo ya dini?,mimi always narespond.

Haya soma history ya waisrael wa mwanzo hapa kwenye link.
History inasema kumbe hata falme za israel na juder kuna wakati zimewekwa na wa asyria as a client state na si na maandiko.haya mambo ya agano la kale ni history iliyoongezwa vionjo na mambo ya imani na pia mambo yasiyowahi kutokea.
 
History of ancient Israel and Judah - Wikipedia, the free encyclopedia.
These surveys
revolutionized the
study of early Israel.
The discovery of the
remains of a dense
network of highland
villages — all
apparently established
within the span of few
generations —
indicated that a
dramatic social
transformation had
taken place in the
central hill country of
Canaan around 1200
BCE. There was no sign
of violent invasion or
even the infiltration of
a clearly defined ethnic
group. Instead, it
seemed to be a
revolution in lifestyle. In
the formerly sparsely
populated highlands
from the Judean hills in
the south to the hills of
Samaria in the north,
far from the Canaanite
cities that were in the
process of collapse and
disintegration, about
two-hundred fifty
hilltop communities
suddenly sprang up.
Here were the first
Israelites
 
Back
Top Bottom