Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

kucompete na mungu kivipi?,au ndo unaamini kuongelea haya mambo ni dhambi?.

Misri ilikua inatawala kipindi hicho mpaka caanan.
Pia wana achaelogia hawajawahi kupata hata fuvu moja la myahudi aliefia jangwani enzi wanatangatanga jangwani.hakuna ushahidi wowote wa kihistoria.
Haya ndo matatizo ya kung'ang'ana Yesu ni Mungu, tukiuliza kwa hiyo Mungu hana nywele za kipilipili kama mwafrika tunazomewa!
 
Mkuu lyinga umenikuna roho. Kweli wajukuu zetu watakaa na kujiuliza hivi kupata maendeleo lazima utimize miaka 50 ya mpito?
Ni kweli Israel na Misri siyo mbali kiasi hicho lakini wana teologia kuwa:
Kwanza, hawakujua ni wapi walikuwa wanakwenda. Musa aliwaambia kwamba wao walikuwa wakiongozwa na Mungu.
Mara baada ya wao kufika huko, waliamua kutuma wapelelezi kufanya utafiti wa nchi. Kati ya 10 ya wapelelezi kadhaa walisema kuwa Waisrael hawakuwa na uwezo wa kuchukua nchi;
Joshua na Kalebu waliwaambia kuwa lazima Waisrael waonyesha kiasi chochote cha imani katika Mungu. Kwa sababu ya uasi wao na ukosefu wa imani, Mungu aliwaambia kugeuka na kutanga tanga katika jangwa kwa miaka 40, mpaka hapo Yoshua na Kalebu walipokuwa wamekufa ndipo akawapa Musa awaongoze Musa.

Na wanateologia wengine wanasema kuwa Waisraeli walikuwa na uwezo kufanya safari katika siku kumi kwa kuzingatia lakini kulikuwepo na ucheleweshaji ili kuchukua njia ya mzunguko ili kuepuka kupigana vita na taifa la Wafilisti;
Ukisoma katika Kitabu cha Kutoka 13:17 unaambiwa kuwa wakati Faraoh alipowaachia Waisraeli kuondoka Misri Mungu akutaka wapitie njia fupi ya nchi ya Wafilisti kwa kuofia kuwa wangekumbana na Wafilisti na kubadili mawazo na kuamua kurudi Misri

Pia, Mungu alitaka kuwafundisha watu wake kuhusu yeye mwenyewe na sheria zake. Hii pia ilichukua muda. Lakini kama sababu zilizotajwa hapo juu, sababu kuu ya kuchelewa kwao ni kwa sababu walikuwa na mashaka ya nguvu za Mungu na wakawa waoga kuzifuata na kwa njia hiyo safari yao ikacheleweshwa

kwa nini walitanga tanga jangwani kwa miaka yote hiyo ni kwa sababu walikosa uaminifu kwa Mungu kwa hiyo akawapa adhabu ni mitihani mingi ya majaribu ili waweze kujua kuwa Yeye ndiye Yeye

Ni kama Tanzania tu mwaka wa 50bado hatujaweza kujivunia utaifa wetu siku tukipata ukombozi wa kweli kifikra na tukaweka kwenye historia wajukuu zetu kipindi hicho wataumiza vichwa sana ilikuwaje babu na bibi zetu wakaishi maisha ya ukoloni mambo leo miaka yote hiyo?
 
Na kweli walikua wanasua sua kwa mjibu wa maandiko.
Hesabu 11:1=wana wa israel wakawa wanalalamika,mungu wao akawaka kwa hasira na kuanza kuwachoma moto.akawaua wengi kwa ajili ya kulalamika tu.
Hesabu 11:2=watu wakamlilia moses.ikabidi aingilie kati.mungu wao akaacha kuwachoma.
Hesabu11:11-15=moses akamwambia mungu,Kwanini unanifanyia hivi?kwanini unanitwisha mzigo mzito?kwani mi ni mwanamke aliebeba mimba akazaa taifa hili?.moses akaendelea kumsomea mungu,''NTAPATA WAPI NYAMA YA KUTOSHA KULISHA WATU WOTE HAWA?,I cant be responsible for the entire national,it is too hard for me,if you are going to do this to me,DO ME A FAVOR AND KILL ME''.

Hesabu11:20=mungu akawapa nyama na kuwambia wale mpaka waimalize.
Hesabu11:33-34=wakala mpaka wakavimbewa na kupasuka matumbo.
Wale waliobaki tena wakala mgomo dhidi ya moses na mungu wao.
Hesabu 14:2-23=wakamlalamikia aron na moses,''bora tungefia tu misri,kwanini mungu katuleta huku ili tuangamie kwa upanga.wake zetu na watoto watachukuliwa mateka,BORA TURUDI MISRI''.

God said,''how long will this national continour to provoke me?,I WILL KILL THEM.

Moses akajibu,''itakuaje wamisri wakisikia kwamba umeua watu hawa?,Yani unataka kuua taifa zima kama unaua mtu mmoja?.wamisri wakisikia watasema wewe mungu umeshindwa kutimiza ahadi yako na umewaua watu wako wote jangwani.Tafadhari mungu jitahidi uwe na subira na pia punguza hasira na uwe na moyo wa kusamehe.''
mungu akasema,''ntawasamehe,lakini hawa walionichokoza lazima wafe,hawataiona nchi ya ahadi''.

Hesabu14:26-35=God spoke to moses and aron.AM ANGRY,HOW LONG WILL THESE EVIL PEOPLE EXIST COMPLAINING AGAIST ME?.you will not get to the promised land,everyone over 20 years old IS GOING TO DIE IN THE DESERT.

Hesabu17:32-36=siku iliyofuata waisrael wakamlamikia tena moses na aron.Mungu akatokea na kumwambia moses.
NIPISHE NIWAMALIZE SASA HIVI,Akauwa 14700 hapo hapo.

Kisha akasema ,''kama hawaachi kulalamika,NTAWAMALIZA WOTE.''
NUMBER17:25-27=God said,''if their grumbling doesnt cease,THEY SHALL DIE'.

The israel cried out,''WE ARE PERISHING,WE ARE LOST,ARE WE TO PERISH TO THE LAST MAN?''.

Ooh,tumekwisha,tumepotea,ATATUMALIZA.

Number 21:5-9=the people spoke against God and moses.
God sent POISONOUS SNAKE agaisnt his people and they were bitten and died.
Mungu wao alipoona bado wanachonga,akawatumia nyoka zenye sumu zikawauma na wakafa kweli.
Moses akaona watakwisha kweli hawa watu,AKAINGILIA TENA.
Mungu akamwambia atengeeze sanamu ya nyoka aiwambe mtini na ili mtu apone sharti aitizame.
 
Mkuu Biblia Na Quran si vitabu vya historia au sayansi Bali Ni vitabu vinavyosaidia kumjua Mungu,kujua jinsi ya kumtumikia nakuonyesha njia ya kufika kwake mbinguni(kwa argument zako najua utauliza hiyo mbingu Na huyo Mungu viko wapi kisayansi Na Ki historia). Mwisho wa siku imani kuhusu Mungu huwa Ni kwa wale walioamini Tu.Nimesoma History Nilikua napata mpaka alama90 kwa mia!,lakini mengi tuliyokuwa tunafundishwa nilijua Ni ya uongo. Mfano tuliambiwa binadamu katokana Na nyani Na sokwe! Sasa mbona mpaka Leo Nyani bado wapo,Sokwe bado wapo Na binadamu bado wapo! Ndio maana Yesu pale kwenye hotuba ya mlimani alitoa heri nyingi Tu.Chunguza heri mojawapo yaweza kuwa ya kwako.
http://en.m.wikipedia.org/wiki/The_Exodus.


Historicity
Most histories of ancient Israel
no longer consider information
about the Exodus recoverable
or even relevant to the story of
Israel's emergence.[14]
Nevertheless, the discussion of
the historicity of the exodus
has a long history, and
continues to attract attention.
Numbers and logistics
The consensus among biblical
scholars today is that there was
never any exodus of the
proportions described in the
Bible.[15] According to Exodus
12:37–38, the Israelites
numbered "about six hundred
thousand men on foot, besides
women and children," plus
many non-Israelites and
livestock.[16] Numbers 1:46
gives a more precise total of
603,550 men aged 20 and up.
[17] The 600,000, plus wives,
children, the elderly, and the
"mixed multitude" of non-
Israelites would have
numbered some 2 million
people,[18] compared with an
entire Egyptian population in
1250 BCE of around 3 to 3.5
million.[19] Marching ten
abreast, and without
accounting for livestock, they
would have formed a line 150
miles long.[20] No evidence has
been found that indicates Egypt
ever suffered such a
demographic and economic
catastrophe or that the Sinai
desert ever hosted (or could
have hosted) these millions of
people and their herds.[21]
Some scholars have
rationalised these numbers
into smaller figures, for
example reading the Hebrew as
"600 families" rather than
600,000 men, but all such
solutions raise more problems
than they solve.[22] The view of
mainstream modern biblical
scholarship is that the
improbability of the Exodus
story originates because it was
written not as history, but to
demonstrate God's purpose
and deeds with his Chosen
People, Israel.[3] Some have
suggested that the 603,550
people delivered from Egypt
(according to Numbers 1:46) is
not a number, but a gematria
(a code in which numbers
represent letters or words) for
bnei yisra'el kol rosh, "the
children of Israel, every
individual;"[23] while the
number 600,000 symbolises
the total destruction of the
generation of Israel which left
Egypt, none of whom lived to
see the Promised Land.[24]
Archaeology
A century of research by
archaeologists and
Egyptologists has found no
evidence which can be directly
related to the Exodus captivity
and the escape and travels
through the wilderness,[3] and
most archaeologists have
abandoned the archaeological
investigation of Moses and the
Exodus as "a fruitless pursuit".
[4] A number of theories have
been put forward to account
for the origins of the Israelites,
and despite differing details
they agree on Israel's Canaanite
origins.[25] The culture of the
earliest Israelite settlements is
Canaanite, their cult-objects are
those of the Canaanite god El,
the pottery remains in the local
Canaanite tradition, and the
alphabet used is early
Canaanite, and almost the sole
marker distinguishing the
"Israelite" villages from
Canaanite sites is an absence of
pig bones, although whether
even this is an ethnic marker or
is due to other factors remains
a matter of dispute.[26]
Anachronisms
Despite the Bible's internal
dating of the Exodus to the 2nd
millennium BCE, details point to
a 1st millennium date for the
composition of the Book of
Exodus: Ezion-Geber, (one of
the Stations of the Exodus), for
example, dates to a period
between the 8th and 6th
centuries BCE with possible
further occupation into the 4th
century BCE,[27] and those
place-names on the Exodus
route which have been
identified – Goshen, Pithom,
Succoth, Ramesses and Kadesh
Barnea – point to the
geography of the 1st
millennium rather than the 2nd.
[28] Similarly, Pharaoh's fear
that the Israelites might ally
themselves with foreign
invaders seems unlikely in the
context of the late 2nd
millennium, when Canaan was
part of an Egyptian empire and
Egypt faced no enemies in that
direction, but does make sense
in a 1st millennium context,
when Egypt was considerably
weaker and faced invasion first
from the Persians and later
from Seleucid Syria.[29] The
mention of the dromedary in
Exodus 9:3 also suggests a
later date of composition – the
widespread domestication of
the camel as a herd animal did
not take place before the late
2nd millennium, after the
Israelites had already emerged
in Canaan,[30] and they did not
become widespread in Egypt
until c.200–100 BCE.[31]
Chronology
The chronology of the Exodus
story likewise underlines its
essentially religious rather than
historical nature. The number
seven, for example, was sacred
to God in Judaism, and so the
Israelites arrive at Sinai, where
they will meet God, at the
beginning of the seventh week
after their departure from
Egypt,[32] while the erection of
the Tabernacle, God's dwelling-
place among his people, occurs
in the year 2666 after God
creates the world, two-thirds of
the way through a four
thousand year era which
culminates in or around the re-
dedication of the Second
Temple in 164 BCE.[33][34]
[Notes 1]
Route and date
Main article: Stations list
Possible Exodus Routes. In
black is the traditional Exodus
route; other possible routes are
in blue and green.
Route
The Torah lists the places
where the Israelites rested. A
few of the names at the start of
the itinerary, including
Ra'amses, Pithom and Succoth,
are reasonably well identified
with archaeological sites on the
eastern edge of the Nile delta,
[28] as is Kadesh-Barnea,
where the Israelites spend 38
years after turning back from
Canaan, but other than that
very little is certain. The
crossing of the Red Sea has
been variously placed at the
Pelusic branch of the Nile,
anywhere along the network of
Bitter Lakes and smaller canals
that formed a barrier toward
eastward escape, the Gulf of
Suez (SSE of Succoth) and the
Gulf of Aqaba (S of Ezion-
Geber), or even on a lagoon on
the Mediterranean coast. The
biblical Mt. Sinai is identified in
Christian tradition with Jebel
Musa in the south of the Sinai
Peninsula, but this association
dates only from the 3rd century
CE and no evidence of the
Exodus has been found there.
[35]
Date
Main article: Pharaoh of the
Exodus
The two major proposals for
the date of the Exodus are the
15th century BCE and the 13th.
[36] The former is based on the
statement in 1 Kings 6:1 that
the Exodus occurred 480 years
before the construction of
Solomon's Temple, which
would imply an Exodus c.1446
BCE, during Egypt's Eighteenth
Dynasty.[37] However, it is
widely recognised that number
in 1 Kings is symbolic,[38]
representing twelve
generations of forty years each.
[39] (The number 480 is not
only symbolic – the twelve
generations – but schematic:
Solomon's temple (the First
Temple) is founded 480 years
after the Exodus and 480 years
before the foundation of the
Second Temple).[40] There are
also major archeological
obstacles to the 15th century
date: Canaan at the time was a
part of the Egyptian empire, so
that the Israelites would in
effect be escaping from Egypt
to Egypt, and its cities were
unwalled and do not show
destruction layers consistent
with the Bible's account of the
occupation of the land ( Jericho
was "small and poor, almost
insignificant, and unfortified
(and) [t]here was also no sign
of a destruction" - Finkelstein
and Silberman (2002), page
82).[41]
The lack of evidence for a 15th
century Exodus led William F.
Albright, the leading biblical
archaeologist of the mid-20th
century, to propose an
alternative 13th century date of
around 1250–1200 BCE for the
Exodus event and the entry into
Canaan described in the book
of Joshua.[42] (The Merneptah
Stele indicated that a people
called "Israel" were already
known in Canaan by the reign
of Merneptah (1213–1203 BCE),
so a date later than this was
impossible). His argument was
based on many strands of
evidence, including the
archaeologically attested
destruction at Beitel ( Bethel)
and some other cities at
around that period and the
occurrence of distinctive
house-types and round-
collared jars which, in his
opinion, were "Israelite".[42]
Albright's theory enjoyed
popularity at the time, but has
now been generally abandoned
in scholarship:[42] the so-called
"Israelite" house-type, the
collar-rimmed jars, and other
items which Albright thought
distinctive and new have now
been recognised as
continuations of indigenous
Canaanite types.[43] In a similar
vein, while some "Joshua"
cities, including Hazor, Lachish,
Megiddo and others, have
destruction and transition
layers around 1250–1145 BCE,
others, including Jericho, have
none or were uninhabited
during this period.[44][45]
Other attempts to date the
Exodus to a specific century
have been equally inconclusive.
[46] Details in the story in fact
hint that a complex and
multilayered editing process
has been at work: the Exodus
cities of Pithom and Rameses,
for example, were not
inhabited during most of the
New Kingdom period, and the
forty years of wilderness
wanderings are also full of
inconsistencies and
anachronisms.[47] It is
therefore best to treat the
Exodus story not as the record
of a single historical event but
as a "powerful collective
memory of the Egyptian
occupation of Canaan and the
enslavement of its population"
during the 13th and 12th
centuries
 
Mkuu Biblia Na Quran si vitabu vya historia au sayansi Bali Ni vitabu vinavyosaidia kumjua Mungu,kujua jinsi ya kumtumikia nakuonyesha njia ya kufika kwake mbinguni(kwa argument zako najua utauliza hiyo mbingu Na huyo Mungu viko wapi kisayansi Na Ki historia). Mwisho wa siku imani kuhusu Mungu huwa Ni kwa wale walioamini Tu.Nimesoma History Nilikua napata mpaka alama90 kwa mia!,lakini mengi tuliyokuwa tunafundishwa nilijua Ni ya uongo. Mfano tuliambiwa binadamu katokana Na nyani Na sokwe! Sasa mbona mpaka Leo Nyani bado wapo,Sokwe bado wapo Na binadamu bado wapo! Ndio maana Yesu pale kwenye hotuba ya mlimani alitoa heri nyingi Tu.Chunguza heri mojawapo yaweza kuwa ya kwako.
sasa hili suala la safari ya wayahudi kutoka misri kama lilitokea in reality si lazima uwepo ushahidi wa walimopita?.au kwasababu liko kiimani zaidi ndo ule ushahidi ulitoweka kimiujiza?.maana jamii haiwezi kutumia miaka 40 mahala pasiwepo hata ushahidi,hata miji iliyotajwa wakati wanapita kumbe kipindi hicho haikuwepo ama ilikua settlement ndogo sana ambayo haikuwa hata na ngome kama inavyoelezwa katika maandiko.

Na hapo hata idadi ya watu wanaokufa katika vita vya akina joshua na maadui zao inaonekana kama wameongeza chumvi tu,vita vya mikuki na mapanga inaweza kuua watu laki tano kwa siku wakati nyuklia isifikishe hata laki mbili?.
Hesabu tu inakataa,siku nzima ina dakika hazizidi 1500 ina maana mikuki ya joshua ilikua na uwezo wa kuu watu 500 kwa dakika?.
Idadi ya watu wanaokufa ni kubwa mno ingawa sijajumlisha usishangea ikafika hata bilioni,walitokea wapi hao watu katika eneo dogo kama hilo?
 
Ndio maana nalisema mkuu kwamba biblia Na quran Ni vitabu vya Ki imani zaidi,si vya sayansi au history. Vilitaka kuelezea historia ya uokovu wa mwanadamu ili afike mbinguni. Havikutaka kueleza Sana historia ya watu Na vitu bingine nje ya asili ya Yesu Na Muhamad.Adamu Na Eva walizaa watoto wengi Tu nje yaKaini Na Abel. Lakini wala biblia haikua interested Na hao!
sasa hili suala la safari ya wayahudi kutoka misri kama lilitokea in reality si lazima uwepo ushahidi wa walimopita?.au kwasababu liko kiimani zaidi ndo ule ushahidi ulitoweka kimiujiza?.maana jamii haiwezi kutumia miaka 40 mahala pasiwepo hata ushahidi,hata miji iliyotajwa wakati wanapita kumbe kipindi hicho haikuwepo ama ilikua settlement ndogo sana ambayo haikuwa hata na ngome kama inavyoelezwa katika maandiko.

Na hapo hata idadi ya watu wanaokufa katika vita vya akina joshua na maadui zao inaonekana kama wameongeza chumvi tu,vita vya mikuki na mapanga inaweza kuua watu laki tano kwa siku wakati nyuklia isifikishe hata laki mbili?.
Hesabu tu inakataa,siku nzima ina dakika hazizidi 1500 ina maana mikuki ya joshua ilikua na uwezo wa kuu watu 500 kwa dakika?.
Idadi ya watu wanaokufa ni kubwa mno ingawa sijajumlisha usishangea ikafika hata bilioni,walitokea wapi hao watu katika eneo dogo kama hilo?
 
[h=2]Israel’s Exodus from Egypt and Entry into Canaan[/h]



  • Rameses Israel was thrust out of Egypt (Ex. 12; Num. 33:5).
  • Succoth After the Hebrews left this first campsite, the Lord attended them in a cloud by day and in a pillar of fire by night (Ex. 13:20–22).
  • Pi-hahiroth Israel passed through the Red Sea (Ex. 14; Num. 33:8).
  • Marah The Lord healed the waters of Marah (Ex. 15:23–26).
  • Elim Israel camped by 12 springs (Ex. 15:27).
  • Wilderness of Sin The Lord sent manna and quail to feed Israel (Ex. 16).
  • Rephidim Israel fought with Amalek (Ex. 17:8–16).
  • Mount Sinai (Mount Horeb or Jebel Musa) The Lord revealed the Ten Commandments (Ex. 19–20).
  • Sinai Wilderness Israel constructed the tabernacle (Ex. 25–30).
  • Wilderness Camps Seventy elders were called to help Moses govern the people (Num. 11:16–17).
  • Ezion-geber Israel passed through the lands of Esau and Ammon in peace (Deut. 2).
  • Kadesh-barnea Moses sent spies into the promised land; Israel rebelled and failed to enter the land; Kadesh served as the main camp of Israel for many years (Num. 13:1–3, 17–33; 14; 32:8; Deut. 2:14).
  • Eastern Wilderness Israel avoided conflict with Edom and Moab (Num. 20:14–21; 22–24).
  • Arnon River Israel destroyed the Amorites who fought against them (Deut. 2:24–37).
  • Mount Nebo Moses viewed the promised land (Deut. 34:1–4). Moses delivered his last three sermons (Deut. 1–32).
  • Plains of Moab The Lord told Israel to divide the land and dispossess the inhabitants (Num. 33:50–56).
  • Jordan River Israel crossed the Jordan River on dry ground. Near Gilgal, stones from the bottom of the Jordan River were placed as a monument of Jordan’s waters being divided (Josh. 3:1–5:1).
  • Jericho The children of Israel captured and destroyed the city (Josh. 6).
 
Very interesting. Kuna njia fupi Sana toka Egypt mpaka Israel. Haps kwenye ramani inaonekana walizunguka Sana! Kuna wakati walikua wanarudia tena kule walikotokea kisha wanaendelea. Walikua vipofu au?
[h=2]Israel’s Exodus from Egypt and Entry into Canaan[/h]



  • Rameses Israel was thrust out of Egypt (Ex. 12; Num. 33:5).
  • Succoth After the Hebrews left this first campsite, the Lord attended them in a cloud by day and in a pillar of fire by night (Ex. 13:20–22).
  • Pi-hahiroth Israel passed through the Red Sea (Ex. 14; Num. 33:8).
  • Marah The Lord healed the waters of Marah (Ex. 15:23–26).
  • Elim Israel camped by 12 springs (Ex. 15:27).
  • Wilderness of Sin The Lord sent manna and quail to feed Israel (Ex. 16).
  • Rephidim Israel fought with Amalek (Ex. 17:8–16).
  • Mount Sinai (Mount Horeb or Jebel Musa) The Lord revealed the Ten Commandments (Ex. 19–20).
  • Sinai Wilderness Israel constructed the tabernacle (Ex. 25–30).
  • Wilderness Camps Seventy elders were called to help Moses govern the people (Num. 11:16–17).
  • Ezion-geber Israel passed through the lands of Esau and Ammon in peace (Deut. 2).
  • Kadesh-barnea Moses sent spies into the promised land; Israel rebelled and failed to enter the land; Kadesh served as the main camp of Israel for many years (Num. 13:1–3, 17–33; 14; 32:8; Deut. 2:14).
  • Eastern Wilderness Israel avoided conflict with Edom and Moab (Num. 20:14–21; 22–24).
  • Arnon River Israel destroyed the Amorites who fought against them (Deut. 2:24–37).
  • Mount Nebo Moses viewed the promised land (Deut. 34:1–4). Moses delivered his last three sermons (Deut. 1–32).
  • Plains of Moab The Lord told Israel to divide the land and dispossess the inhabitants (Num. 33:50–56).
  • Jordan River Israel crossed the Jordan River on dry ground. Near Gilgal, stones from the bottom of the Jordan River were placed as a monument of Jordan’s waters being divided (Josh. 3:1–5:1).
  • Jericho The children of Israel captured and destroyed the city (Josh. 6).
 
Kijana swart unasema nyani au sokwe wako vilevile ,je unaweza vp kututhibitishia kwamba pale jerusalem eneo la wapalestina ndio nchi ya ahadi na isiwe kwingine ,vp ushaidi wa mtu wa kwanza kwanza kupatikana afrika ya mashariki (olduvai gorge) uthibisho wa kihistoria, na pia kwa nn watu wote wana vina saba vyenye mfanano zaidi na watu wa afrika mashariki kuliko sehemu yoyote ulimwenguni uthibisho wa kisayansi ,eti mnasema mtu anaweza ishi miaka 600 huu ni udanganyifu wa wazi sawa na hadithi za bulitcheka kwa vipimo vya kisayansi umri mrefu zaidi kwa binadamu sasa ,kabla hata milele ni miaka isiyozidi 140, na kumbukeni enzi za kuhama wayaudi hakukuwa na suezi canal bado kuchimbwa tu hata kufikirika ,na pia eneo lote lilikuwa chini ya himaya ya misri mpaka kaanan majibu tafadhali.
 
Very interesting. Kuna njia fupi Sana toka Egypt mpaka Israel. Haps kwenye ramani inaonekana walizunguka Sana! Kuna wakati walikua wanarudia tena kule walikotokea kisha wanaendelea. Walikua vipofu au?

ndio wakatumia miaka yote hiyo! Mimi nadhani Elungata ana point, labda hamjambamba. Kitu kingine kilicho nistaajabisha ni mazungumzo ya MUNGU na Musa, kama mdau mmoja alivyoweka hapo juu.

Eti Mungu anatishia kuwaangamiza wote Musa anamshauri Mungu aache. Kwa maelezo hayo mungu anakuwa hajui anachokifanya. MUSA kageuka kuwa mshauri wa mungu!
 
Last edited by a moderator:
Ni kama Tanzania tu mwaka wa 50bado hatujaweza kujivunia utaifa wetu siku tukipata ukombozi wa kweli kifikra na tukaweka kwenye historia wajukuu zetu kipindi hicho wataumiza vichwa sana ilikuwaje babu na bibi zetu wakaishi maisha ya ukoloni mambo leo miaka yote hiyo?

Uzuri kipindi chetu ushahidi wa video/picha na sauti vyote vipo...mazuzu yaliyotufikisha hapa yatakuwa handpicked. ..
 
Si mbali ila miaka ya zamani na siku hizi inahesabiwa tofauti, halafu walikuwa wansuasua mno mara wamgomee Musa mara waulizie ili wapate uhakika wa nchi ya ahadi. Basi ilimradi bibilia nayo inazingua zingua tu.

ha ha ha bora wewe umekuwa muwazi..biblia ijipange upya!!
 
kwa anaye fahamu ile nchi waliyo haidiwa wa israel (kanan) kwa sasa ni nchi gani atufahamishe
 
Mkuu Kama ungenielewa vizuri mimi simpingi mkuu Elungata wala sikupingi wewe. Nachotaka kusisitiza Ni kwamba vitabu vya dini Na vitabu vya history au sayansi vina mitazamo Na madhumuni tofauti.Hauwezi kutumia sayansi au historia kutaka kuthibitisha uwepo wa Mungu Na miujiza ya Mungu.Mambo ya Mungu msingi wake mi imani,lakini mambo ya sayansi Na history msingi wake Ni observation,experimentna research mbalimbali.Tunaambiwa siku ya mwisho Yesu aliwaaga wanafunzi wake Na kupaa bila kuwa Na mbawa Na kupotea mawinguni. Kuna sayansi inaweza Ku prove hili? Jibu Ni hapana,waumini wanaamini Tu tukio hili. Kingine,wakati wa Israel wanatoka Misri kurudi Kanaan,mfereji wa Suez haukuwepo. Unadhani kwanini walienda kuvukia huku kwenye bahari ya Shamu wakati njia ya nchi kavu ilikuwepo? Muamini vitabu vya dini pekee anaweza kuulizwa maswali 100 Na mwanasayansi asiwe Na jibu straight hata moja. Na mwanasayansi asieamini vitabu vitakatifu anaweza kuulizwa Na muumini maswali 100 ya Ki sayansi yenye utata,asiwe Na jibu hata moja.
Kijana swart unasema nyani au sokwe wako vilevile ,je unaweza vp kututhibitishia kwamba pale jerusalem eneo la wapalestina ndio nchi ya ahadi na isiwe kwingine ,vp ushaidi wa mtu wa kwanza kwanza kupatikana afrika ya mashariki (olduvai gorge) uthibisho wa kihistoria, na pia kwa nn watu wote wana vina saba vyenye mfanano zaidi na watu wa afrika mashariki kuliko sehemu yoyote ulimwenguni uthibisho wa kisayansi ,eti mnasema mtu anaweza ishi miaka 600 huu ni udanganyifu wa wazi sawa na hadithi za bulitcheka kwa vipimo vya kisayansi umri mrefu zaidi kwa binadamu sasa ,kabla hata milele ni miaka isiyozidi 140, na kumbukeni enzi za kuhama wayaudi hakukuwa na suezi canal bado kuchimbwa tu hata kufikirika ,na pia eneo lote lilikuwa chini ya himaya ya misri mpaka kaanan majibu tafadhali.
 
Back
Top Bottom