Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umejikamata mwenyewe. Who told you that Bible ni somo? National examination ilikuwa ya somo la Bible au Divinity?

There's a difference between someone being studied for being a Bible expert or just interesting and worthy of note on the timeline of some narrative. Copying and paste links and long texts from the internet is purely result of ha ha! Where is your own thorough thoughts and results of digested information?
kwahiyo wewe ndo una divinity ya bible?.

Mhh...,eti huwezi kuielewa bible mpaka uwe na upako blah blah...
Hakuna cha upako,divinity wala uvuvio,mbona inajieleza wazi tu.
 
Ongea kama mtu aliyejiridhisha na anayeleta mawazo yake sio kuokota vipande kama mtu aliyeijua internet leo. Wapo wengi wanaweka mawazo yao na hata kama hawaamini dini yoyote yanakuwa na msingi lakini wewe ni mpotoshaji. Jibu maswali kama kweli una nia ya kuona sababu ya msingi ya safari ya miaka arobaini. Au umeishiwa? Sioni unachohoji zaidi ya kujaribu kupotosha.

Mipaka ya Israel na Egypt ya sasa ndivyo ilivyokuwa miaka 3300 iliyopita?
wewe kweli unafurahisha,sasa kama naongea ugoro why dont you just crush my arguments with points?.

Mpaka wa misri na nchi iliyoitwa ya caanan mpaka leo ni sawa.tawala ndogondogo zilizokua hapo zote zilikua eneo la caanan.
In case hukujua,caanan ilikua ni jina la eneo hilo na ndani yake ndo yalikuwepo makabila kama edom,hebrew,moabite,jebusite etc.
Kwahiyo hamna tofauti kubwa ya kivile .
Kwani kwa mawazo yako nchi ya ahadi ilikua ikianzia wapi na kuishia wapi?
 
kwahiyo wewe ndo una divinity ya bible?.

Mhh...,eti huwezi kuielewa bible mpaka uwe na upako blah blah...
Hakuna cha upako,divinity wala uvuvio,mbona inajieleza wazi tu.

You really should see a doctor about that Glioblastoma. You should also really look at the map and realize borders of countries change with some history milestones. The country God promised was occupied with Canaanites it wasn't like going home from vacation. It wasn't a family that was travelling it was a nation. It was clearly said they were delayed and made to round on the desert.

You can read the Bible but it take more than reading to understand it. you simply don't know anything about it and your objective is evil.
 
wewe kweli unafurahisha,sasa kama naongea ugoro why dont you just crush my arguments with points?.

Mpaka wa misri na nchi iliyoitwa ya caanan mpaka leo ni sawa.tawala ndogondogo zilizokua hapo zote zilikua eneo la caanan.
In case hukujua,caanan ilikua ni jina la eneo hilo na ndani yake ndo yalikuwepo makabila kama edom,hebrew,moabite,jebusite etc.
Kwahiyo hamna tofauti kubwa ya kivile .
Kwani kwa mawazo yako nchi ya ahadi ilikua ikianzia wapi na kuishia wapi?

I don't even have to crush you points you do that job by yourself. What is "ni sawa na ya kiville"?
 
You really should see a doctor about that Glioblastoma. You should also really look at the map and realize borders of countries change with some history milestones. The country God promised was occupied with Canaanites it wasn't like going home from vacation. It wasn't a family that was travelling it was a nation. It was clearly said they were delayed and made to round on the desert.

You can read the Bible but it take more than reading to understand it. you simply don't know anything about it and your objective is evil.
bible wapi bana,wanahistory washasema,hakuna history ya mamilion ya watu kuzunguka sinai kwa miaka 40,NO EVIDENCE GET IT INTO YOUR HEAD,NO EVIDENCE...

Wanasema hakuna ushahidi wako hukohuko,na wamechimba sinai yote hamna ushahidi,aafu mtu yuko peramiho inajidai kujua zaidi,kha...!!.
 
I don't even have to crush you points you do that job by yourself. What is "ni sawa na ya kiville"?
the different could be just a few centimetre,that is why i say tofauti si kivile.

Unadhani unaweza kunikamata kwa matumizi ya lugha?.
There wasnt any significant ruling empire between egypt and caanan at that time.
And at sometimes caanan was under New egypt kingdom during the bronze age and before the israel kingdom which was formed during the iron age 9th century and juda kingdom which was formed in 8th century.
 
the different could be just a few centimetre,that is why i say tofauti si kivile.

Unadhani unaweza kunikamata kwa matumizi ya lugha?.
There wasnt any significant ruling empire between egypt and caanan at that time.
And at sometimes caanan was under New egypt kingdom during the bronze age and before the israel kingdom which was formed during the iron age 9th century and juda kingdom which was formed in 8th century.

Matumizi ya lugha? Unajichanganya mwenyewe tu kama unavyoona. Your intention is to mislead by all means. I have shown your faults and now its on your side to be specific. From the start I said your intention was just far from Exodus reality and deep down you know it. Pole sana.
 
bible wapi bana,wanahistory washasema,hakuna history ya mamilion ya watu kuzunguka sinai kwa miaka 40,NO EVIDENCE GET IT INTO YOUR HEAD,NO EVIDENCE...

Wanasema hakuna ushahidi wako hukohuko,na wamechimba sinai yote hamna ushahidi,aafu mtu yuko peramiho inajidai kujua zaidi,kha...!!.

Wanahistory wenye mamlaka ya mwisho ni kina nani hao? Those with same intentions of misleading like you have been telling people that there is a consensus of biblical historians and archaeologists that the Exodus did not happen. It all lie just like yours. There is no such consensus even in Peramiho is where your trauma comes from.
 
Wanahistory wenye mamlaka ya mwisho ni kina nani? Peramiho is where your trauma coming from?
mamlaka ya mwisho kufanya nini?,historical fact ndo kitu kinatakiwa,sio kikundi cha watu wanajikalia ndani na kutunga mambo ya kialinacha afu watoke na kitabu halafu wanakitumia kwa ajenda zao wao.
 
Matumizi ya lugha? Unajichanganya mwenyewe tu kama unavyoona. Your intention is to mislead by all means. I have shown your faults and now its on your side to be specific. From the start I said your intention was just far from Exodus reality and deep down you know it. Pole sana.
am not misleading no one,am just stating the fact.history doesnt register any fact concerning exodus.

Anyone who has brain can do a search and find out.
 
mamlaka ya mwisho kufanya nini?,historical fact ndo kitu kinatakiwa,sio kikundi cha watu wanajikalia ndani na kutunga mambo ya kialinacha afu watoke na kitabu halafu wanakitumia kwa ajenda zao wao.

Elungata, you don't really know what you are talking about. Bible is the most accurate historical document that has details with amazing precision. No archaeological discovery has ever contradicted the Bible. Therefore, since it has been verified over and over again throughout the centuries. Many archaeological founds have been corroborating with biblical records.

You don't know what you are saying and your credibility is decreasing gradually.
 
Elungata, you don't really know what you are talking about. Bible is the most accurate historical document that has details with amazing precision. No archaeological discovery has ever contradicted the Bible. Therefore, since it has been verified over and over again throughout the centuries. Many archaeological founds have been corroborating with biblical records.

You don't know what you are saying and your credibility is decreasing gradually.
the most accurate historical document?...most accurate?,

am going to challenge that.
 
Na mwisho wa nyakati nafsi yako itachomwa moto mkali ambao hujawahi hata kuufikiria. Una uamuzi wa kumtumikia "mungu wako asiye mkatili sana" atakayekuruhusu ufanye dhambi zote uzijuazo bila consequenses. Nadhani unamjua Lucifer na anakuhitaji kujenga jeshi lake.

Duh......amen
 
Haa haa ha ha kwa kitabu kilichotungwa miaka elfu 3 iliyopita, kilichozungumzia sehemu chache tu za dunia vp australia au bara la amerika au kusini mwa jangwa la sahara au mungu wa kiyaudi alikuwa hapaoni, te te ye ke kilichosahau kabisa wanyama wakubwa walioishi miaka mamilion duniani mf dinosaur, kilichosema dunia iliundwa kama meza haaaa.
 
Haa haa ha ha kwa kitabu kilichotungwa miaka elfu 3 iliyopita, kilichozungumzia sehemu chache tu za dunia vp australia au bara la amerika au kusini mwa jangwa la sahara au mungu wa kiyaudi alikuwa hapaoni, te te ye ke kilichosahau kabisa wanyama wakubwa walioishi miaka mamilion duniani mf dinosaur, kilichosema dunia iliundwa kama meza haaaa.

eti nuhu akajenga safina ya kubeba wanyama na kila kiumbe.Aircraftcarrier yenyewe haiwezi ,ije uwe mtumbwi wa mbao ubebe shehena yote hiyo?
 
Tuwasubiri masadukayo na kukariri kwao bila kutumia ubongo kufikiri
 
Elungata, huwezi ku rule out Habari za Mungu kwa elimu yako ya archaeology. Archaeologist wameipindua dunia yote ya jangwa wakakosa fuvu? You must be kidding. Elimu yako ya Historia haiwezi kuwa juu ya Mungu eti ikuambie Mungu ni nani alianza lini, na kabla yake kulikuwapo mfalme wa aina gani baadaye, sijui zikaja nyota. Huna huo uwezo na naomba usijiaminishe kwa masuala ambayo hadi mwisho wa maisha yako hutakaa uyaweze. Historia unayoisema wewe ni ya kuanzia lini, halafu nani alikuambia huo muda ulikuwepo?

Hata mimi nilikariri habari za historia na evolution kama nilivyofundishwa darasani na nikafaulu mitihani. Lakini siwezi kutumia hiyo knowlege kusema Mungu hakuumba Mbingu na nchi, na kila kitu kilichomo. Na hili la pili (I mean spiritual context), ndiyo inabeba uhalisia kwa sababu siku zote haibadiliki. Lakini elimuz na taarifa za historia zinabadilika kila siku kulingana na nini kimegunduliwa na unakitazama kutokea angle gani.

Ninafikiri pia ulipaswa kujua nili respond kwa statements zipi niliposema huwezi Ku compete na Mungu. Kusemaa kuyaongelea mambo haya ni dhambi, pia inategemea na dhamira ya mwongeaji ambayo yeye tu ndiye shahidi. Ukijadili kwa kupanua wigo wa ufahamu, wala si tatizo. Lakini ukijadili kwa ku defend unachokielewa wewe ambacho kiko kinyume na Mungu, obvious hata moyoni mwako utakuwa unadhamira ovu mbele za Mungu. Hilo linabaki moyoni mwako.

Lakini pia unachosema hakuna ushahidi wa ki historia katika lipi? Kwamba Israel walikuwa Misri, Kwamba walitoka Misri kwa Mkono wa Nguvu wa Mungu, Kwamba walikuaa jangwani miaka 40 Kabla ya kufika kwao ama ni historia gani unayosema haipo. Haipo wapi? Na wewe historia yako unayoimini na kuisimamia unaipata wapi?

Mkuu usipoteze muda kujibizana na Elungata. Huyo yuko upande ule ambao mkuu wao anadai aliteremshiwa kitabu chao kutoka mbinguni. Huyo ni against chochote kinachohusu ukristo. Ukitaka kuthibitisha, tafuta post zake uone.

Tiba
 
Jibuni hoja mbona inafahamika uyaudi sio ukristo wala uislam ila zote dini mbili zimekubali vitabu vya mwanzo vya dini ya kiyaudi torati na zaburi, wala wayaudi si wakristo hata mkuu elungata jibuni aliyouliza hapo juu
 
Back
Top Bottom