Umeanza kutumia mtandao lini? Wale wa kale tukutane hapa

yahoo inazunguka hadi muda wa kukaa cafe unaisha.
unauliza nini tatizo, wanasema ni network... ukiuliza network ndio nini hata mtaalam wa cafe naye kilaza. mimi nilikuwa nawaona kama wanaPHD ya IT kumbe ni masekretari tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…