duuu ni juzi tu hapa nmetoka kununua mfuko wa cement kwa 17000 hiyo 23K ni kasi ya 5G.Mkuu uchanganuzi wako uko hauko sawa, mimi naapinga kwa kuangalia bei ya mfuko wa cementi kwa mwaka 2007 bila kuangalia factors zingine,mfukowa cementi ulikuwa sh 8000 mikoani,kwa Dar labda ni sh 5000,kwa sasa bei ya cementi kwa mikoani ni sh 23,000 kwa Dar sijui.
Wapi huko mkuu kwa 17000?duuu ni juzi tu hapa nmetoka kununua mfuko wa cement kwa 17000 hiyo 23K ni kasi ya 5G.
nko mkoani
Kaskazini uku nilinunua mwezi februaryWapi huko mkuu kwa 17000?
Ndio liwe ongezeko la bilioni mia mbili kwa nusu kazi ndugu yangu, bora tuendelee kuitwa wajinga lakini sio kuingizwa sipo aiseeHii nchi wajinga ni wengi sana. Yani kabisa mtu unalinganisha gharama za miaka 17 iliyopita na leo hii?
Mfano mdogo, mfuko mmoja wa cement mwaka 2007 ulikuwa bei gani na leo hii ni bei gani? Kibarua atakayepewa kazi pale atalipwa sawa na 2007? Hapo hatujaongelea skilled labor.
Wakati mwingine ni vyema kutumia akili kabla ya kupinga kila kitu.
Hata anajua basi maskini ya Mungu. Yeye akipelekewa anatia sahihi tu huku akiambiwa ajiandae kwenda shopping ya abayah dubai kwa kisingizio cha kongamano uchwara.Kwa kweli watuonee huruma hawa viongozi wetu raisi atufafanulie hizi tofauti maana haingii akilini
Tuelimishane taratibu mbona ulipoachika hatukukunyanyapaa tuliishi na wewe Kwa upendo.Hii nchi wajinga ni wengi sana. Yani kabisa mtu unalinganisha gharama za miaka 17 iliyopita na leo hii?
Mfano mdogo, mfuko mmoja wa cement mwaka 2007 ulikuwa bei gani na leo hii ni bei gani? Kibarua atakayepewa kazi pale atalipwa sawa na 2007? Hapo hatujaongelea skilled labor.
Wakati mwingine ni vyema kutumia akili kabla ya kupinga kila kitu.
Mateves kule, kata ya Olmoti. Ni kule njia ya bypass Olasiti kwa mbele kabla ya Ngaramtoni ya Chini.Huu uwanja unajemgwa maeneo gani hapo Arusha?
Nondo, cement, mafuta, wages, urembo/nakshi, sehemu za huduma za ndani, thamani/faniture bei ya wakati huo na Sasa vinalingana?Tofauti kubwa mno, nusu ya idadi ya watu watakao kaa ongezeko la bilioni mia mbili, hata kama ilikua 200 sio hivyo isee!
Angalia gharama zilizotumika kufanya marekebisho ya uwanja wa mkapa (bil 31 )Uwanja wa Mkapa ulijengwa kwa ushirikiano wa Serikali ya #Tanzania na #China, mpango uliopo mezani ni mchakato wa ujenzi wa uwanja mwingine wa kisasa ambao Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu Utamaduni na Michezo imesema itawasilisha mapendekezo uitwe Uwanja wa Samia Suluhu Hassan.
Pia, Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo nayo ilieleza mipango iliyopo ni kuwa Uwanja wa Samia ukamilike kabla ya Mwaka 2027 ili utumike kwenye Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Uwanja wa Mkapa
Mkoa: Dar es Salaam
Idadi ya siti: 60,000
Ulizinduliwa: Mwaka 2007
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 56 (Tsh. Bilioni 64 wakati huo)
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: Beijing Construction Engineering Group (BCEG)
Uwanja wa Samia
Mkoa: Arusha
Idadi ya Siti: 30,000
Kuzinduliwa: Kati ya Mwaka 2025 hadi 2027
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 112 (Tsh Bilioni 286) kabla ya kodi
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: China Railway Construction Engineering Group (CRCEG)
View attachment 2940937
View attachment 2940938
Muonekano wa Uwanja wa Samia unavyotarajiwa
View attachment 2940941
Uwanja wa Mkapa
😃😃A simple concept in accountingWatu hamjui TIME VALUE OF MONEY. A shilling today is worth than a shilling 2mrw.
Hivi ni Ujenzi wa uwanja tu, ama pia itahusisha kujenga hayo majengo pembeni ya Uwanja!?Uwanja wa Mkapa ulijengwa kwa ushirikiano wa Serikali ya #Tanzania na #China, mpango uliopo mezani ni mchakato wa ujenzi wa uwanja mwingine wa kisasa ambao Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu Utamaduni na Michezo imesema itawasilisha mapendekezo uitwe Uwanja wa Samia Suluhu Hassan.
Pia, Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo nayo ilieleza mipango iliyopo ni kuwa Uwanja wa Samia ukamilike kabla ya Mwaka 2027 ili utumike kwenye Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
Uwanja wa Mkapa
Mkoa: Dar es Salaam
Idadi ya siti: 60,000
Ulizinduliwa: Mwaka 2007
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 56 (Tsh. Bilioni 64 wakati huo)
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: Beijing Construction Engineering Group (BCEG)
Uwanja wa Samia
Mkoa: Arusha
Idadi ya Siti: 30,000
Kuzinduliwa: Kati ya Mwaka 2025 hadi 2027
Gharama za Ujenzi: Dola Milioni 112 (Tsh Bilioni 286) kabla ya kodi
Umiliki: Serikali ya Tanzania
Mkandarasi: China Railway Construction Engineering Group (CRCEG)
View attachment 2940937
View attachment 2940938
Muonekano wa Uwanja wa Samia unavyotarajiwa
View attachment 2940941
Uwanja wa Mkapa