Umegharamia bill zote ila bado anataka umlipe...


Mkuu nilitaka mpa offa tu, afu unaoveenda viwanja vya masaki inabd uwe na pesa umeichanga imejaaa otherwise utatia aibu. Nadhani kuna wataalam wanafaham, jameson 120k hio ni moja heineken 6000 cocktail anzia 15k sio poa
 

Sikua na plan ya kumla mkuu NAKAZIA
 
Kuna mwenzio anamla bure huyo tena anaipeleka mwenyewe. Na hapo baada kukuacha na majuto yako kampelekea mtu bure huko kitaa!
Yaani mie wakati nahitaji kuoa,nilikuwa namuuliza demu maswali mawili: unanipenda ama unanipenda ili nikuoe.
Binti Kama anakupenda atakupa tu k yake muda wote unaohitaji,siku akaolewa na mwingine anakuambia njoo uniage mwezi ujao naolewa.yaani hapo unayeaga ndiye unayependwa Ila anayeoa amependwa aoe ampe social capital ama status tu kuwa na yeye ni Mrs somebody.
Nishawahi kukaa na binti mmoja bana ni nesi marangu hospital afu kwao ni boma. Yaani tulitumia naye hela ikaisha bana afu sikuwa poa mfukoni hata ni washkaji walinidhamini nikaenda. Hela ilipoisha mpaka ya kwake alianza kuwakamua wale wote inaonekanaga wanamshobokeaga. Walituma hela tukazidi ku extend siku za kukaa hapo njia panda ya himo. Ningemuoa sema Kuna shida moja kiokoo ya kurithi ya kikwao nikakwepa.
 
View attachment 1805140
Ilikua jmc 23/05 bill nmelipa usiku tyr trh 23 angalia trh na muda kama bado huamin na muamala nakutumia nililipa kwa simu
Watu hawaaamini ujue ,mtu anapokosa buku mfukoni anadhani kuwa ni wote wako Kama yeye. Kumbe Kuna mmoja anampatia jamaa laki akamletee binti pale chuo gani Cha pale mjini jamani.
If you've problems ni wewe pekee sio wote. So sema Sina hela
 
Emu malizia story ulimla au mlishindwana hyo ndo ilibidi iwe maini body,

Kingine alipiga mzinga kulingana na mapokeo yako kwenye ofa bili ya 35k si haba kuomba 20k maana bill tiari ilionesha ni pochi nene
 
Mbona hawakuwa wapenzi hata
 
haha mim nawatorokaga tu lodge naamka saa kumi na moja au kumi alfajiri. akiamka anakuta ten tu ya nauli juu ya meza.
Utakutana na anayetaka malipo kabla ya shoo ndo utapoelewa ujanja una mwisho
 
hii sasa ndio inaitwa lost opportunity.... sasa kama 350k imeenda kwa vinywaji sii u might as well made it a cool 1 million and just have a foursome with them ladies wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…