Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Nadhani unajua kabla ya kumeguka hii dunia ILIKUA TUFE MOJA.
Na ndo maana Haiti ni kisiwa, Jamaica NI kisiwa na hyo new Papua NI kisiwa.
Labda ungeniambia hizo nchi zipo katikati ya bara la America kusini
Unataka kusema wameenda Jana?Bro unazungumzia nadharia gani Sayansi au Historia?
Kwa hiyo unataka kusema, wale weusi wa New Papua Guinea ni tangu enzi ya Pangea era[emoji23][emoji23][emoji1373][emoji1373]?
Kwani Wamanyema wanapatikana nchi gani?Uganda,msumbiji kuna jamii zilikuwa zinatafuna binadamu cjui kwa sasa.
Kule Libya ni weusi kama wewe ? Je sio waafrika ni waamerica wale eti ! Huna unachojua wewe ni dogo jinga. Kafunue vitabu usome,bado unaamini historia aliokufundisha mwalimu wako wa primary.
Soma acha uvivu, soma,soma, soma, utaacha huo ujinga.
Ngoja nikuache.Nimekuelimisha kwa kila njia huelewi, endelea na uelewa wako wa kuamini moroco sio waafrika bali ni warabu.Libya, Misri, Morocco na Algeria. Ni nchi ambazo zipo Afrika lkn wale watu ni Warabu. Wafrika wapo km vile unavyoona wakina 50 cent. Na wewe unajiona mjanja. Dogo?
Ukimuona mtu mweusi yeyote asili yake ni Afrika na huko walipelekwa kama watumwa au wameenda wenyewe kwa shughuli zao
Mimi asili yangu ni mmanyema mgoma nk. Wamanyema hawajawahi kula watuKwani Wamanyema wanapatikana nchi gani?
Nimeacha kubishana na watu wenye uelewa mdogo.Endelea kubishana na wengine, to change a layman is very difficult.Tembea dunia nzima hauwezi kumkuta mzungu mwafrika.
Ila tafsiri mwenyewe [emoji23][emoji1787]Unaweza kuwa upo Sahihi ila kuhusu hawa wa New papua Guinea ilikuwaje? Kuna biashara yoyote ya Utumwa kati ya Africa na kule? Na Je rangi yao na Nywele zao zinazungumziwaje maana wanafanana ngozi tuu na sisi Africans.... nielimishe
.Kwani haiwezi kuwa kinyume chake kuwa sisi ndio tulikuja kwa majahazi nao asili yao pale pale.
Vipimo vya DNA havikubaliani kati yao na sisi, tupo tofauti kabisa.
Mnapenda kulazimisha mambo sana.
Ukisema Aboliginal asili yao mu Africa hata wazungu ,wachina nk asili yao Africa.
Napenda nyama ya Rihanna ama ShakiraHiyo ww sio kazi yako..tena wanakuuliza kabisa unapenda nyama yenye asili ya wapi..za waafrika,wa asia,latin america..[emoji848]
Na ukijiona wewe ni SAHIHI kuliko mwenzio.basi wewe ndo mpumbavu wa mwishoMimi asili yangu ni mmanyema mgoma nk. Wamanyema hawajawahi kula watu
Wamanyrma wamestaarabika zamani hata ka ya luja mzun
Nimeacha kubishana na watu wenye uelewa mdogo.Endelea kubishana na wengine, to change a layman is very difficult.
Yeah,hukuona utafiti wa waingereza!!?..googleNa huyo mwingereza alikuwa MWEUSI
Bila ya shaka analikata tako lake kidogo kidogo na kulipika/ kula. Sioni sababu ya kula watu wengine na asile sehemu za mwili wake. Utamu si ule ule?Feminist mmoja kutoka nchini Marekani ali safiri hadi visiwa vya Papua New Guinea kufanya mahojiano Na mwanaume mmoja ambae anatoka katika Kabila la binadamu wanao Kula nyama ZA watu ( Cannibalists) ambao pia wana wanatawaliwa Na mfumo dume
Baada ya maswali mengi, Feminist huyo alimuuliza Cannibalist huyo swali hili.
Feminist : From your perspective, is there any difference between a male person and a female person.
Cannibalist: Not at all at all at all. There is no any difference between a man and a woman.
Feminist: Then Why do u think there is no any difference between a man and a woman.
Cannibalist: Because they all taste the same.
FEMINIST AKAZIMIA KWA MSHITUKO...
Anyways pamoja Na kwamba habari hii Ina ogofya but Kuna kitu unaweza kujifunza.
Je unadhani Kwa perspective ya Cannibalist huyu, mwanamke Na mwanaume wanaweza kuwa Sawa?
View attachment 2048976
Unajua maana ya British?Yeah,hukuona utafiti wa waingereza!!?..google
HapanaUnajua maana ya British?
Hiyo nyama hupatikana kwa njia ganiKuna baadhi ya nchi nyama ya binadamu inauzwa ghali sana japo kwa kificho..tena hasa baadhi ya viungo huuzwa kwa matajiri wakubwa tu.
Changu chako chako chako. Au sioMwafrika ni nani?
Mtu mwenye rangi nyeusi bila kujali alipo au
Mtu anayeishi Afrika bila kujali ana rangi gani