Northman
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 1,587
- 2,516
Makange [emoji39][emoji39]Ya kurosti au Kachumbari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makange [emoji39][emoji39]Ya kurosti au Kachumbari?
Anamtamani mtangazajiSura ya huyo "muhuni" mla nyama inaonesha ana uchu wa nyama ile mbaya.
Nchi gani hyo si utajeHiyo ww sio kazi yako..tena wanakuuliza kabisa unapenda nyama yenye asili ya wapi..za waafrika,wa asia,latin america..[emoji848]
Ukiona muafrica ulaya Asia, Australia,marekani zote ujue kapelekwa.Ni ujinga kuamini watu weusi wote wanatoka Africa. Dunia yote kuna watu weusi.
Mtangazaji alikuwa surprised.she knew she was the next victimSwali lilikuwa linalenga nini
Mfano unaweza kumuuliza mtu viazi na mihogo ina tofauti gani
Akakwambia havina tofauti akiwa na maana ya virutubisho vilivyomo ndani yake
Kumbe wewe ulitaka kujua kuhusu ladha ya mihogo na viazi ndiyo kilichotokea hapo
Inawezekana, nilishawahi sikia duniani kuna watoto na na watu wazima huwa wanapoteaga na hawapatikaniki kabisa.Hiyo ww sio kazi yako..tena wanakuuliza kabisa unapenda nyama yenye asili ya wapi..za waafrika,wa asia,latin america..[emoji848]
Ujinga sana, watu wanafikiri rangi ya ngozi ndio uafrika.Ni ujinga kuamini watu weusi wote wanatoka Africa. Dunia yote kuna watu weusi.
Naona wanafanana fanana na wale Aborigines wa Australia.Anatoka Papua New Guinea . Papua New Guinea IPO karibu Na Australia. Watu WA Papua New Guinea Ni weusi
Hawasomi, wamekariri elimu ya drs7 na kidato cha nne.Ujinga sana, watu wanafikiri rangi ya ngozi ndio uafrika.
Sijui shida ni nini??
Soma vizuri historia.Abologinal ni watu weusi kuliko hata sisi wabantu, nani kawapeleka kule?Ukiona muafrica ulaya Asia, Australia,marekani zote ujue kapelekwa.
Kule Libya ni weusi kama wewe ? Je sio waafrika ni waamerica wale eti ! Huna unachojua wewe ni dogo jinga. Kafunue vitabu usome,bado unaamini historia aliokufundisha mwalimu wako wa primary.Dunia yote kuna wazungu, wachina, wahindi, Waarabu, persians n.k
Ushajiuliza kwanini timu ya taifa ya Tanzania haina mchezaji Mzungu, Mwarabu, mhindi au mchina?
Nimeuliza kuhusu asili lkn unakuja na ujuaji mwingi kumbe ni kubwa ji****a
Ushawahi kumuona mzungu mwafrika?Soma vizuri historia.Abologinal ni watu weusi kuliko hata sisi wabantu, nani kawapeleka kule?
Andalusia ina watu weusi wapo zaidi ya miaka 100000 **** mzungu gani aliwapeleka kule.
Acha kukariri historia ya mzungu na mwarabu siku hizi watu wamefukua na kujua mengi kuliko zamani.
Malaysia,Thailand zote zina watu weusi tii na wapo pale miaka dahari.
Nimesema kasome. Aboliginal ni weusi tii ila sio waafrica.Ushawahi kumuona mzungu mwafrika?
Wazungu wa aafrica kwa RANGI?Nimesema kasome. Aboliginal ni weusi tii ila sio waafrica.
Mzungu anaweza kuwa mwafrika.
Kenya wapo wengi,msumbiji, Angola,botswana, Zimbabwe wamejaa wazungu waafrika.
Warabu wa misri nk wote waafrika.
Kama bado hukubali basi nikuache na dhana yako ya uafrica unavyoielewa wewe.
Usinilazimishe kuamini kuwa kila mwesi nje ya Africa ni mwafrica.
Kuna weusi hata DNA zao hatufanini nao hata kidogo.
Usitoke nje ya mada,
mada ni kuwakila aliemweusi duniani ni mwafrika ambapo sio kweli.
Ukiendelea ntaandika makala ndefu na uisome, hamtaki kusoma ndio maana hamuelimiki.