The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
msimsikilize huyu
kama kweli unampenda wewe mvumilie tu
si unaona baridi hili halafu mtu anasema bora muachane
Ndugu umesema ya kweli.. Ndoa zinachangamoto sana.. uvumilivu unahitajika, wanaume tunapitia mengi sana mengine ni Siri nzito , tukiwapambania wake zetu na familia Kwa ujumla.. lakini pasipo yeye kujua unakuta hakuna hekima na Busara anakudharau tu amani hakuna ndani, kwakwelli ni changamoto sana ...Wanaume wa siku hizi hawana uvumilivu wanawake wa siku hizi hawana utii na heshima. Hii imepelekea moto kulipuka Sana kwenye ndoa.
Ishi kwa kufumba macho siku ziende mda wako wa kuondoka duniani ufike uwaaachie wengine nafasi wanaozaliwa, maana sote tu wapangaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haki hii nchi ina raia wa hovyo sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mara mia ufe Kwa baridi
🤣Bora sisi sasa,ngoz nyeupe mbona ndo wanaaachana Kila sikuNdugu umesema ya kweli.. Ndoa zinachangamoto sana.. uvumilivu unahitajika, wanaume tunapitia mengi sana mengine ni Siri nzito , tukiwapambania wake zetu na familia Kwa ujumla.. lakini pasipo yeye kujua unakuta hakuna hekima na Busara anakudharau tu amani hakuna ndani, kwakwelli ni changamoto sana ...
Ata ukisema umwache huyu ata mwingine utakae kutana nae na yeye ni Yale Yale... Muda mwingine Huwa nawakubali sana hawa ngozi nyeupe kwenye haya masuala ya mahusiano the way wanavyoishi...
Mwanaume kuwa kama bulldozer tu usingoje shukrani au appreciate tija kwa mke au familia we timiza majukumu yako sepa,joto likizidi Sana unatoka nje unapooza mwili unarefresh unarejea.Ndugu umesema ya kweli.. Ndoa zinachangamoto sana.. uvumilivu unahitajika, wanaume tunapitia mengi sana mengine ni Siri nzito , tukiwapambania wake zetu na familia Kwa ujumla.. lakini pasipo yeye kujua unakuta hakuna hekima na Busara anakudharau tu amani hakuna ndani, kwakwelli ni changamoto sana ...
Ata ukisema umwache huyu ata mwingine utakae kutana nae na yeye ni Yale Yale... Muda mwingine Huwa nawakubali sana hawa ngozi nyeupe kwenye haya masuala ya mahusiano the way wanavyoishi...
HakikaMwanaume kuwa kama bulldozer tu usingoje shukrani au appreciate tija kwa mke au familia we timiza majukumu yako sepa,joto likizidi Sana unatoka nje unapooza mwili unarefresh unarejea.
Unaweza ukakimbia kumbe ukaruka mkojo. Hata hao ngozi nyeupe wanamazito yao.
Umenena mkuuShetani kama shetani ataki kabisa kitu inaitwa ndoa maaana ndoa ni ibada na walengwa wakuu ni watoto wazazi wakiachana KILA mmoja ataenda huru na njia yake lengo Ili watoto wakose muongozo Ili awavute awatumie kama mawakala zake kwenye ushoga, uteja, uzinzi, ukahaba, ulezi, nk wote hawa ni kwa sababu misingi imeharibika. Hata mkilazimika kutengana muhimu msiache kuwaombea watoto wenu maana shetani anashindwa kwa vita vya kiroho na si kimwili. Maradhi kama kisukari, pressure, moyo, kupooza,nk chanzo kikuu ni sonona hali ya kutoridhika na mwenendo au tabia za mwenza ambazo chanzo cha lawama na mzazi wake ndie aliyepanda mizizi mibaya, maana wanandoa wengi upaste jinsi wazazi wao walivyoishi.
Thus kuna baadhi ya kabila tabia ufanana.
HakikaWazazi mnakosea Sana mnawalea watoto wenu vibaya then wanaenda kuwa kero kwa wenzao. Mtoto yeyeto nyumbani ni mke au mme wa mtu so mzazi/ mlezi wake ndie atakaeamua hatima ya ndoa yake, kwa maana tabia ya mtu mzima utengenezwa kuanzia miaka 3 hadi 13 akishavuka hapo ujamtengeneza elewa umepeleka bomu kwenye ndoa. Maana pana watu wanatabia ngumu kuishi nao labda tu uwe Yesu ndo utamudu,shida ni malezi maana pana watu hawawezi kabisa kuishi na mtu wao ni vurugu,ugomvi,vita,ukali,hasira, ukosefu wa uvumilivu,matusi, ujuaji,nk,na shida ya tabia mbaya moja uvuta tabia mbaya zingine.
Ukipata bahati ya kupata mtu matured umepata vyote m
Na huko aendako anaenda kuwa treated kama spare tire..... Ila wanawake buana tabu tupu.Wewe unajitoa mhanga kuitunza ndoa Yako mwenzio kichwani anawaza hata akiniacha nitapata mwingine.Yaan maana yake alipo bado hajaridhika bado anasafari ndefu.Unamkumbatia hakumbatiki ....mwache aende,usiogope kitu,aibu fedheha tumeumbiwa na ndo maisha yenyewe.Watoto Mungu hulea tu popote ...mbona wengine tumekua ivoivo tu🙄😏🤜
Nipo poa, no complains, nyau wako anasemaje...Sure yaan,umeamkaje lakin?