Mkulima analima mahindi. Baada ya kuvuna, anapata uvivu wa kupeleka mashineni yasagwe na kupata unga wa kula kwa kuona kwamba ni gharama kuyaosha na kuyaanika juani na baadae kuyasaga.
Anaamua kuyauza na kisha kwenda dukani kwa mangi kununua sembe.
Nauliza, umeme uliokuwa unapelekwa mikoa ya kaskazini, baada ya serikali kuamua kununua mwingine kutoka nje..
Umeme huo utapelekwa wapi?
Au ndio utakao uzwa nje na serikali hiihii?
Au tutalazimika kuzima mitambo kwakuwa tutakuwa na ziada ambayo haitumiki kokote?
Swali la mwisho. Kuna umeme wa ziada kwanini watanzania bado wanagharimikia umeme huo kwa bei ambayo uwezekano wa kupungua ungekuwepo lakini bado hamtaki kupunguza gharama?
ChoiceVariable
FRANCIS DA DON
Lord denning