Umeme uliokuwa unapelekwa mikoa ya kaskazini utapelekwa wapi baada ya kununua mwingine kutoka ETHIOPIA?

Umeme uliokuwa unapelekwa mikoa ya kaskazini utapelekwa wapi baada ya kununua mwingine kutoka ETHIOPIA?

Shida unalazimisha niseme unachotaka. "Sisi" linajitosheleza ambaye halimhusu anapita kimya
Sisi wewe na nani? Unajiweka kwenye kundi lisilokuhusu mgao wa mauzo wa ile Gesi ulipewa shingapi? Na huu wa Bwawa wamekupa shingapi? Sisi Sisi wewe na nani? Acha kua mjinga
 
Sisi wewe na nani? Unajiweka kwenye kundi lisilokuhusu mgao wa mauzo wa ile Gesi ulipewa shingapi? Na huu wa Bwawa wamekupa shingapi? Sisi Sisi wewe na nani? Acha kua mjinga
Neno nililotumia ni sahihi. Huo ujinga mwingine baki nao
 
Kawavuruga watu huku Waziri anasema hivi kisha yeye anakuja anasema hivi Geson Msigwa anakuja anasema hivi VPM anakuja anasema hivi yaan kila mtu anaongea la kwake, ila yeye ndio kaongea ukweli kwamba hatuna umeme huo maana walishagonga saini siku ile wenyewe wanaita Summit nini sijui wakatia saini umeme hautuhusu tena akaona isiwe tabu tutanunua hata hapo Ethiopia na nyinyi mpate maana huku hatuna chetu tena kwa hio jiandaeni kisaikolojia
Sawa lakini yale matilion tunalipa sisi kwenye mikopo???
 
Mkulima analima mahindi. Baada ya kuvuna, anapata uvivu wa kupeleka mashineni yasagwe na kupata unga wa kula kwa kuona kwamba ni gharama kuyaosha na kuyaanika juani na baadae kuyasaga.

Anaamua kuyauza na kisha kwenda dukani kwa mangi kununua sembe.

Nauliza, umeme uliokuwa unapelekwa mikoa ya kaskazini, baada ya serikali kuamua kununua mwingine kutoka nje..

Umeme huo utapelekwa wapi?
Au ndio utakao uzwa nje na serikali hiihii?
Au tutalazimika kuzima mitambo kwakuwa tutakuwa na ziada ambayo haitumiki kokote?

Swali la mwisho. Kuna umeme wa ziada kwanini watanzania bado wanagharimikia umeme huo kwa bei ambayo uwezekano wa kupungua ungekuwepo lakini bado hamtaki kupunguza gharama?
ChoiceVariable
FRANCIS DA DON
Lord denning

 
Ubongo uliojaa kinyesi na funza hauwezi kuwa na mtazamo unaofaa kuelekea wengine. Ni uhalo mtupu
Wewe mjinga na mpumbavu angalia ujinga wako unavyouweka wazi kila mtu auone
 
Ubongo uliojaa kinyesi na funza hauwezi kuwa na mtazamo unaofaa kuelekea wengine. Ni uhalo mtupu
Kuthibitisha ujuha wako hata kuandika huwezi uhalo ndio nini?machawa mna shida sana kwa kweli
 
Kuna mahala tuna kwenda anepajua ni anaye tuongoza sasa kama ni faida yeye ndio anyeijua kama ni hasara yeye ndiye anaye ijua. Yetu macho.
 
Kuthibitisha ujuha wako hata kuandika huwezi uhalo ndio nini?machawa mna shida sana kwa kweli
Umekurupuka mkuu. Unaweza kuwa mzuri kwenye kuandika lakini bado usijiondoe kuwa miongoni mwa Majuha. Nenda post yangu namba 14 hapa uonyeshe uchawa wangu.
 
Kwenye hili serikali irudi mezani. Wazo la bwawa la nyerere ilikuwa kuongeza megawatts zitakaondoa tatizo la uzalishaji mdogo wa umeme nchini na kukidhi mahitaji ya nchi.

Leo tunazalisha umeme mwingi ambao nchi inataka kuuza nchi zingine lakini wakati huohuo inataka kununua tena. Haya ni maajabu.

Waswahili walisema kimfaacho mtu chake. Umeme kutoka Ethiopia hauwezi kuwa kutegemeka ninachoona bado tunapenda kuwa watumwa. Ethiopia wakipata crisis yoyote ikaathiri nishati ya umeme mikoa ya kaskazini yote itakuwa gizani. Kama wanataka umeme wa upepo toka Ethiopia kwa nini usizalishwe Singida, Dodoma na baadhi ya maeneo ya Manyara ukaenda huko kaskazini?

Huko kwingine mkitibuana tu wanawakatia umeme kuwakomoa hata kama kuna mikataba mliingia kudhibiti hali hizo
Transmission cost ,jipe muda wa kujisomea kwanza
 
Hii nchi ni ya kipumbavu sana.

Pale Moshi Kuna umeme unazalishwa na TPC. Baadhi ya vigogo waliukataa, ule umeme umenunuliwa na Kenya. Umeenda hadi himo , umedumbukia Kenya.

Haya Mambo yanaumiza na sisi wanyonge tutaendelea kunyongwa hadi tupate Rais mtetezi wetu ambaye hata kama anaiba basi anaiba 10% na 90% anarudisha kwa wananchi.

Huyu Mama anakula Zote kabisa na harudishi hata tone.

Unawaambiaje watu unataka kununua umeme ilhali wanajua Wana bwawa lao la kujivunia East Africa walilojengewa na Mwendazake Tena kwa vikwazo vingi Toka Kwa mabeberu????

The math is not mathing in this one. Shame on Bibi Kizimkazi.
 
Wazee wa data mtusaidie ni MW ngapi zilikuwa zinapelekwa mikoa hiyo na sasa kwakuwa serikali itanunua kutoka nje hizo megawatts zitaelekezwa wapi?
TANESCO leo usikimbie na kujikausha ulete majibu.

Kwakuwa january makamba umesamehewa na raisi n umewahi kuwa waziri wa nishati tunaomba uje ulete ufafanuzi. Maana ule alio utoa msigwa bado unaacha maswali memgi
Mmmh !
Mgosi anarudi tena ???!! 😳
Ngoja tuone !
 
Back
Top Bottom