stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Itakua wanawasha yale mageti mengine ili tuuze umeme mpaka Jo'burg huko SA tukawaangazie ukizima huku na huko unazima mbwiiiUtasikia Magufuli alitumia mitambo bila ukarabati hivyo mitambo imechoka.