Umeme ushakatika maeneo mengi muda huu, ulipo upo?

Umeme ushakatika maeneo mengi muda huu, ulipo upo?

viongozi wanakaa nyumba za bure na zinamajenereta shida za wananchi haziwahusu!
 
Screenshot_20231029-093536_Chrome.jpg

Umeme ukikatika hawa jamaa ndo wanaanza fujo sasa
 
Je, ulipo kuna umeme?

Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme

Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.

Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.

Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick...

Kila siku wanakuja na drama mpya na kuomba radhi kusikoisha we are tired from their disgusted drama!!They are fooling us everyday....we are discouraged enough......Hili shirika halijawahi kuwa shirika....
ustahimilivu na subra ni muhimu sana katika changamoto kama hizi...

kuna hitilafu kidogo ya kiufundi imetokea, wataalamu wanashughulika nayo kwa bidii sana,. Na kwa muda usio kua mrefu, huduma za uhakika za umeme zitarejea katika hali ya kawaida 🐒
 
Nchi ya kiwaki sana
 

Attachments

  • IMG-20240504-WA0001(1).jpg
    IMG-20240504-WA0001(1).jpg
    103.1 KB · Views: 2
Je, ulipo kuna umeme?

Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme

Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.

Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.

Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick...

Kila siku wanakuja na drama mpya na kuomba radhi kusikoisha we are tired from their disgusted drama!!They are fooling us everyday....we are discouraged enough......Hili shirika halijawahi kuwa shirika....
Tatizo huenda ni mamba na viboko waliozagaa kwenye bwawa kulikosababishwa na mafuriko, wanyama hawa huenda wanakula vikombe vya kwenye nguzo, tuwe watulivu na tuwadhibiti wanyama hawa.
 
Hata hapa nilipo wamekata, niko boda
Hili shirika lisingekuwa kama ndio shamba pekee la upigaji lililobaki...wangekuwa wamelibinafisha na tungesahau kabisa adha ya umeme!.... Na ngojera zao za kila siku

Washauza bandari!... Hapa ndipo mahala pekee pa kupigiwa pesa palipobaki!
 
Shirika la kipuuzi kabisa
 
Back
Top Bottom