Umeme ushakatika maeneo mengi muda huu, ulipo upo?

Umeme ushakatika maeneo mengi muda huu, ulipo upo?

Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.
Umeipenda mwenyewe, chaguo lako milele, na uvimbe upasuke utajijua mwenyewe 😂🤣🤣😂. Kazi iendeleee
 
Wamekata hata hapa nilipo kwenye saa kumi kamili.
 
Kila kitu nchi hii ni ubabaifu. Mpaka Hidaya naye kawa Sisiemu.

Anatembea 110kph mpaka 120kph, baharini, toka juzi na bado hajafika nchi kavu, foleni gani hiyo inayo mkwamisha?

Achangamke, kama ni hayo maji, atuletee mapema basi, nchi iko gizani huku.
Hidaya anazingua 🤣🤣🤣😂
 
Je, ulipo kuna umeme?

Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme

Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.

Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.

Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick...

Kila siku wanakuja na drama mpya na kuomba radhi kusikoisha we are tired from their disgusted drama!!They are fooling us everyday....we are discouraged enough......Hili shirika halijawahi kuwa shirika....
.
 
Je, ulipo kuna umeme?

Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme

Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.

Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.

Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick...

Kila siku wanakuja na drama mpya na kuomba radhi kusikoisha we are tired from their disgusted drama!!They are fooling us everyday....we are discouraged enough......Hili shirika halijawahi kuwa shirika....
Bila aibu Waziri mkuu anatutangazia umeme unazalishwa Hadi umezidi,shame, huo umeme unazalishwa kwa wingi kwenye mikutano ya hadhara.
 
Oya sio kila kitu mnalalamika tu.kuna upepo mkaliii
Naona kama ID inasadifu maandishi.

Upepo mkaliii ndio nini na unazimaje gridi?

Umeshawahi kusikia mji fulani huko duniani, haukuwahi kuona umeme umekatika kwa miaka 88? Ulikatika dk 2, ikatafutwa mara ya mwisho kutokea tukio hili ilikuwa lini!

Miaka 88. Wewe huku unatoa sababu kila leo;
  • Matengenezo
  • Maji
  • Miundombinu
  • Ukame
  • Capacity
  • Hitilafu

Zote hizo ni repetitive, ipi ambayo imeshughulikiwa kikamilifu ili isijirudie?
  • Imeshughulikiwaje?
  • Zinahitaji muda gani kutatuliwa moja kwa moja?
  • Uwezo na uwezekano wa kuzitokomeza kabisa upo?
 
Mi ndio naamka hapa sioni kitu kote kweusi tii..
 
Je, ulipo kuna umeme?

Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme

Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.

Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.

Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick...

Kila siku wanakuja na drama mpya na kuomba radhi kusikoisha we are tired from their disgusted drama!!They are fooling us everyday....we are discouraged enough......Hili shirika halijawahi kuwa shirika....
Mkuu upepo Ni mkali Sana . Tusubiri upite
 
Back
Top Bottom