Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeipenda mwenyewe, chaguo lako milele, na uvimbe upasuke utajijua mwenyewe 😂🤣🤣😂. Kazi iendeleeeNi uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.
Hidaya anazingua 🤣🤣🤣😂Kila kitu nchi hii ni ubabaifu. Mpaka Hidaya naye kawa Sisiemu.
Anatembea 110kph mpaka 120kph, baharini, toka juzi na bado hajafika nchi kavu, foleni gani hiyo inayo mkwamisha?
Achangamke, kama ni hayo maji, atuletee mapema basi, nchi iko gizani huku.
.Je, ulipo kuna umeme?
Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme
Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.
Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.
Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick...
Kila siku wanakuja na drama mpya na kuomba radhi kusikoisha we are tired from their disgusted drama!!They are fooling us everyday....we are discouraged enough......Hili shirika halijawahi kuwa shirika....
Bila aibu Waziri mkuu anatutangazia umeme unazalishwa Hadi umezidi,shame, huo umeme unazalishwa kwa wingi kwenye mikutano ya hadhara.Je, ulipo kuna umeme?
Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme
Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.
Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.
Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick...
Kila siku wanakuja na drama mpya na kuomba radhi kusikoisha we are tired from their disgusted drama!!They are fooling us everyday....we are discouraged enough......Hili shirika halijawahi kuwa shirika....
Kenya kuna mafuriko.mshukuruArusha Giza kali mno
Sawa na Unguja... Ni Giza sana na upepo mkali mno!Pemba umekatika saa 9
Naona kama ID inasadifu maandishi.Oya sio kila kitu mnalalamika tu.kuna upepo mkaliii
Kenya kuna mafuriko.mshukuru
Matulunga ya wapi? Iniho - Makete?Totoro mpaka matulunga huku
Mkuu upepo Ni mkali Sana . Tusubiri upiteJe, ulipo kuna umeme?
Umeme umekatika saa 8 na dk 39 usiku huu na watu wengi sana wanasema makwao hakuna umeme
Tusubirie walete zile ngonjera za hitilafu kwenye grid hili shida halina staha kabisa tena limekosa haya na stara ya kuitwa shirika.
Ni uhayawani wa hali ya juu na umajinuni mkubwa kukata umeme usiku.
Mathalani, hapa kwetu tuna siku ya 4 wanakata asubuhi wanarudisha usiku kwa kisingizio cha matengenezo wallah these people are sick...
Kila siku wanakuja na drama mpya na kuomba radhi kusikoisha we are tired from their disgusted drama!!They are fooling us everyday....we are discouraged enough......Hili shirika halijawahi kuwa shirika....