Itakua wanawasha yale mageti mengine ili tuuze umeme mpaka Jo'burg huko SA tukawaangazie ukizima huku na huko unazima mbwiiiUtasikia Magufuli alitumia mitambo bila ukarabati hivyo mitambo imechoka.
Kwakweli kuna giza totoro, Tunachohofia ni uhalifu wezi wakianza kukariri umeme unakatika muda flani usiku wa mananeGiza ni Nene Mvua inyeshe kidogo tupate USINGIZI maana mbu wanapiga Doria HATARI ni mwendo wa patrol ya Mwili wanatembelea mpaka kisigino
Nyanda za juu Kusini yote haina umemeNi rasmi sasa huu ni mgao, jana nilidhani labda ni hitilafu ila leo wamerudia tena kwenye mida ya saa tisa kasoro.
Location : Mbeya
Mboni ubalozini hawakati umeme? Balozi ZOTE uswiss, France, America hawakati umeme hayo maeneo hata iweje Ila huko kwa raia mafichoni Jamaa wanazima mshumaaKwakweli kuna giza totoro, Tunachohofia ni uhalifu wezi wakianza kukariri umeme unakatika muda flani usiku wa manane
Wapige mara ngapi?Mimi nadhani wanafanya hivi ili wapige hela kwa kisingizio cha matengenezo.
mrafijiWapige mara ngapi?
Wewe unatakaje?mrafiji
Tabia zako za kunifuata PM sipendimrafiji
Huu hauwezi kuwa mgao kama umekatika maeneo yote nchini. Kutakuwa na hitilafu. Ni ipi, hilo ndilo swali. Mbona hawasemi?Ni rasmi sasa huu ni mgao, jana nilidhani labda ni hitilafu ila leo wamerudia tena kwenye mida ya saa tisa kasoro.
Location : Mbeya
njoTabia zako za kunifuata PM sipendi
Unataka nini PM
Nchi inaongozwa na mabwegeHii nchi ya kipumbavu sana
KOMWE msumbufu sanaSi umpe ysishe?🤣🤣🤣
BICHWA KOMWE ataka utamu
sanaaaaaaHii nchi ya kipumbavu sana