Msishangae
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 363
- 267
Watu na pesa zao nduguKi-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?
Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote.
By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.
N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.
Kalaga baho!
Mimi naona wewe ndio mwendawazimuKi-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?
Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.
N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.
Kalaga baho!
Mkuu hilo fanfa ndio likojeMimi hata hiyo third part yenyewe sikatagi naona wanakula ela ya bure tu, natumia fanfa la elfu kumi tu.
Ila kwa hii system mpya ya kutotumia sticker ndio itabidi December niwape laki na kumi yao wale. Fanfa hakuna tena maana sticker hazitumiki ni system tu.
Mkuu na we umewahi kufika namanyere?
We mgeni hapa mjini?Mkuu hilo fanfa ndio likoje
Bima unachokithamini.
Namanyere ni kule mgharibi ya mbali Tanzania mkoa wa Rukwa/Katavi kama sijakosea, ni kilometres chache sana kutoka hapo una kuwa Katavi National Park. ( nimewahi kupita huko kipindi fulani katika harakati za kupambana na maisha) [emoji18][emoji120]Namanyere [emoji1][emoji1]
Ndo upo uko Mkuu?
Sasa kama huna hela tukusaidieje yaani!Ki-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?
Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.
N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.
Kalaga baho!
Na wanawaponza sana hao wafanyakaziNyie ndio ambao mkishapata ajali mnaanza kuwasumbua watu wa bima wawafanyie michongo gari zenu ziingizwe mlipwe wakat mmekata bima gar ishapata ajali
Labda baada ya Mwaka au miaka miwili wanavitia Moto au wanavitumbikiza mtoni,alafu wanadai bima iwalipe huwezi jua!! Mjini mipango!!Wewe ndiyo mwamba Sasa. Nawashangaa Sana Hawa wenye vigari vya milioni 8, 10, 12, 15 wanahangaika kulipa comprehensive. Shubamiti!!
Ahsante. Mi sio mgeni ni vile siwezi jua kila kituWe mgeni hapa mjini?
Ni sticker ya bima lakini inakuwa haipo kwenye system, zile sticker za bima zinaprintiwa na binadamu siyo malaika.
Ni kama vyeti feki tu, ukikiangalia kwa macho ni chenyewe ila ukienda kwenye mfumo hukioni.
Na wapo mabroker wamewapiga wateja wao kwa mafanfa hayahaya na umekata ofisini kabisa.
Namanyele 😀😀 niliendaga 2016 pale St. Bakhita kuangalia kazi, nilikimbia bila kuaga... Aisee Tanzania ni kubwa sana inabidi tuigawanye tupate nchi kama 4 au 5,,, yaani kuna sehemu watu wanaishi utafikiri wako nchi jirani.Janja janja kibao yaani.
Wajanja wa mjini wanalipa comprehensive miaka 2 halafu wanasuka dili na wenye bima. Inaandaliwa ajali halafu mtu anaenda kuvuta mpunga gari mpya inanunuliwa. Wewe wa Namanyele unalipa mpaka mwisho.
siyo kila kampuni ya bima inastahili wateja.Umenigusa.. 2015, mgeni kabisa kwa magari.. Nikalipa comprehensive.. Nikala mzinga huko maporini; sikupata attention niliyoitegemea toka kwa insurer.. Nikaanza kulipa thord party sijui mnaiita kwa miezi 4, then namalizia..
Hadi sheria ilivyobadilika na kulazimisha kulipa kwa mwaka mwaka
Hao mazinjathropus walikuwa hawajengi vyoo,kwa hiyo hapo unatusaidiaje,tusijenge vyoo tujisaidie vichakani?Watanzania tunaendekeza na kupenda sana anasa kwa mambo ya kipuuzi kama magari na umeme wakati Mungu katuumba na miguu. Kulikuwa na haja gani basi kuwa na miguu? Mazinjathropus na binadamu wa awali walikuwa hawatumii magari na umeme na Maisha yao yalikuwa bora na nafuu kutuliko.
Duh ina maana we mgeni kwenye hiloMkuu hilo fanfa ndio likoje
Hapa Tanzania kuna majitu yanapenda sana kuropoka! Sasa hili taahira linajua maana ya Bima kweli? Hivi kuna mtu anajua ajali itamkuta lini? Natamani hili bwege lililoleta hii mada likule mzinga labda litaelewa maana ya Bima!