Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haizidi laki 6!Kwani gari ya milioni 15 bima ni sh ngapi kwa mwaka
Watanzania tunaendekeza na kupenda sana anasa kwa mambo ya kipuuzi kama magari na umeme wakati Mungu katuumba na miguu. Kulikuwa na haja gani basi kuwa na miguu? Mazinjathropus na binadamu wa awali walikuwa hawatumii magari na umeme na Maisha yao yalikuwa bora na nafuu kutuliko.
Mbona ni affordable kabisaHaizidi laki 6!
Jamaa yetu anataka alipe ya laki 1 na nusu kwa mwaka! Ni shida, halafu anajiona eti ana akili!Mbona ni affordable kabisa
Inawezekana akawa ana akili sema anazitumia vibaya(kuwanga)Jamaa yetu anataka alipe ya laki 1 na nusu kwa mwaka! Ni shida, halafu anajiona eti ana akili!
Wabongo hauwezi kutoa ushauri bila kuweka lugha za dharau unaita watu wenye pesa zao matahira watu dizaini yako bla bla nyingi pesa mifuko emptyKi-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?
Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.
N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.
Kalaga baho!
Sexless una habari mpaka vifuniko vya asali vinakatiwa bima?Ki-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?
Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.
N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.
Kalaga baho!
Wewe ndo mfu usoelewa, RAV4 old model ni shs 18-20m,Analipishwa Milioni gari yake aliivalue kiasi gani? Au mnachangia tu uzi bila ya uelewa namna gani Bima inafanya kazi.
Gari inaweza kuwa ya Bei hiyo lkn mtu akaivalue kiasi cha chini ili alipe insurance kidogo. mimi nina Harier Old Model Nimeivalue 8 million hivyo Insurance ya Comprehensive ninayolipa kwa Mwaka haijawahi kuzidi laki Nne na kuna wkati niligongwa na nikatengenezewa gari yangu. Hata mtu akinikwangua au nikimkwangua huwa sipotezi muda barabarani zaidi ya kuwasiliana na traffic pamoja na watu wa insurance kushughulikia tatizo.Wewe ndo mfu usoelewa, RAV4 old model ni shs 18-20m,
Unadhani insurance comprehensive ni bei gani kwa mfano
Crown ni taxi huko Japan. Kwa hiyo punguza shoboKwa hio crown yangu haifai kuiwekea hio bima. Ungejua mabaharia tulivopambana mpk kufikia kumiliki gari si mchezo
Utoto na Ushamba unamsumbuaHapa Tanzania kuna majitu yanapenda sana kuropoka! Sasa hili taahira linajua maana ya Bima kweli? Hivi kuna mtu anajua ajali itamkuta lini? Natamani hili bwege lililoleta hii mada likule mzinga labda litaelewa maana ya Bima!
Kumbe nawe umegundua hilo. Nimegundua watu wanachangia tu kama vile unalipa bila kuvalue gari.Analipishwa Milioni gari yake aliivalue kiasi gani? Au mnachangia tu uzi bila ya uelewa namna gani Bima inafanya kazi.
NanguruweHapana mkuu. Huwa nayapenda tu majina haya; Namanyere, Nakapanya, Nanyamba, n.k
Hamna wanachokijua zaidi ya ujuaji na ushambaKumbe nawe umegundua hilo. Nimegundua watu wanachangia tu kama vile unalipa bila kuvalue gari.