Umenunua kigari cha milioni 15 unakata bima comprehensive. Una akili sawa sawa wewe?

Umenunua kigari cha milioni 15 unakata bima comprehensive. Una akili sawa sawa wewe?

Watanzania tunaendekeza na kupenda sana anasa kwa mambo ya kipuuzi kama magari na umeme wakati Mungu katuumba na miguu. Kulikuwa na haja gani basi kuwa na miguu? Mazinjathropus na binadamu wa awali walikuwa hawatumii magari na umeme na Maisha yao yalikuwa bora na nafuu kutuliko.

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] we jamaaa
 
Nmekata Bima ya Afya yangu tu, hayo matakataka mengine sitaki.
 
Ki-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?

Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.

N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.

Kalaga baho!
Wabongo hauwezi kutoa ushauri bila kuweka lugha za dharau unaita watu wenye pesa zao matahira watu dizaini yako bla bla nyingi pesa mifuko empty
 
Kwaio kile ki BMW X3 nlichoulizia bei pale opoziti na Mcity hakitakiwi kabisa hii bima.
 
Ki-gari cha milioni 15 au chini ya hapo bima comprehensive inakusaidia nini? Hicho ki_gari ukikitembelea mwaka mmoja tu kimechoka na kugeuka kuwa chuma chakavu. Sasa bima comprehensive ya nini?

Unayatajirisha bure makampuni ya bima. Wewe hunufaiki chochote. By the way, kuna watu wana nyumba zao za milioni 50, 70, 100 au 200 lkn hawajazikatia bima. Lkn wakinunua viagari vya milioni 10, 20, 30 wanakata bima. Uzwazwa huu.

N.B. Nimeona wengi wanalipa bima ya comprehensive miaka 4 au 5 halafu wanaamua kujitoa na kuanza kulipa bima ndogo. Utaahira huu.

Kalaga baho!
Sexless una habari mpaka vifuniko vya asali vinakatiwa bima?
Bima si kwa ajili ya gari tuu bali pia kwako pia, wengine na mali za wengine pia
 
Analipishwa Milioni gari yake aliivalue kiasi gani? Au mnachangia tu uzi bila ya uelewa namna gani Bima inafanya kazi.
Wewe ndo mfu usoelewa, RAV4 old model ni shs 18-20m,
Unadhani insurance comprehensive ni bei gani kwa mfano
 
Wewe ndo mfu usoelewa, RAV4 old model ni shs 18-20m,
Unadhani insurance comprehensive ni bei gani kwa mfano
Gari inaweza kuwa ya Bei hiyo lkn mtu akaivalue kiasi cha chini ili alipe insurance kidogo. mimi nina Harier Old Model Nimeivalue 8 million hivyo Insurance ya Comprehensive ninayolipa kwa Mwaka haijawahi kuzidi laki Nne na kuna wkati niligongwa na nikatengenezewa gari yangu. Hata mtu akinikwangua au nikimkwangua huwa sipotezi muda barabarani zaidi ya kuwasiliana na traffic pamoja na watu wa insurance kushughulikia tatizo.
Kikubwa ninachokiona kwenye huu izi ni wafu kukimbilia kuchangia hata hawajui insurance inafanyaje kazi na wengine hata Magari hawana.
 
Kwa hio crown yangu haifai kuiwekea hio bima. Ungejua mabaharia tulivopambana mpk kufikia kumiliki gari si mchezo
Crown ni taxi huko Japan. Kwa hiyo punguza shobo

images - 2021-11-22T192814.532.jpeg
 
Hapa Tanzania kuna majitu yanapenda sana kuropoka! Sasa hili taahira linajua maana ya Bima kweli? Hivi kuna mtu anajua ajali itamkuta lini? Natamani hili bwege lililoleta hii mada likule mzinga labda litaelewa maana ya Bima!
Utoto na Ushamba unamsumbua
 
Huu uzi umejaa dharau sana. Hongera mtoa mada kwa kudharau vya wengine, lakini wengi hiyo bima imewasaidia
 
Analipishwa Milioni gari yake aliivalue kiasi gani? Au mnachangia tu uzi bila ya uelewa namna gani Bima inafanya kazi.
Kumbe nawe umegundua hilo. Nimegundua watu wanachangia tu kama vile unalipa bila kuvalue gari.
 
Back
Top Bottom