Umeoa mke mwenye miaka 25+? Usitegemee mafanikio

Wahuni wameshakuchapia mkuu pole sana...
Ila dogodogo watamu
 
Nahisi kuna ka' ukweli flani hivi.![emoji102]
 
Aisee, huwez kugeneralize k2 kama hicho kutokana na waschana unaowajua ww. Ulifanya maamuzi kwa fikra kama hizi lazima uumie
Wachache sana wanaoangukia nje ya hoja yangu. Ndiyo hao 5% niliyowatenga.

Fika mashuleni na vyuoni uone jinsi wanafunzi wa kike wanavyobebwa na mibaba. Hutoamini meno yako. Unaweza ukalia na ukagoma kumlipia mwnao ada. nayaongea haya kwa kuyaona. Kwenye mikusanyiko wadada wanakuwa ni vitoweo. Dunia Imevaa chupi
 
Damu ya Yesu Yatosha. Yasafisha dhambi na mabaya yake yote.

Unapofunga Ndoa Unaungama na kusamehewa dhambi zote.

Yesu anakuwa ndani yako nawe ndani yake. Unaumbwa Upyaaaaaaa.
Haya ni maneno ya kujifariji na ndio kazi ya dini.
 
Ingawa sio wanawake wote walio ktk umri huo wapo hivyo alivyosema mleta mada lakini asilimia kubwa wapo hivyo. Jamani ukweli ni mchungu sana lakini huyu chizi bin mwendawazimu bin kichaa kaongea ukweli tupu. Mleta mada nisamehe kwa kukuita majina mabaya na yasiyo kustahili. Dada zangu naomba mnisamehe lakini huu ndio ukweli. Najua humu wanaume wanaovizia wadada JF, au wale wenye wachumba, au walioa wanawake wa umri huo watamshambulia sana mleta mada na yeyeto anaye muunga mkono lakini hii haitabadili ukweli huu. Narudia tena naomba msamaha kwa wanawake walioguswa na mada hii.
 
Ndoa za wazazi wetu zilidumu kwa kiasi kikubwa kwa mwanamke ndoa ilikuwa ajira na wazazi wetu wengi mishahara ya enzi za ujamaa hawakuwa na michepuko au pesa ya kwenda bar kila siku.
Isitoshe kulikuwa Hakuna social network kama sasa hivi kwaiyo kupata ushilawadu sijui nani katoka na nani au kafumaniwa na nani ilikuwa ngumu.
 
Thad uwai mapema kuolewa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] si mpaka nimpate wa kunioa? Nioe wewe ili niwe mama bora....[emoji12] [emoji12] [emoji12]


External forces has nothing to do with my life. So i will marry when i want!
 
Ameeleza vizuri tu. Hakuna mahali kasema wote bali kasema asilimia 95 ya wote kwa hivyo hao watano kati ya mia moja watakuwa hawapo hivyo.
 
S
Sio bure hiyo laana lazima na wewe imekukuta maana sio kwa mipovu hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…