Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi kuna ka' ukweli flani hivi.![emoji102]Hawa washachukua laana na mikosi toka wanaume tofauti tofauti waliokuwa wapenzi wao huko nyuma. Na wengine wameacha machozi ya machungu kwa wanaume walio wekeza nguvu na rasilimali zao kwa wanawake hao wakijua watawaoa. Lakini mwishowe wakasalitiwa.
Kuna swali linaulizwa na wengi, "kwanini ndoa za miaka ya zamani zilidumu kuliko za sasa? " Jibu: wanawake wa zamani walijitunza na hivyo waliolewa wakiwa mabikra.
Hawa wa siku hizi wanakuwa washaharibiwa kila tundu asilia la mwilini ndiyo wanaolewa. Halafu ndiyo unaoa mwanamke kama huyu, kisha utegemee mafanikio na utangamano katika ndoa? Migogoro na mikosi itakuandama tu.
Mfano mtu ashatembea na mijanaume mikubwa kiumri kuliko babako mzazi tangu akiwa na miaka 15, unategemea k imelegea kiasi gani? Hata ufanyeje utaishia kuonekana una kibamia. Unategemea hisia za kimapenzi ashapoteza kiasi gani? Kiharage kimekomaa mpaka kimeota magamba kama ya pelege. Unategemea ashachukua laana kiasi gani? Nyingine ziliingia kwa kunyonya, nyingine kwa kuruka ukuta na nyingine kuonyesha utupu kwa mtu mzima kuliko babake mzazi.
Wanawake wengi sana zaidi ya 95% ktk umri wa 25+ wanakuwa washapata mimba lakini huzitoa. Halafu anakuja humu na kujinasibu kwa kubana pua "nina miaka 26 sina mtoto". KE wa namna hii inabidi aulizwe ulimpeleka wapi mtoto? Kwenye nafsi yake lazima atakumbuka idadi kubwa ya watoto aliyowatupa chooni.
Ndugu yangu mwanamke wa namna hii utakuwa kila Unalolifanya linadunda maana umeoa nuksi.
USHAURI:
Ukitaka kuoa, oa mwanamke ambaye ni chini ya miaka 25 kiumri. Ana madhambi na laana chache. Na kila mipango utakayoipanga itafanikiwa kwa kuwa hakuna kikwazo ktk ndoa yako.
(JF ni mtambo wa kurekebisha tabia)
Wachache sana wanaoangukia nje ya hoja yangu. Ndiyo hao 5% niliyowatenga.Aisee, huwez kugeneralize k2 kama hicho kutokana na waschana unaowajua ww. Ulifanya maamuzi kwa fikra kama hizi lazima uumie
Bora wewe umekaona.Nahisi kuna ka' ukweli flani hivi.![emoji102]
U should find some space in your beautiful heart to forgive me for thatUmeipresent kibabe sana...
Haya ni maneno ya kujifariji na ndio kazi ya dini.Damu ya Yesu Yatosha. Yasafisha dhambi na mabaya yake yote.
Unapofunga Ndoa Unaungama na kusamehewa dhambi zote.
Yesu anakuwa ndani yako nawe ndani yake. Unaumbwa Upyaaaaaaa.
Huo ndio ukweliUmeona ee!!?
Isitoshe kulikuwa Hakuna social network kama sasa hivi kwaiyo kupata ushilawadu sijui nani katoka na nani au kafumaniwa na nani ilikuwa ngumu.Ndoa za wazazi wetu zilidumu kwa kiasi kikubwa kwa mwanamke ndoa ilikuwa ajira na wazazi wetu wengi mishahara ya enzi za ujamaa hawakuwa na michepuko au pesa ya kwenda bar kila siku.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] si mpaka nimpate wa kunioa? Nioe wewe ili niwe mama bora....[emoji12] [emoji12] [emoji12]Thad uwai mapema kuolewa
[emoji38][emoji38] vipi kwani?Mkuu katika comments zote hii yako imeyatoa meno yangu nje kwa kicheko. Kwa namna ulivyoiandika
Anaijua shabu huyo?Are u sure mkuu? Isije kuwa ilikuwa bandia? Maana siku hizi kuna virginity za maji ya ndimu na mkojo wa tembo.
Otherwise, you are so lucky.
mwenzangu kwenye post mara mwanamke mara mwanaume.Siyo iuelewi MPE makuvu pitia post zake[emoji85] [emoji23] [emoji23]
Ameeleza vizuri tu. Hakuna mahali kasema wote bali kasema asilimia 95 ya wote kwa hivyo hao watano kati ya mia moja watakuwa hawapo hivyo.Mkuu usipende kuhukumu watu wote kwa kosa la mtu mmoja na wala usipende kukariri maisha. Sio wote wako hivyo no malezi tu ukilelewa vizur waweza fika hata 30 years uko bikra unamaliza kusoma unaolewa. Lkn malezi yakiwa mabaya hata ukioa wa 15 years waweza mkuta na shimo km kaangukiwa na kimombo.
Sio bure hiyo laana lazima na wewe imekukuta maana sio kwa mipovu hiyo.Hawa washachukua laana na mikosi toka wanaume tofauti tofauti waliokuwa wapenzi wao huko nyuma. Na wengine wameacha machozi ya machungu kwa wanaume walio wekeza nguvu na rasilimali zao kwa wanawake hao wakijua watawaoa. Lakini mwishowe wakasalitiwa.
Kuna swali linaulizwa na wengi, "kwanini ndoa za miaka ya zamani zilidumu kuliko za sasa? " Jibu: wanawake wa zamani walijitunza na hivyo waliolewa wakiwa mabikra.
Hawa wa siku hizi wanakuwa washaharibiwa kila tundu asilia la mwilini ndiyo wanaolewa. Halafu ndiyo unaoa mwanamke kama huyu, kisha utegemee mafanikio na utangamano katika ndoa? Migogoro na mikosi itakuandama tu.
Mfano mtu ashatembea na mijanaume mikubwa kiumri kuliko babako mzazi tangu akiwa na miaka 15, unategemea k imelegea kiasi gani? Hata ufanyeje utaishia kuonekana una kibamia. Unategemea hisia za kimapenzi ashapoteza kiasi gani? Kiharage kimekomaa mpaka kimeota magamba kama ya pelege. Unategemea ashachukua laana kiasi gani? Nyingine ziliingia kwa kunyonya, nyingine kwa kuruka ukuta na nyingine kuonyesha utupu kwa mtu mzima kuliko babake mzazi.
Wanawake wengi sana zaidi ya 95% ktk umri wa 25+ wanakuwa washapata mimba lakini huzitoa. Halafu anakuja humu na kujinasibu kwa kubana pua "nina miaka 26 sina mtoto". KE wa namna hii inabidi aulizwe ulimpeleka wapi mtoto? Kwenye nafsi yake lazima atakumbuka idadi kubwa ya watoto aliyowatupa chooni.
Ndugu yangu mwanamke wa namna hii utakuwa kila Unalolifanya linadunda maana umeoa nuksi.
USHAURI:
Ukitaka kuoa, oa mwanamke ambaye ni chini ya miaka 25 kiumri. Ana madhambi na laana chache. Na kila mipango utakayoipanga itafanikiwa kwa kuwa hakuna kikwazo ktk ndoa yako.
(JF ni mtambo wa kurekebisha tabia)