MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Mbeya Kuna nini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee,kwahiyo mbagara imeipiku mbeya??
Milioni 6-10Mbagara kiwanja ni bei gani??
Mbeya ni Likijiji likubwa linalowaka taa usiku. Kuliko uishi mbeya bora uende TaboraMbeya Kuna nini?
Kule Ilolo au Iyela
Mbalizi au Igawilo
Nonde au Ghana
Ilemi au Isanga
Itezi au Inyala
#kataadaladalaWazoefu wa kushika bomba kwenye daladala hawatakuelewa, wao kuamka saa 10 alfajiri kulala saa 6 usiku kama majinga.
Dar Ni kiboko, unaweza Anza Safari saa moja ukafika uendako saa4.[emoji2][emoji2][emoji2],Jiji la maraha.Watu wa Dar kuamka saa 10 sio kupenda, ni kutokana na adha ya usafiri. Sasa niambie wewe mkoa gani una foleni na adha ya usafiri kama Dar?
Tena hayo masaa manne unayatumia kwa safari ya kilomita 20 tuDar Ni kiboko, unaweza Anza Safari saa moja ukafika uendako saa4.[emoji2][emoji2][emoji2],Jiji la maraha.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hahaha acha utani bhana! Kuna sehemu kibao watu wametoba kuzidi hata Dar! Nenda Arusha na Mwanza hapo ndo utajua Dar ni kukariri maisha tu!Mbeya ni Likijiji likubwa linalowaka taa usiku. Kuliko uishi mbeya bora uende Tabora
Kama mazombi#kataadaladala
Daladala ni kero
Daladala ni mateso
Daladala ni unyanyasaji
Daladala ni umaskini
Daladala ni usafiri wa makapuku na watu wa hovyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Upewe maua yako.Bila salamu nawapa ujumbe wenu enyi watu.
Mnaweza kusema kuwa najiinua au nawakashifu ila Mimi siko huko. Ni upendo tu.
Waarabu wanasema fikisha ujumbe hata kama ni mchungu.
Miaka 5 inatosha kabisa mtu kupima bahati ya maisha Dar es salaam au mahali popote.
Unaishi Dar miaka zaidi ya 5 huna nyumba, huna kiwanja, kula kwako ndo kule unatafuta leo ili ule leo, kila siku kwenye daladala wewe ukichomoa pesa kubwa basi buku 2.
Unalala store (jiko, meza, sofa, feni, kitanda, pasi, bag la nguo na vitu vingine vyote ukifungua macho tu hivi hapa.
Tanzania hii kuna mahali kama Liwale huko Lindi ukifika kijiji chochote ukiomba ardhi ya kujenga au kulima unapewa bure kabisa. Yet wewe uko dar hata hatua 4 za ardhi Chanika huna . Umerogwa shituka
Kijijini wenzako wenye bidii wanamiliki pikipiki, gari, guta, nyumba, duka nk.
Kijijini ni bidii zako tu. Mjini kuna pesa kuliko kijijini ila kama kila ukihangahika huzipati za kukukwamua ni vyema utafute chimbo kijijini.
Braza alifika kijiji fulani kuuliza ardhi ya kulima huko chobingo akapewa upana wa hekari 5 urefu ajipimie mwenyewe.
Kama akilima hekari 40 na kupanda mikorosho baada ya miaka 5 atakuwa wapi?
Nakuuliza wewe unayelipwa laki 2 na Mwindi.
Huu ni ukweli mchungu sana, ardhi kwa ajili ya kilimo bado inapatikana kwa bei rahisi sana maeneo mengi ya nchi hii, naona maeneo mengine wakenya wanakuja kuchukua kwa njia ya uwekezaji sisi vijana tumejazana Dar,Arusha, na Mwanza tunashangilia na kubishana kuhusu Simba na Yanga.Bila salamu nawapa ujumbe wenu enyi watu.
Mnaweza kusema kuwa najiinua au nawakashifu ila Mimi siko huko. Ni upendo tu.
Waarabu wanasema fikisha ujumbe hata kama ni mchungu.
Miaka 5 inatosha kabisa mtu kupima bahati ya maisha Dar es salaam au mahali popote.
Unaishi Dar miaka zaidi ya 5 huna nyumba, huna kiwanja, kula kwako ndo kule unatafuta leo ili ule leo, kila siku kwenye daladala wewe ukichomoa pesa kubwa basi buku 2.
Unalala store (jiko, meza, sofa, feni, kitanda, pasi, bag la nguo na vitu vingine vyote ukifungua macho tu hivi hapa.
Tanzania hii kuna mahali kama Liwale huko Lindi ukifika kijiji chochote ukiomba ardhi ya kujenga au kulima unapewa bure kabisa. Yet wewe uko dar hata hatua 4 za ardhi Chanika huna . Umerogwa shituka
Kijijini wenzako wenye bidii wanamiliki pikipiki, gari, guta, nyumba, duka nk.
Kijijini ni bidii zako tu. Mjini kuna pesa kuliko kijijini ila kama kila ukihangahika huzipati za kukukwamua ni vyema utafute chimbo kijijini.
Braza alifika kijiji fulani kuuliza ardhi ya kulima huko chobingo akapewa upana wa hekari 5 urefu ajipimie mwenyewe.
Kama akilima hekari 40 na kupanda mikorosho baada ya miaka 5 atakuwa wapi?
Nakuuliza wewe unayelipwa laki 2 na Mwindi.
Suala la vipaumbele tuuKila mkazi wa kijijini ni tajiri? Kama kijijini kuna utajiri kwa nini ndipo kunaoongoza kuwapo na matatizo kama miundombinu mibovu, huduma za afya hakuna, elimu mbovu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787],Sawa mkuu umesikika, dar ambayo Kila mtu ni msanii.Ukishindwa Maisha Dasilam basi wewe nifungu lakukosa
Huu ni ukweli mchungu sana, ardhi kwa ajili ya kilimo bado inapatikana kwa bei rahisi sana maeneo mengi ya nchi hii, naona maeneo mengine wakenya wanakuja kuchukua kwa njia ya uwekezaji sisi vijana tumejazana Dar,Arusha, na Mwanza tunashangilia na kubishana kuhusu Simba na Yanga.