The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,835
- 3,266
We unasemea njombe ya wap?ambayo viazi ni vya msimu saivi kuna kipalila au vya kumwagilia vutoka ivo mvua ina anza yani kwa mwaka unalima mara tatu.Mimi niko Dar mwaka wa 8 sasa ni government employee . Sasa unataka niache kazi ya uhakika nikalime?
Nikitaka kulima huwa nalima mazao ya msimu Njombe viazi mviringo.