amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Mimi napenda sana nyama hasa iwe ya ng'ombe, mbuzi kuku, samaki, kima. Ilimradi nyama tu iwe tamu na siwezi kuichoka.
Mfano nyama ya ng'ombe nitakunywa supu asubuhi mchana na ugali au wali na usiku na chochote.
Kesho yake nikala kavu, keshokutwa yake hivo hivo. Naweza kula kila siku ni kubadilisha mapishi tu. Mara mchemsho mara mchuzi mara kavu, mara nimechanganya na majani ya maboga nw nazj mara ya kuchoma.
Nisipokula nyama siku moja inakuwa kama mwezi hivi ninapata arosto kali mno.
Mfano kuku wa kienyeji huwa nina muanzia supu, nakuja mchana iwe pilau au biriani au wali mweupe kwa mchuzi usiku nitamkaanga tu nimtafune tafune.
Ninaweza letewa nyama ya kula wiki nzima sisi tukala siku 2. Sina familia kubwa nina mtoto mdogo tu na mie. Wakati nasoma nilikuwa prefect he he he siku ya nyama nina hot pot special ya kujaza nyama zangu.
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji491][emoji490][emoji491]
Mfano nyama ya ng'ombe nitakunywa supu asubuhi mchana na ugali au wali na usiku na chochote.
Kesho yake nikala kavu, keshokutwa yake hivo hivo. Naweza kula kila siku ni kubadilisha mapishi tu. Mara mchemsho mara mchuzi mara kavu, mara nimechanganya na majani ya maboga nw nazj mara ya kuchoma.
Nisipokula nyama siku moja inakuwa kama mwezi hivi ninapata arosto kali mno.
Mfano kuku wa kienyeji huwa nina muanzia supu, nakuja mchana iwe pilau au biriani au wali mweupe kwa mchuzi usiku nitamkaanga tu nimtafune tafune.
Ninaweza letewa nyama ya kula wiki nzima sisi tukala siku 2. Sina familia kubwa nina mtoto mdogo tu na mie. Wakati nasoma nilikuwa prefect he he he siku ya nyama nina hot pot special ya kujaza nyama zangu.
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji491][emoji490][emoji491]