Umeshawahi kuletewa nyodo na mhudumu wa kike?

KIBWENGO aisee ningekua jela sahivi. Manslaughter.
 
Ukampiga kapumbu kama utopolo walivyopigwa machine ya mbali
 
Hakuna jamaa alipiga simu ikulu nao wakampigia simu mkuu wa kituo.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kwa hiyo alitumia ndugu yake wa Ikulu kuingilia kazi ya traffic sio? Angenikuta mimi ndio traffic nafikiri angefurahi.
 
Kwa hiyo alitumia ndugu yake wa Ikulu kuingilia kazi ya traffic sio? Angenikuta mimi ndio traffic nafikiri angefurahi.

Yaani huna hata V halafu ukamsumbue mtoto wa mkubwa?[emoji1787]


lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Huyo sista duu uliyemkuta ulikua humjui au alikua anakaa kwa mtu ulie mpangishia?
 
Mtu asiewajua wafanyabiashara wa tender kubwa anaweza kuleta dharau za kipuuzi.
 
Mimi ilinikuta, muhudumu wa hotel alinionesha dharau,
Nikamchunia siku hiyo, nikapanga kukipiza,
Nikamtongoza na nikahakikisha amedata nami nikala mzigo halafu nikapiga chini!
Na nikamchana ukweli, nilikuwa nakuonyesha mie ni zaidi yako!
Mpaka leo mnyonge!
 
Hahahhahahha,
 
Ukiwa na kigari cha kike dah
 
Kusema ukweli wanawake wengi hasa miaka 45 kushuka chini wanakuwa na customer care mbovu tena mteja akiwa ni mwanamke mwenzake anajibiwa kwa Maringo. kina mama watu wazima wana huduma nzuri. Kuna bank brach manager mmoja wa bank moja aliniambia yeye makao makuu amewaambia wampelekee kwenye tawi lake watumishi wa kiume tu!
 
Salaam wakuu! Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, katika mihangaiko yako ya maisha ya kila siku, umewahi kwenda sehemu kupata huduma fulani na ukaletewa nyodo na mhudumu husika, kwa sababu tu aidha mmiliki ni mpenzi wake, au vyovyote?

Karibuni!
Juzi yupo mmoja hivi nimeenda kutoa pesa akaleta nyodo na dharau akizani nimetumwaa na sio mwenye akaunti husika ya benki. Nilimponda sana mjinga yule
 
Ushamba huo
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Yaani huna hata V halafu ukamsumbue mtoto wa mkubwa?[emoji1787]


lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Mtoto wa mkubwa ndio nini? Mbona Waafrika tunakuwa wajinga kiasi hiki? Kwa hiyo kama mtoto wa mkubwa so what? Na nina mashaka huyo mkubwa alikuwa ni miongoni mwa vyeti feki waliotumbuliwa na Magufuli. Hakuna kujuana juana kwenye kazi, kama mtoto wa mkubwa basi aheshimu kazi za watu. Dah ningemfurahisha walah!
 
Kairuki hospital dada wa mapokezi namuongelesha ananipuuza huku anapiga stori na mwezake .

Moto niliomuwashi hatukuja sahau

Wabongo customer care tuko shallow Sana .

Ukishashiba mshahara unaanza fanya kazi kwa mazoea .

Mi sikukopeshi nakulipa hapo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…