Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Mume wa ndoa halali .
Mesages zake na nilishaelezea bhana .
Jua tu anatembea naye na mimi niko na rafiki yake
Ndio nini parodyHii ni parody
Okay yeye ndio kammwaga jamaa amezaa njee demu kasusa afu pesa anayo hapa kwenyewe nna laki 3 yake"Mie mume wangu ni mrefu mie mfupi" umenitouch sana , . Sasa kaachwa hiyo ni nuksi .
Watu wanashushiana shida kihivi.
Unamtu yuko na mkeo wewe uko na mkewe au wewe uko na mke wa mtu mwelewa maana wote sio wote wanajitambua .
Kama mimi nikiunguza picha tunatwistiana tu mie kwa shemeji yeye anabaki na wifi kwisha na shem ndio anahela mbaya .
Nuksi hiyo tafuta baraka ndio raha.
Mtu ambaye yuko na mauhusiano.
Haha na mpima kabisa maana napenda kula nyama kwa nyamaVaa kinga mbili au mkapime kwanza
Angalia asikuharibie kwa mkeo halafu akakususa baada ya kutengana na mkeo.Okay yeye ndio kammwaga jamaa amezaa njee demu kasusa afu pesa anayo hapa kwenyewe nna laki 3 yake
Best mie mchepuko wangu ukisanukiwa na sababu kubwa .Haha na mpima kabisa maana napenda kula nyama kwa nyama
Duh hapo umejipangaBest mie mchepuko wangu ukisanukiwa na sababu kubwa .
1. Kazaa nje huyu jamaa
2.Anamla shemeji yake
3. Anawatoto na mke wa kwanza tayari na mimi namsaidia kulea na wananipenda kama nini.
4.Kashakuwa na uzito wa kuoa tena tutasemehana tu kila mtu anaendelea na wake kama kawa .
5. Hawezi niacha tu najua hiloooo kabisaa .
Kwa sababu nyingi.
Tutacheza nje ila safe.
Itakua bonge la bifAngalia asikuharibie kwa mkeo halafu akakususa baada ya kutengana na mkeo.
We jamaaa daaah nimecheka sanaaaMkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Sana mimi ninafanyaga kitu clean yaanj hatutosumbuana.Duh hapo umejipanga
Naomba simulizi maana rafiki yangu kaliwa na mkwe wake hadi sasa wapo wote na mkwe amemnunulia gari na kamjengea bonge la mansion na mtoto mmoja walizaa naye nanikijana .Mkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Mkuu,,,nishatoa simulizi hapo,,,naomba fuatilia Uzi, tangu mwanzo..Mkwe alinitega na mm nikatema venom,,mwisho wa siku nachezea shanga zake,,,halafu wivu sasa,,kama mwanae ni mke mwenzie...Naomba simulizi maana rafiki yangu kaliwa na mkwe wake hadi sasa wapo wote na mkwe amemnunulia gari na kamjengea bonge la mansion na mtoto mmoja walizaa naye nanikijana .
Kuna vitu vinatisha sana huyo mimi ndio naomba isiwahi kunitokea kwanza baba mkwe amezeeka hadi kukaa shida nashukuru kwa hilo kwa maana hiyo ni kero sana kuna mahali unaolewa mama mkwe kaungua kichwa na mashemeji na pia wala sishangai angalia usimpe mimba
Allah!πππ³π³ hii kaliMkuu,,,nishatoa simulizi hapo,,,naomba fuatilia Uzi, tangu mwanzo..Mkwe alinitega na mm nikatema venom,,mwisho wa siku nachezea shanga zake,,,halafu wivu sasa,,kama mwanae ni mke mwenzie...
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]Dah..!
Haya wale mliowahi kuishi na wadogo zenu mkuje haraka muone madogo wanavyojilia wake zenu mkiwa safari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mie siwezi kufuga kidume nyumbani kwangu bora niishi na mbwa
maana hawa vijana wa vyuoni akiacha kukutombea mke basi atafira watoto wako wa kiume
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mkubwa aliona show ya shemeji take Ni mbovu akajua mdogo mtu atamganda mumewe[emoji23][emoji23][emoji23]Collage mate wangu wa discussion(Mdada) wakati tunasoma aliwahi kunisimulia kuwa kuna hadithi nyingine huwa kuzisimulia kwake mara baada ya kutokea ni nadra sana. Akanambia kuwa yeye na dadake wa kuzaliwa wameolewa, na familia zao ni kama family friends na familia za waume zao. Kila misimu ya sikukuu huwa wanaalikana kwa zamu kwenda kusherekea sikukuu kwenye moja ya nyumba ya mwenzao. Na baadae usiku huwa wanamalizia na outing matata, baba na mama kwa familia zote mbili kwenda kwenye hotel za fukwe kufurahia music na maisha.
Tabia hiyo ilijengeka kwa muda, na licha ya kufahamiana sana pia walipata kuzoeana mno. Yaaani dada wawili kwa kuzaliwa na waume zao. Siku moja mkesha wa mwaka mpya, baada ya pilikapilika za kufurahia kuufunga mwaka mchana, ilipowadia usiku Dec 31, walipata kwenda out wakiwa kama couples kwenda kuufunga mwaka kama waswahili wasemavyo. Walifika kwenye hotel moja nzuri kwenye fukwe za jiji la Dar na walipanga kuwa wangelala huko hadi January Mosi.
Wakati wakifurahia kuuona mwaka mpya usiku wa Manane, walijikuta wamekunywa kiasi kingi cha WINE huku wakicheza muziki mlaini kwenye ukumbi wa hotel ile huku wakiwa wamebadilishana mtu na shemejiye huku wakiwa wanacheza kwa kujiachia bila ya woga na wasiwasi wowote.
Ilipotimu mida ya saa tisa usiku, waliamua kwenda kujipumzisha kwenye vyumba vyao.
Cha ajabu, walishtuka asubuhi na kujikuta kila mmoja akiwa amelala na mume wa Mwenzie.
Sasa swali linakuja: je ni wote walifanikiwa kugegedana wakati wakiwa wamelewa? Je! Aliyefanya ku-spare ili agegede asubuhi, angeweza kuwa na hiyo nguvu ya kufanya hivyo baaada ya kubaini kuwa aliyelala naye ni shemeji yake?
Alichoniambia huyu college mate wangu,
Kuna baadhi ya Story zinapoanzia, basi ndio hapo hapo mwisho wake. Hutoweza kuzisikia au kusimulia kwingine[emoji23][emoji1787]
Nilipomdadisi kama bado mahusiano ya kifamilia yapo kama hapo awali, alikubali kuwa bado yapo, ila outing hawakuwahi kwenda tena, na hakuna mtu aliyewahi kumuuliza mwenzie ilikuwaje hadi hali ile ikatokea. Ila Dada wa mdogo mtu, alimpa vitisho mdogo wake, kuwa iwe ni mwanzo na Mwisho kama ile siku walipeana utamu. [emoji1787][emoji23]
Dunia ina Mengi hatari.
Sent using [Iphone XS Max]