Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Mwaka jana niliingia bureau de change fulani pale Kariakoo nikamkuta Msukuma mmoja amechenji tshs akaondoka na $200,000. Ungeweza kumdharau kwa jinsi alivyokuwa simple!
Huenda hata mlango wa darasa la sekondari haujui. Tusitishane na hizo division one!
Kuna kajinga kamoja kamesema ni chai!..
Hebu pata picha mtu kwa siku anakusanya misamaki zaidi ya kilo 2000 ni mwenzako huyu? Yaan kisiwa chote mitumbwi ni yake...jion analetewa tu samak anahesabu tu kilos...kuna watu wana hela nyie cheni tu hata haka kadogo ni kachafuuuuuu..kana kiduku ila ndo kana hela balaa
 
Huyo ni mmoja kati ya 200 wenye Phd. Kama mwarabu mmoja ni gaidi, hauwezi ukasema waarabu wote ni magaidi.

Jaribu kukusanya watu 1,000 randomly wenye maisha mazuri Tanzania kisha uchambue viwango vyao vya elimu ndio utagundua kuwa kusoma sana ni raha.
Natambua kusoma sana ni.raha mkuu..lakini kwa nchi zetu hizi za uchumi wakati wa juu mateso tupu...!
Nataman nikupe mifano sema iko hai sana..haitakuwa ustaarabu!
 
Mie kuna mtu namjua ana Phd nw...ila ana maisha ya hovyo bodaboda ana uafadhari...!nadhan wasomi wetu kuna sehemu wanakosea
Anyway, mimi sikatishi tamaa mtu yeyote kusoma.

Unajua maisha yako 'in stages'.

Ukiwa katika umri wa kusoma hasa huko chini, soma. But ukifika kuanzia ngazi ya chuo unatakiwa kutumia akili, unasoma mpaka lini na unasoma nini?

Usisome tu ilimradi sifa, mtaani wanakuona unaenda chuo.
 
kuna mmoja ni daktari bingwa yuko hovyo yaani anakula rushwa mpaka ya buku
Huyo atakuwa na addiction ya kipuuzi inamuendesha. Kwa taaluma aliyo nayo alitakiwa kuwa middle class automatically.
 
Ndo maana narudia tena kusema wengi ambao hawakufaulu shuleni wana maisha magumu. Tofauti yao na tuliosoma ni kwamba wao wakiamua kusaka mafanikio ni wanaenda hadi daraja la juu kabisa. Wasomi karibu wote tuko daraja la kati ambalo halina uhuru wa kifedha. Vilaza wapo kwenye ufukara na wachache ndo matajiri wakubwa wanaokimbiza. Msomi ukiamua kuingia daraja la juu ni rahisi sana bila kutumia nguvu nyingi. Tatizo la wasomi ni UOGA. Ujuaji mwingi huchangia uoga.
Uoga na ujuaji mwingi unawaponza wenye elimu.

Ila wasio soma hawana options kama waliosoma.
 
Kuna kajinga kamoja kamesema ni chai!..
Hebu pata picha mtu kwa siku anakusanya misamaki zaidi ya kilo 2000 ni mwenzako huyu? Yaan kisiwa chote mitumbwi ni yake...jion analetewa tu samak anahesabu tu kilos...kuna watu wana hela nyie cheni tu hata haka kadogo ni kachafuuuuuu..kana kiduku ila ndo kana hela balaa
Ingekuwa vyema ukamuachisha mwanao shule aende ziwani akawe sawa na huyo jamaa.
 
Anyway, mimi sikatishi tamaa mtu yeyote kusoma.

Unajua maisha yako 'in stages'.

Ukiwa katika umri wa kusoma hasa huko chini, soma. But ukifika kuanzia ngazi ya chuo unatakiwa kutumia akili, unasoma mpaka lini na unasoma nini?

Usisome tu ilimradi sifa, mtaani wanakuona unaenda chuo.
Ila kama una nia baadaye ya kuja kuwa na biashara ni bora ukomae usome...! Mie ss hv nahangaika na financial literacy..!
 
Back
Top Bottom