Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

O-level, nikapelekwa vipaji PCB,
Kwa mara ya kwanza nilijuta kufaulu kwa shughuli niliyokutana nayo kule.

Matokeo nayo yalivyotoka......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sitaki mazoea humu.

Anyway
Nasajili laini kwa alama za vidole,
Naunganisha Line za chuo,
Narudisha line zilizopotea,
Naweka liquid protector
Nabadilisha ringtones,
Nasafisha nyota,
Hahahah
 
Ila kama una nia baadaye ya kuja kuwa na biashara ni bora ukomae usome...! Mie ss hv nahangaika na financial literacy..!
Just employ your weakness.

Hata ukisoma, huwezi kusoma kila kitu. Hata Bakheresa kaajiri wasomi wafanye kazi ambazo yeye haziwezi.

Nashauri, Kusoma ukiwa huna kipato cha uhakika ( ajira ) mwisho iwe Bachelor Degree.

Ukisoma zaidi ya hapo na huna kipato, unajitia uwoga wa maisha na asilimia kubwa maisha yatakushinda utabaki na aibu.
 
Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka[emoji38][emoji38]!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia[emoji1787]!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Daàh noma mkuu
 
Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka😆😆!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia🤣!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Wengine hata hatuongelei mambo ya matokeo yetu ya shule, maana kwa kweli kitaa huku it doesn't matter kabisa. Kuna watu wanatengeneza hela hadi aibu, na hawajawahi kwenda shule beyond std 7.
Siku moja nilikua napiga story na vijana fulani wafanyabisahara, story zao wanaongelea mikopo ya 100m, 200m....!! Nikawa nawaza moyoni aibu sana, vijana wale wote ni std 7 leavers; Ilibidi niage fasta fasta.
Coming to think of it, naona kama wengine tulipoteza sana muda mashuleni huko tukiaminishwa kuwa sisi ni ma genius na vipanga kweli kweli.
Ila ndo maisha.
 
Wengine hata hatuongelei mambo ya matokeo yetu ya shule, maana kwa kweli kitaa huku it doesn't matter kabisa. Kuna watu wanatengeneza hela hadi aibu, na hawajawahi kwenda shule beyond std 7.
Siku moja nilikua napiga story na vijana fulani wafanyabisahara, story zao wanaongelea mikopo ya 100m, 200m....!! Nikawa nawaza moyoni aibu sana, vijana wale wote ni std 7 leavers; Ilibidi niage fasta fasta.
Coming to think of it, naona kama wengine tulipoteza sana muda mashuleni huko tukiaminishwa kuwa sisi ni ma genius na vipanga kweli kweli.
Ila ndo maisha.
Maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga mkuu!
Ndo maisha kwakweli
 
Kwani kupata one ni suala la bahati? Mbona one huwa zinajulikana kabla ya matokeo kwamba fulan na fulan watapiga one?

Anyway nilipata one O level na A level pia, bado sijajua lengo lako ni lipi hasa! Au tuunde whatsapp group la vipanga [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] itapendeza zaidi
 
Hahah, kwann hayakubali mkuu anahisi ulipata fake nn? [emoji23][emoji23]
Hua anaamini kua nilitakiwa kupata zaidi ya hapo,alikua anajua mie ni kichwa sana,so matokeo yalivyotoka akaniomba namba ya mtihani ili akaaniangalizie ofisini kwake,wakati huo kashawaandaa wafanyakazi wenzie(bi mkubwa ni mtu wa kupenda sana sifa),yeye alijua ni point 7 kama nimefail sana basi iwe hata 8 basi.......... ila hakuamini alichokutana nacho,alilalamika miaka 5 yote
 
Wiki ya kwanza baada ya kuripoti na kuanza kusoma mchezo.
Ticha wa Phyz aliingia akapiga Projectile, Error and Dimension na Simple Harmonic Motion ndani ya kipindi kimoja cha dk 40, darasa zima tulipigwa na butwaa. Mimi binafsi nilipaniki, hadi nikaugua na kurudi home(kwa mlezi) kwanza.

Nilipoulizwa maendeleo ya shule, nilisema mambo ni hatari(uzuri huyu mlezi aligonga PCM anajua mziki wa Phyz).

Baada ya kupona nikatangaza vita moyoni mwangu, now the rest is history.

Sasa huku kitaa ndio kimbembe, Hamna kudrive formula kwanza kama nilivyokuwa nafanya kwenye physics, hahahahaa
Hahaha, mziki wa Projectile ulinitoa kamasi
 
Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka😆😆!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia🤣!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Watu badonwnafanya forex wakati hata nguli wao Ontario naona kaacha sioni tena akiizungumzia. Kamali mbaya sana😂😂
 
Back
Top Bottom