Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Umeshawahi kupiga One katika levo yoyote ya elimu? Tukutane hapa

Ila mbona mie namuona huyu sirleaf kama ana akili fulani?yaan namuona smart upstairs! Au nna shida! Yaan namuona ontario ni mtu anayejua thamani yake
Exactly. Ana uwezo na ni smart but nahisi na utoto unachangia.

Ana mihemko sana, na anapenda kushindana sana ku-prove watu wrong hata sijui kwanini.

Kuna kipindi alikuwa anasema "the goal is to be rich, and not to be famous" lakini cha kushangaza sasa hivi anapambana kuwa maarufu.

But, Mimi sishangai dunia ya sasa hivi ukishakuwa na kundi la wafuasi misukule ( blind followers ) ni biashara kubwa sana.

Ukiitisha darasa la dakika 60 kwa Tsh 40,000 ukapata watu 100 tayari ni 4M.

Ni biashara ngapi unaweza kuingiza 4M ndani ya dakika 60 kwa kupiga porojo tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bi mkubwa wako ni mtu wa town sana inaonekana!
Sio kihivyo sana mkuu,mshua alifariki nikiwa kidato cha pili so tukabakia na Mama,kule usukumani familia ya kulelewa na mwanamke tu hua hazina heshima sana,yaani hua wanajua kua mwanamke hawezi kabisa kulea mwenyewe bila baba,hivyo basi matokea yalivyotoka alitaka kuwaamisha watu kua anajua kulea japo ni mwanamke na vijana wake wanafanya vizuri sana kwenye elimu
 
Exactly. Ana uwezo na ni smart but nahisi na utoto unachangia.

Ana mihemko sana, na anapenda kushindana sana ku-prove watu wrong hata sijui kwanini.

Kuna kipindi alikuwa anasema "the goal is to be rich, and not to be famous" lakini cha kushangaza sasa hivi anapambana kuwa maarufu.

But, Mimi sishangai dunia ya sasa hivi ukishakuwa na kundi la wafuasi misukule ( blind followers ) ni biashara kubwa sana.

Ukiitisha darasa la dakika 60 kwa Tsh 40,000 ukapata watu 100 tayari ni 4M.

Ni biashara ngapi unaweza kuingiza 4M ndani ya dakika 60 kwa kupiga porojo tu.


Sure mkuu it pays..si kama hawa wa networking mkuu? Juzi kunq mama mmoja namuona kwa Milard ayo anajitapa yy tajiri sijui anasomesha mwanayr nje ada 50m! Ila hakutaja hata biashara moja inayomuingizia kipato..anabak kuhesabu tu magari oh jinginr liko majini..yaam ful kuruka ruka..hao lazima watajirike mkuu
 
Sio kihivyo sana mkuu,mshua alifariki nikiwa kidato cha pili so tukabakia na Mama,kule usukumani familia ya kulelewa na mwanamke tu hua hazina heshima sana,yaani hua wanajua kua mwanamke hawezi kabisa kulea mwenyewe bila baba,hivyo basi matokea yalivyotoka alitaka kuwaamisha watu kua anajua kulea japo ni mwanamke na vijana wake wanafanya vizuri sana kwenye elimu


Safi kbs kwa mama!safi mnoo...
 
Sure mkuu it pays..si kama hawa wa networking mkuu? Juzi kunq mama mmoja namuona kwa Milard ayo anajitapa yy tajiri sijui anasomesha mwanayr nje ada 50m! Ila hakutaja hata biashara moja inayomuingizia kipato..anabak kuhesabu tu magari oh jinginr liko majini..yaam ful kuruka ruka..hao lazima watajirike mkuu
Hakuna tajiri hapo. Ni matapeli.

Kama siyo Forex basi Network marketing.

Hao kina Millard wanalipwa. Dunia ya sasa hivi kama kichwa chako ni cha kufugia nywele utakuwa unalia kila siku.
 
Std 7, nilipata A masomo yote, na wastani A, nikachaguliwa kujiunga ktk shule 1 kongwe ni ya bweni na ni jinsia 1,

O level, nilipata div 1 ya 11, nikachaguliwa shule ya vipaji maalumu mchepuo wa sayansi,

A level, nilipata 1 ya 6,..

Naendelea kupambana na maisha.
Hapo nabet ni Pugu na Ilboru
 
Mussa Biteba alihusika sana. Mambo ya mapambano na mchikidown
 
Back
Top Bottom