Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Kuna kajinga kamoja kamesema ni chai!..Mwaka jana niliingia bureau de change fulani pale Kariakoo nikamkuta Msukuma mmoja amechenji tshs akaondoka na $200,000. Ungeweza kumdharau kwa jinsi alivyokuwa simple!
Huenda hata mlango wa darasa la sekondari haujui. Tusitishane na hizo division one!
Labda ulime in large scale ntakuelewa!..tena uadd value...bila hivyo🐒Tunalima nyanya na vitunguu
Natambua kusoma sana ni.raha mkuu..lakini kwa nchi zetu hizi za uchumi wakati wa juu mateso tupu...!Huyo ni mmoja kati ya 200 wenye Phd. Kama mwarabu mmoja ni gaidi, hauwezi ukasema waarabu wote ni magaidi.
Jaribu kukusanya watu 1,000 randomly wenye maisha mazuri Tanzania kisha uchambue viwango vyao vya elimu ndio utagundua kuwa kusoma sana ni raha.
Na apo nilikua sina mood 😎😎Dah hongera sana mkuu, hesabu upo vizuri sana
Mm kote nilipopita nimepita na Div 1Kama uzi unavyojielezea,
Personally nilibahatika olevo mitihani ya CSEE, 2007View attachment 1794195
Wasisahau kutuambia walipo kwasasaAkina john kisomo mnaitwa mjikumbushie kukomaa kwenu,..
Hongera sana, ulifight sana kupata 13 NyabulogoyaNa mimi nilibahatika kuzi nyatia pale Nyabulogoya sec Mwanza na Ngudu high school Kwimba[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1795533
View attachment 1795534
Msela umefunga PM itakuwa wadada wanakusumbua mno?Hongera sana, ulifight sana kupata 13 Nyabulogoya
Sijawahi kufunga PM tangu nijisajili hapa JFMsela umefunga PM itakuwa wadada wanakusumbua mno?
Anyway, mimi sikatishi tamaa mtu yeyote kusoma.Mie kuna mtu namjua ana Phd nw...ila ana maisha ya hovyo bodaboda ana uafadhari...!nadhan wasomi wetu kuna sehemu wanakosea
Huyo atakuwa na addiction ya kipuuzi inamuendesha. Kwa taaluma aliyo nayo alitakiwa kuwa middle class automatically.kuna mmoja ni daktari bingwa yuko hovyo yaani anakula rushwa mpaka ya buku
Mkuu unapafahamu Nyabulogoya?Hongera sana, ulifight sana kupata 13 Nyabulogoya
Uoga na ujuaji mwingi unawaponza wenye elimu.Ndo maana narudia tena kusema wengi ambao hawakufaulu shuleni wana maisha magumu. Tofauti yao na tuliosoma ni kwamba wao wakiamua kusaka mafanikio ni wanaenda hadi daraja la juu kabisa. Wasomi karibu wote tuko daraja la kati ambalo halina uhuru wa kifedha. Vilaza wapo kwenye ufukara na wachache ndo matajiri wakubwa wanaokimbiza. Msomi ukiamua kuingia daraja la juu ni rahisi sana bila kutumia nguvu nyingi. Tatizo la wasomi ni UOGA. Ujuaji mwingi huchangia uoga.
Nimesomea Nsumba OlevelMkuu unapafahamu Nyabulogoya?
Ingekuwa vyema ukamuachisha mwanao shule aende ziwani akawe sawa na huyo jamaa.Kuna kajinga kamoja kamesema ni chai!..
Hebu pata picha mtu kwa siku anakusanya misamaki zaidi ya kilo 2000 ni mwenzako huyu? Yaan kisiwa chote mitumbwi ni yake...jion analetewa tu samak anahesabu tu kilos...kuna watu wana hela nyie cheni tu hata haka kadogo ni kachafuuuuuu..kana kiduku ila ndo kana hela balaa
Sawa mkuuNimesomea Nsumba Olevel
Inaonekana hujaelewa hata hiyo comment niliandika aliandika nan nikamjibu...poor uIngekuwa vyema ukamuachisha mwanao shule aende ziwani akawe sawa na huyo jamaa.
Ila kama una nia baadaye ya kuja kuwa na biashara ni bora ukomae usome...! Mie ss hv nahangaika na financial literacy..!Anyway, mimi sikatishi tamaa mtu yeyote kusoma.
Unajua maisha yako 'in stages'.
Ukiwa katika umri wa kusoma hasa huko chini, soma. But ukifika kuanzia ngazi ya chuo unatakiwa kutumia akili, unasoma mpaka lini na unasoma nini?
Usisome tu ilimradi sifa, mtaani wanakuona unaenda chuo.