donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
-
- #221
HahahahO-level, nikapelekwa vipaji PCB,
Kwa mara ya kwanza nilijuta kufaulu kwa shughuli niliyokutana nayo kule.
Matokeo nayo yalivyotoka......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sitaki mazoea humu.
Anyway
Nasajili laini kwa alama za vidole,
Naunganisha Line za chuo,
Narudisha line zilizopotea,
Naweka liquid protector
Nabadilisha ringtones,
Nasafisha nyota,
Just employ your weakness.Ila kama una nia baadaye ya kuja kuwa na biashara ni bora ukomae usome...! Mie ss hv nahangaika na financial literacy..!
Sahihi mkuuSema ndiyo hivyo, kitaa no tofauti na shuleni. Nafikiri shule wangekuwa wanatufundisha mbinu za kuishi kitaa ingekuwa bora sana.
Daàh noma mkuuMm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka[emoji38][emoji38]!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia[emoji1787]!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Ila wewe...Na wanyantuzu..masuala ya milion 600 hadu 1b kwao kugusa tu...ukiwaona hawajahi hata kuvaa tai ..🥵
Wengine hata hatuongelei mambo ya matokeo yetu ya shule, maana kwa kweli kitaa huku it doesn't matter kabisa. Kuna watu wanatengeneza hela hadi aibu, na hawajawahi kwenda shule beyond std 7.Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka😆😆!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia🤣!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga mkuu!Wengine hata hatuongelei mambo ya matokeo yetu ya shule, maana kwa kweli kitaa huku it doesn't matter kabisa. Kuna watu wanatengeneza hela hadi aibu, na hawajawahi kwenda shule beyond std 7.
Siku moja nilikua napiga story na vijana fulani wafanyabisahara, story zao wanaongelea mikopo ya 100m, 200m....!! Nikawa nawaza moyoni aibu sana, vijana wale wote ni std 7 leavers; Ilibidi niage fasta fasta.
Coming to think of it, naona kama wengine tulipoteza sana muda mashuleni huko tukiaminishwa kuwa sisi ni ma genius na vipanga kweli kweli.
Ila ndo maisha.
Nini!Ila wewe...
Hiyo hapo juu mkuuUlisimamisha misonge mingapi mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23] itapendeza zaidiKwani kupata one ni suala la bahati? Mbona one huwa zinajulikana kabla ya matokeo kwamba fulan na fulan watapiga one?
Anyway nilipata one O level na A level pia, bado sijajua lengo lako ni lipi hasa! Au tuunde whatsapp group la vipanga [emoji23][emoji23]
Hahah, kwann hayakubali mkuu anahisi ulipata fake nn? [emoji23][emoji23]Dah!!!! Noumer sana,mie nilipata A ya physics o-leve ambayo mpaka leo haijawahi tokea pale shuleni,japo bi mkubwa wangu hua hayakubali kabisa matokeo yangu
View attachment 1794354
Hua anaamini kua nilitakiwa kupata zaidi ya hapo,alikua anajua mie ni kichwa sana,so matokeo yalivyotoka akaniomba namba ya mtihani ili akaaniangalizie ofisini kwake,wakati huo kashawaandaa wafanyakazi wenzie(bi mkubwa ni mtu wa kupenda sana sifa),yeye alijua ni point 7 kama nimefail sana basi iwe hata 8 basi.......... ila hakuamini alichokutana nacho,alilalamika miaka 5 yoteHahah, kwann hayakubali mkuu anahisi ulipata fake nn? [emoji23][emoji23]
Hahaha, mziki wa Projectile ulinitoa kamasiWiki ya kwanza baada ya kuripoti na kuanza kusoma mchezo.
Ticha wa Phyz aliingia akapiga Projectile, Error and Dimension na Simple Harmonic Motion ndani ya kipindi kimoja cha dk 40, darasa zima tulipigwa na butwaa. Mimi binafsi nilipaniki, hadi nikaugua na kurudi home(kwa mlezi) kwanza.
Nilipoulizwa maendeleo ya shule, nilisema mambo ni hatari(uzuri huyu mlezi aligonga PCM anajua mziki wa Phyz).
Baada ya kupona nikatangaza vita moyoni mwangu, now the rest is history.
Sasa huku kitaa ndio kimbembe, Hamna kudrive formula kwanza kama nilivyokuwa nafanya kwenye physics, hahahahaa
Kilakala? [emoji41]Std 7, nilipata A masomo yote, na wastani A, nikachaguliwa kujiunga ktk shule 1 kongwe ni ya bweni na ni jinsia 1,
O level, nilipata div 1 ya 11, nikachaguliwa shule ya vipaji maalumu mchepuo wa sayansi,
A level, nilipata 1 ya 6,..
Naendelea kupambana na maisha.
Umefunga MkuuSijawahi kufunga PM tangu nijisajili hapa JF
Watu badonwnafanya forex wakati hata nguli wao Ontario naona kaacha sioni tena akiizungumzia. Kamali mbaya sana😂😂Mm nimekutana na dogo ana 23 yrs ana 1b! Ana elimu ya std 4!
Ana utitiri wa mitumbwi ya kuvulia acha kbs .yaan kijiji kizima wanamtegemea yeye! Narudia ana 1b...alinionesha akaunt nikarudi gheto kulala!
Kuna jamaa amesomeaga dit ni kichwa balaa... alikua kampuni fulan.maarufu...nimewah kaa naye kama 8mths migodini akisoma mchezo ajabu yulr jamaa ana maisha ya kimaskini kbs...mm nilikua nikifeli mishe zangu ile nna stress yy ndo alikua ananisovia fasta mambi yananyooka😆😆!
Anakupa idea anakuchorea kila.kitu kwa kitabu anakuambia hebu ifanye utatoka..ila yy kila kitu walaaa...nikaja gundua ni mwathirika wa forex...yaan anahitaji sana maombi...anachoma hela balaa forex...! Haya maisha mm siyaelewagi pia🤣!
Kifupi ushukuru tu kwa kidogo unachopata
Ila youtube yupoWatu badonwnafanya forex wakati hata nguli wao Ontario naona kaacha sioni tena akiizungumzia. Kamali mbaya sana😂😂
Sina uhakika kama nimefanya hivyo, labda nifanye kuthibitisha hiloUmefunga Mkuu