Bonge la Point Mkuu..Msijipe moyo. Waliopiga one wengi wao wana maisha mazuri. Sema wengi wanaishia middle class. Wenye one wengi wao kufika daraja la juu kabisa ni changamoto. Huishia lile daraja la kuwa na nyumba moja, gari moja kama crown, spacio na jamii hiyo pamoja na familia inayoishi kizungu. Wale wa div three kushuka chini wengi wao huwa daraja la chini kabisa kimaisha na wachache huwa daraja la juu kabisa... hawakaagi katikati.
Ile Paper ilinitoa kabisa mchezoni japo nilipata 1Mungu mkubwa Sana nilipata one Olevel.....Somo la kiswahili lilikua gumu sana, tuliomaliza 2009 wanajua, nilinosha kiswahili A ya kibabe sana.Somo la kiswahili nilikua wa 9 kitaifa,,nilipokea barua ya pongezi toka wizarani, nimeijengea sanamu geto.View attachment 1794604
Kumbe 1 ishafika point 18Nilipiga I ya Point 18 Ordinary Level Yombo Tech
Nilipiga I ya Point 09 Advanced Level HGL huko Kantalamba
Nilipiga GPA ya 3.2 Lower Second UDSM
.
.
Nimepoteza miaka 9 shuleni nilivyorudi kitaa waliofeli O' Level wamefanikisha yafuatayo;
1. Wana Biashara zilizoshamiri;
2. Wamejijenga kiuchumi na kimaisha;
3. Wamejijenga Kijamii;
4. Wamejijenga Kisiasa;
Kwa UFUPI;
Nimeajiriwa na Classmate wa STD VII ambaye hajui mlango wa darasa la Sekondari wala Chuo.
.
.
Nimezunguka na bahasha za khaki mpaka zikiniona tu zinalowa jasho;
.
.
Kila nikiwasikiliza wabunge wa JMT roho inamani kuchomoka!!
Eti hawajiamini.... Kuna watu wanao jiamini kuliko wenye pesa?shule ya msingi sikufaulu ,nikaenda shule za wazazi o level nikapata one ya 13 , A level nikapata one point 4 ( CBG) ,chuo nikamaliza na ufaulu mzuri tu.
Nikili tu kuna jamaa zangu tulifail pamoja wakaanza biashara ya kuuza samaki na wengine biashara za nguo na nafaka .nikili tu jamaa wako mbali sana kunizidi na wako na pesa nyingi .
Lakini sijutiii kwenda shule hawa jamaazangu hawajiamini kabisa katika maisha wana hofu sana na maisha
Ila pia wengi waliofail wanaishi maisha magumu sanaa kupitiliza
Mpango wangu lazima hii elimu niitendee haki ,lazima nibadili hizi " A" kuwa pesa na fursa kwangu na kwa wengine
Wito kwa wasomi " tupambane tuoneshe utofauti "
Akina john kisomo mnaitwa mjikumbushie kukomaa kwenu,..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] katika familia yetu tumezaliwa watatu wote tumesoma shule kongwe mixer privateHongera sana, shule zilizokuwa zinaitwa za vipaji maalumu niliishia kuzisikia kwenye soga
O-level, nikapelekwa vipaji PCB,
Kwa mara ya kwanza nilijuta kufaulu kwa shughuli niliyokutana nayo kule.
Matokeo nayo yalivyotoka......😂😂😂😂.
Sitaki mazoea humu.
Anyway
Nasajili laini kwa alama za vidole,
Naunganisha Line za chuo,
Narudisha line zilizopotea,
Naweka liquid protector
Nabadilisha ringtones,
Nasafisha nyota,
Nilibahatika kusoma shule kongwe, ila zilizokuwa zinaitwa za vipaji maalum zilizitamani sana ila sikubahatika.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] katika familia yetu tumezaliwa watatu wote tumesoma shule kongwe mixer private
Mimi nimepiga technival school ,wengine wamepiga hizo special mmoja kagonga ya tabora mwingine ya moro
Hahahahahaaa, wee jamaa umenichekesha sana hadi machozi yamenitoka hapa.O-level, nikapelekwa vipaji PCB,
Kwa mara ya kwanza nilijuta kufaulu kwa shughuli niliyokutana nayo kule.
Matokeo nayo yalivyotoka......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sitaki mazoea humu.
Anyway
Nasajili laini kwa alama za vidole,
Naunganisha Line za chuo,
Narudisha line zilizopotea,
Naweka liquid protector
Nabadilisha ringtones,
Nasafisha nyota,
Kuna utamu Fulani kusoma hizo shule kongweNilibahatika kusoma shule kongwe, ila zilizokuwa zinaitwa za vipaji maalum zilizitamani sana ila sikubahatika.
Katika familia niliyokulia mabroo 2 walienda Tobora na Mzumbe, walini inspire sana, ila uwezo ulikuwa mdogo.
Madogo 2 wa mwisho ambao walisapotiwa na hao 2 hapo juu, wao walibahatika kuchagiliwa Ilboru na Kibaha, lakini kwao haikuwa jambo la kushangaza kwani ule maarufu wa vipaji maalumu ulikuwa umezoeleka na kuyeyuka ikawa jambo la kawaida.
Binafsi nilipopata matokeo enzi hizo wanaita kupass ilikuwa yanatoka pamoja na shule uliyochagulia, nikawa nimechaguliwa hiyo shule kongwe ya bweni, nilifurahi sana sikupata usingizi siku hiyo,nilikuwa nawaza na kuvuta picha ya mazingira nitakayoyakuta pamoja na maisha ya bweni kwa ujumla.
Huu mzuka aliwahi kuuelezea Infantry Soldier
Shule nyingi kongwe zilifanyiwa ukarabati kipindi cha mwendazake.Kuna utamu Fulani kusoma hizo shule kongwe
Juzi Kati nilienda shule moja kongwe iko pale Tanga mjini Ina advance tu aisee shule imekuwa Tamu balaa ukarabati wa Ile shule unaweza dhani Ni chuo [emoji15]
Staff office Kuna Hadi kiyoyozi na masofa ya ngozi huko njee ndio Usiseme .
Ni shule kongwe viongozi wengi maarfu wamesoma pale
Hongera mkuu banda la Phyz AdvanceKuna watu wanaushambulia huu uzi utadhani kufaulu ni dhambi [emoji16][emoji16][emoji16]
Problem talk creates problems. Solution talk creates solutions
Ingependeza kama tungejikita zaidi kwenye kujadili nini kifanyike badala ya kujadili kila leo matokeo mabovu ya elimu yetu.
Je nini kifanyike? Watu wasisome? Na wewe unayeona elimu ni mbovu hutapeleka watoto wako shule? Hata mtoto wako Akipata ONE kali O level na A level hutampeleka chuo?
Na wengi wanasahau kwamba mtoto kutokwenda au kutofaulu darasani sio guarantee ya kufanikiwa kifedha. Kama ambavyo kufaulu darasani sio guarantee kufanikiwa kifedha
Anyway, O level one Ya 14 na A level one ya 6. Physics "A"[emoji16]
Ahsante mkuu. Haikuwa rahisi!Hongera mkuu banda la Phyz Advance